Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

VIDEO..!DUNIA INA MAMBO..MAITI YAGOMA KUSAFIRISHWA ELDORET NCHINI KENYA.

$
0
0

Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo.


 Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa limelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu kupata hitilafu na licha ya kubadilishwa gari jingine, nalo pia lilikataa kuwaka. 

Hapo ndipo marafiki na jamaa ya marehemu walipochukua fursa ya kuirai maiti hiyo ili ipate kufikishwa eneo la maziko. 

Baada ya maombi ya takribani saa moja kutoka kwa ndugu na jamaa wa marehemu kuiomba maiti hiyo ikubali kusafirishwa, hatimaye safari ilianza na kuacha maswali mengi yasiyo na majibu kwa mashuhuda wa tukio hilo. 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles