DIAMOND NA ZARI WAFANYA MAHABA KWEUPEEEE HUKO UGANDA
Nasibu Abdul ‘Diamond’akiwa kwenye pozi na mtoto mzuri kutoka Uganda, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’.STAA anayetamba na ngoma mpya ya Nitampata Wapi, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mtoto mzuri kutoka...
View ArticleMPAMBE WA MGOMBEA URAIS AVISHWA SHANGA!
JAMAA anayedaiwa kwamba ni mpambe mkubwa wa mmoja wa wagombea urais mwakani ambaye ni fundi wa kufunga madishi, mkazi wa Magomeni-Makanya jijini Dar es Salaam, almaarufu Mgosingwa, amejikuta akivishwa...
View ArticleHIVI NDIVYO DIAMOND ALIVYO MLA DENDA ZARI MBELE ZA WATU NCHINI UGANDA
BOFYA KUONA PICHA ZAIDI>>>
View ArticleWAKENYA WAMCHANA LIVE DIAMOND WAMTAKA AMUACHE ZARI ARUDI KWA WEMA
Siku ya Juzi baada ya picha Diamond Platnumz kuvuja akiwa ndani ya lift akila denda na Zari The bos Lady mashabiki zake kutoka Kenya wamemjia juu Msanii huyo na kumuuliza kwa nini amuache Wema Sepetu...
View ArticleMKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI
Makamanda wa Polisi pamoja na kikosi cha OFM wakiwataiti wanawke waliokuwa wakijiuza.Ni aibu iliyoje! Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili ya Sikukuu ya Krismasi...
View ArticleDIAMOND, ZARI PROJEKTI YANOGA! ACHA MUVI IENDELEE!
Mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’wakila ujana.Acha muvi iendelee! Ile projekti ya mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond...
View ArticleWEMA KORTINI TENA! KIFUNGO KIPO NJE NJE
Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.Mkono wa sheria! Achana na drama zake na aliyekuwa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mcheza sinema ‘grade one’ Bongo, Wema Isaac Sepetu...
View ArticleWALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!
Kimenuka! Baada ya kuwepo kwa utata mkubwa juu ya kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya Bongo, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’, inadaiwa kwamba waliohusika na kifo chake sasa wanasakwa kila...
View ArticlePICHA ZA WEMA AKIWA CHUMBANI NA VAN VICKER KUTOKA GHANA
Kama utakuwa ni mfuatiliaji mzuri wa blogs,facebook pamoja na Twitter utakuwa unajua juu ya project mpya anayoifanya Wema Sepetu pamoja na msanii kutoka Ghana Van Vicker sasa kuna baadhi ya picha...
View ArticleBINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU JIJINI DAR!
Marehemu Neema Malimbwi enzi za uhai wake.WAKATI Wakristo kote nchini wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, keshokutwa Alhamisi, baadhi ya familia zipo kwenye majonzi mazito kufuatia kuondokewa...
View ArticleBINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU JIJINI DAR!
Marehemu Neema Malimbwi enzi za uhai wake.WAKATI Wakristo kote nchini wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, keshokutwa Alhamisi, baadhi ya familia zipo kwenye majonzi mazito kufuatia kuondokewa...
View ArticleRAIS KIKWETE AKUTANA NA MSANII NASEEB ABDUL ‘DIAMOND’ IKULU, AWAPONGEZA YEYE...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne Desemba 23,...
View ArticleDIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye mvuto Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kisha kuangukia kwenye ‘utamu’ wa penzi la mwanamama anayekimbiza Uganda,...
View ArticleBWANA WA ZAMANI WA ZARI AMTULIZA ROHO WEMA SEPETU BAADA YA KUACHIA PICHA...
BOFYA KUONA PICHA HAPA HIZO>>
View ArticleBALAA LA KRISMASI...NI AIBU KWA MREMBO HUYU!
Mwanamke(Jenipher ) ayeanayedaiwa kujiuza akiwa hoi hajitambui.MSICHANA mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Jenipher, anayedaiwa kujiuza katika maeneo ya Shivaz na Kaloleni jijini hapa, amekutwa...
View ArticleSKARI WANUSURIKA KUUWAWA KWA KUPIGWA BOMU, BOMU LAMUUA MLIPUAJI
Kutoka SONGEA, askari waliokua doria katika mkesha wa x mass wamenusurika kufa baada ya mtu mmoja kujaribu kulipua bomu maeneo ya MAJENGO na hatimae kumlipukia na kufa papo hapo kabla ya...
View ArticleMASTAA IRENE UWOYA, JACQUELINE WOLPER, KAJALA WAWA GUMZO KWA PICHAZ HIZI!
UZURI HAUJIFICHI: Hawa ni miongoni mwa warembo kwenye tasnia pendwa na wadada wengi hapa nchini, tasnia ya filamu za kibongo.Wakiwa kwenye “pozi” moja lakini katika “moment” tatu tofauti.Warembo hawa,...
View ArticleDIAMOND PLATINUMZ HAKUNAGA! ZARI AMFUNIKA MBAYA WEMA SEPETU!
Mkali wa Afro Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’akiwapagawisha mashabiki wake.Pamoja na watu kuwa wengi hadi wengine kurudishwa nyumbani, lile Tamasha la Wafalme limekamilika na shoo kabambe...
View ArticleHATIMAYE SEPETU ASHINDWA KESI NA MKE WA GEORGE TYSON!
Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo. MKE wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku...
View ArticleWEMA, AUNT EZEKIEL NA RAFIKI YAO NICE WAWA GUMZO INSTAGRAM!
Boxing Day Moments: Baada ya hapo jana kuwa kwenye pilikapilika za siku kuu leo wengi wetu tumepumzika na kupiga stori za hapa na pale na jamaa zetu.Turudi kwenye mada. Leo nilipoziona picha hizi za...
View Article