Najua baadhi yenu mtaanza kufikiria kwamba hii ninayowapa ni kamba, hakika sio na ni kitu cha kweli.
Anajulikana kama Ms Sahara ambaye aliwahi kuwa mwanaume, je ungeweza kuhisi hivyo?
Ms Sahara pia ni mlimbwende ambaye aliwahi kushika nafasi ya pili kwenye shindano la Miss International Queen 2011.
Baadhi yetu najua hamtoweza kuelewa, ila hebu tujaribu kuamini.....
K