"Kwani kuna Ubaya Gani kusema kwamba natafuta ntu wa kuniridhisha kimahaba?
Recho akicheza na shabiki wake katika moja wa show zake nchini Akizungumza na Bongo5 leo, Recho amesema ni kawaida yake kusema hivyo Msanii wa THT, Rachel Haule ameijibu taarifa iliyoandikwa na...
View ArticleANGALIA PICHA YA MWANAUME ALIYEBADILI JINSIA NA KUWA MWANAMKE
Najua baadhi yenu mtaanza kufikiria kwamba hii ninayowapa ni kamba, hakika sio na ni kitu cha kweli.Kwanza nahitaji muangalie kwa makini miguu ya mtu huyu, naamini tutaenda sawa, kama ulikuwa hufahamu...
View ArticleMREMBO AUMBULIWA NA DAWA ZA KUONGEZA HIPS
JAMANI dada zetu jihadharini na dawa hizi za kuongeza hips na Inye gwedegwede...! Kumkosoa mwenyezi mungu sio vizuri..!
View ArticleYULE MGANGA ANAYESEMA ANAWASAIDIA WASANII KUWANA PESA, AFUNGUKA NA KUSEMA...
Dokta Kamdege mtaalamu wa Mitishamba na amekuwa kivutio kikubwa kwa mastaa waheshimiwa na wasanii mbalimbali Afrika mashariki na kati, huku akisaidia watu kupata pesa, kuolewa au kuoa kufanikiwa...
View ArticleHIVI NDIVYO VANESA MDEE ALIVYOFANYA MAAJABU HUKO NIGERIA KATIKA SHOW YA...
Weekend iliyopita msanii wa Tanzania Vanessa Mdee a.k.a Vee Money alikuwa nchini Nigeria kwa ajili ya kuhudhuria na kutumbuiza katika show kubwa ya mara moja kwa mwaka, ambayo huwakutanisha wasanii wa...
View ArticleWEMA SEPETU AAMUA KUONESHA MGONGO WAKE..
Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi.Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na alivyozoeleka jambo lililofanya wengine wamsifie...
View ArticleANGALIA PICHA KILICHOMO KWENYE NYUMBA YA MAKUMBUSHO YA CRISTIANO RONALDO.
Hivi karibuni mshambuliaji Cristiano Ronaldo aliizindua tovuti yake mpya lakini pia Ronaldo amefungua nyumba ya makumbusho inayoonshe matukio mbali mbali Jumba hilo la makumbusho limepewa jina la ‘CR7...
View ArticleANGALIA PICHA MKE WA MTU AMWAGA RADHI UKUMBINI
MENENGUAJI wa kundi la Mavampaya lenye maskani yake jijini Dar es salaama Bi.Queens Michael 'Mama Tentemente' ambaye ni mke wa mtu mwishoni mwa wiki iliyopita alimwaga radhi mwanzo mwisho ndani ya...
View ArticleMAMBO YA JIJINI HAYO .KIBAO KATA KWENYE BIRTHDAY YA HALIMA KIMWANA
Hatarii..!!!CREDIT:WASAFI BLOG
View ArticleKESI YA MWINGIRA: MAHAKAMA YAJAA WAUMINI WAKE
Mtume na Nabii Josephat Mwingira.KESI namba 306/13 inayomkabili Nabii na Mtume wa Kanisa la Ephata la Dar, Josephat Mwingira, ya kuzaa na mke wa mtu, Alhamisi iliyopita iliunguruma mahakamani na...
View ArticleMCHUNGAJI GWAJIMA NDANI YA KASHFA NZITO, WASAIDIZI WAKE WAMPIGA MWANDISHI WA...
Eliasi Mokiwa mwandishi anaedaiw kupigwa akiwa kazini na walinzi wa GwajimaMchungaji Josephat Gwajima na wasaaidizi wake wameingia kwenye kashfa nzito ya kumshambulia mwandishi wa habari Mkoani Tanga...
View ArticleNDIYE MSANII WA NIGERIA APIGA PICHA CHAFU KWA AJILI YA CHRISTMASS.
Msanii wa Nigeria aitwaye Maheeda anafahamika kwa tabia yake ya kupost picha za nusu utupu kwenye mitandao ya kijamii. Katika kusherehekea sikukuu ya Christmas, mrembo huyo ameamua kutoka kitofauti kwa...
View ArticleJe Unaweza Kumruhusu Mke Wako Kuvaa Kama Hivi Akiwa Nje ya Nyumba Yako?
Hata kama ni beach party, ili mradi tu iwe ni nje ya nyumba, je unaweza kumruhusu mtu wako avae kama hivi.Hebu fanya kunipa na sababu kwa jibu unatalotoa.
View ArticleWASTARA-- SITAKI KUCHUNGUZWA
MWIGIZAJI, Wastara, aliyekuwa mke wa Sajuki (marehemu sasa), amewajia juu wale wote wanaomchafua jina kwa kuwaambia kuwa wasitafute fedha kwa kumzushia kashfa. Kauli yake imekuja baada ya kuanza...
View ArticleSUPER STAR LULU SASA NI MOTO WA KUOTEA MBALI SANA ONA LIVE KWA NINI ANAWATESA...
For some good toned bodies don't come easy. They have to go an extra mile & hit the gym. like gorgeous Lulu
View ArticleMAJAMBAZI SABA YAUAWA PAPO HAPO BAADA YA KUPIGWA NA WANANCHI WENYE HASIRA
Majambazi saba yauwawa baada ya kujaribu kuvamia na kupora mali kwenye duka moja la jumla, wananchi walishtukia mchezo na kulizunguka duka hilo,wakati majambazi hao wanajaribu kukimbia walivamiwa...
View ArticleDk. Slaa aibua ufisadi CHC.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbroad SlaaKATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amedai kupata nyaraka za siri zinazobainisha...
View ArticleMAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM..soma zaidi hapa..!
Clement Mabina enzi za uhai wake.Na Mashaka Baltazar, MwanzaMAMBO mazito yameibuka baada ya kifo cha kigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Diwani wa Kata ya Kisesa, Clement Mabina jijini Mwanza kwa...
View ArticleVIDEO..!DUNIA INA MAMBO..MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA.
Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo. Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa...
View ArticleMTOTO CHINI YA MIAKA 18 AFANYA UKAHABA..SOMA ZAIDI HAPA...!
Anitha baada ya kunasa katika mtego wa OFM.KIKOSI kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ Kanda ya Ziwa, kinaendelea kufukua uchafu unaofanyika jijini hapa, safari hii kimemnasa binti mwenye umri chini...
View Article