Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

(18+)HUKO NIGERIA MSANII WA KIKE NOLLYWOOD Tracy Obonna AANIKA MAUNGO YAKE LAIVU KATIKA PICHA HIZI HAPA YANI AIBU TUPUUU..

$
0
0


So its A brand new Year and we have already started seen lots of brand new desperate models, actresses and singers ....She is one of them!

LAST WARNING...PLIZZ PICHA ZIFUATAZO HAZINA MAADILI YA KIAFRIKA..KAMA HAUNA UMRI WA MIAKA (18+USIBOFYE HAPO CHINI
PICHA NAMBA 1. (((BOFYA HAPA)))

PICHA NAMBA 2(((BOFYA HAPA)))

PICHA NAMBA 3. (((BOFYA HAPA)))

AIBU YA AINA YAKE: JIMAMA AMBALO NI MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA

$
0
0

MWANAMKE aliyetajwa kwa jina moja la Winfrida ambaye ni mke wa mtu amekwaa aibu ya karne baada ya kudaiwa kutaka 
kuuza kiwanja ambacho si mali yake na kujipatia fedha isivyo kihalali kutoka kwa mtu aitwaye Stanlaus Hajj ‘Stan’, Ijumaa lina mkanda kamili.
Winfrida ambaye ni mke wa mtu akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa.
Awali ilidaiwa kuwa mwanamke huyo, alichukua Sh. milioni tano kama malipo ya awali alinasa katika mtego wa polisi wa Kituo cha Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar alipokuwa akifuatilia Sh. milioni 15 ili aweze kuuza kiwanja hicho kwa Sh. milioni 20.
Winfrida akiwa kwenye gari kuelekea kituo cha Mabatini.
Madai hayo yapo katika Kituo cha Polisi cha Kijitonyama ‘Mabatini’ jijini Dar baada ya mwanamke huyo kuwekewa mtego na kunasa maeneo ya Mlimani City.
Ilielezwa na mashuhuda wetu kwamba mwanamke huyo ambaye ni mkazi wa Bagamoyo, Pwani alinaswa baada ya kuwekewa mtego na polisi alipotaka kuchukua fedha hizo.
...Mtuhumiwa akificha sura yake akiwa kwenye gari kuelekea kituoni.
Akizungumza na waandishi wetu, Stan alisema mwanamke huyo alimwonesha kiwanja maeneo ya Bunju, Dar ambacho alitaka amuuzie kwa Sh. milioni 20.
“Tulienda Bunju akanionesha kiwanja tukakubaliana bei lakini akaniambia nimpatie milioni tano kwanza kwa kuwa alikuwa na shida na ada za watoto wake, tukaandikishiana nikampa,” alidai Stan.
Winfrida akishuka katika gari baada ya kufika kituoni.
Alidai kuwa, baada ya siku mbili alikwenda kukiangalia kiwanja hicho akiwa na rafiki yake aitwaye Kassim Rashid lakini wakashangaa kumkuta mlinzi, walipojieleza wakaambiwa kuwa wametapeliwa.
Alisema kuwa mlinzi huyo aliwaambia kuwa eneo hilo siyo la mwanamke huyo kwani ameshawauzia watu wengi kiwanja hicho na kuwataka waondoke.

...Akielekea kituoni kwa aibu.
“Nilichanganyikiwa lakini rafiki yangu akanipa moyo na ushauri kuwa nikatoe taarifa katika Kituo cha Polisi cha Wazo ambako nilifungua jalada la kesi namba WH/RB/494/2014 -KUJIPATIA PESA KWA UDANGANYIFU,” alisema  Stan.
“Kassim alinishauri nimpigie simu mama yule na kumwambia fedha iliyobakia nitampa baada ya siku tatu ili kumvuta tumkamate kama tulivyofanya leo (Jumanne wiki hii),” alisema.
...Akiingia kituoni.
Baada ya siku tatu, mtego wa kumnasa mwanamke huyo ukapangwa baada ya kumtaka afike kuchukua fedha zake zilizobaki.
Stan na mwanamke huyo walipanga kukutana katika Baa ya Msumbiji ilioyopo maeneo ya Mlimani City ambako Stan alikuwa amejipanga akiwa na polisi wa Kituo cha Kijitonyama (Mabatini).
Winfrida akiwa kituo cha Mabatini, Kijitonyama, Dar.
“Nawashukuru polisi hasa  Mkuu wa Upelelezi, Ezekiel pamoja na Mkuu wa Kituo, Mapunda maana baada ya kuwapa ile RB ya Wazo walinipa ushirikiano mkubwa sana na wakanipa gari na kufanikisha kumtia mbaroni yule mwanamke,” alisema Stan.
Mwanamke huyo alipofika eneo walilopanga kukutana na Stan alinaswa katika mtego huo kisha kusweka rumande Mabatini kusubiri sheria ichukue mkondo wake.

MASKINI JOHARI!!!...UKIMWONA SI YULE UNAYEMJUA!!!.....HII NI ZAIDI YA HOMA!!!! FUATILIA UNDANI HAPA.

$
0
0
 
Blandina Chagula ‘Johari’.

Johari ni mgonjwa kwa zaidi ya siku tano sasa akiwa mtu wa kwenda hospitali mara kwa mara kwa ajili ya kuendelea na matibabu.
TAARIFA ZA AWALI
Shostito wa karibu na staa huyo alipiga simu kwa Paparazi wetu, wiki iliyopita akieleza kwamba Johari ni mgonjwa na amekuwa mtu wa kupumzika ndani.
Rafiki huyo ambaye aliomba hifadhi ya jina lake alisema: “Najua mtakuwa hamna hii habari, lakini kiukweli Johari anaumwa, jana (Jumanne iliyopita) nilikwenda kwake, hali niliyomkuta nayo kwa kweli nilimhurumia, yawezekana pia ile ishu yake na Ray inamchanganya, ukimuona amepungua, siyo yule unayemjua.”


 
Blandina Chagula ‘Johari’.

JOHARI ATAFUTWA
Katika kutaka kujiridhisha, mmoja wa wahariri wa Global Publishers, alimvutia waya Johari Jumanne iliyopita, ambapo alipokea na kuzungumza kwa shida huku sauti ikiwa chini sana.

“Siwezi kuzungumza vizuri, sauti yangu iko chini sana... nahisi kama inakauka. Naumwa sana. Nina fluu,” alisema Johari.

Baada ya mazungumzo hayo, paparazi wetu alipata uhakika kuwa ni kweli Johari ni mgonjwa lakini hakuwa ‘siriazi’ kivile, likachukulia poa.

HALI YABADILIKA

Siku mbili baadaye, chanzo chetu kilekile cha awali kilipiga tena simu na kutoa taarifa kuwa hali ya Johari ilibadilika ghafla na kwamba alifikishwa hospitalini.

Hata hivyo, alipoulizwa ni hospitali gani amelazwa, alisema hana uhakika lakini alisikia kama amepelekwa AAR ya Sinza. Simu ya Johari ilipopigwa, haikupatikana achilia mbali marafiki zake wa karibu.

MAPAPARAZI HOSPITALINI

Timu yetu ilifunga safari hadi Hospitali ya AAR (Sinza) na ile nyingine ya Posta na kujaribu kudodosa kama alifikishwa hospitalini hapo, likaambulia patupu.

 

STEVE NYERERE AANZA KAZI

Katika kuonyesha kuwa mwenyekiti mpya wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’ amedhamiria kuweka umoja na ushirikiano kwa wasanii walio kwenye klabu hiyo kwenye shida na raha, ndiye aliyemtoa Johari hospitalini.

Steve Nyerere aliweka picha kwenye ukurasa wake wa Instergram inayomwonesha Johari akiwa katika hali ya kuugua, huku mkononi mwake akiwa na plasta iliyoonyesha kuwa alitundikiwa drip na kuandika: “Johari haya ndiyo maisha, usijali utapona.”

MAPAPARAZI NYUMBANI KWA JOHARI

Juzi Jumatano, timu ya waandishi wetu ilifunga safari hadi nyumbani kwa Johari, Ubungo – External, Dar ili kujua hali yake.

Hatua chache kabla ya kufika nyumbani kwake, mapaparazi wetu walimpigia simu, lakini hakupokea badala yake alilitumia ujumbe mfupi uliosema: “Siwezi kuongea, naomba unitumie meseji, naumwa sana na fluu, naamini nitapona. Nitakutafuta.”

paparazi wetu: Nipo na karibu na kwako, nakuja kukuona.

Johari: Sipo nyumbani, nipo hospitalini.

paparazi wetu: Hospitali gani?

Johari: AAR.

 

UHAKIKA

Pamoja na majibu ya Johari, bado paparazi wetu alitaka kujiridhisha zaidi, halikuishia njiani, lilifika hadi nyumbani kwake ambapo lilipokelewa na kijana wa kiume aliyekataa kutaja jina lake lakini alijitambulisha kama mdogo wake na Johari.

Alipoulizwa kuhusu Johari, haraka alisema: “Dada anaumwa, amekwenda hospitali. Kwa nini msiwasiliane naye kwenye simu?”

POLE JOHARI

Kuugua ni sehemu ya maisha Johari. Ni mitihani ambayo binadamu wote tumeumbiwa hivyo jipe moyo, utapona. Mungu aisimamie afya yako, upone haraka – Amina.

PICHA...MMH..WADADA NA FASHENI JAMAN...!HII AKILI AU MTOPE?!!JIONEE MWENYEWE HII...!

$
0
0
FASHION HII YNI A NAILONI TUPU..GUMZO HAPA NI KWELI HUYU ZINAMTOSHA KWELI AU BAADHI YA NATI ZIMELEGEA KIMTINDO...

SIKU YA 2 NDANI YA NAIROBI::TAZAMA PICHA ZA DIAMOND AKIWA GYM KUPASHA MISULI

MARIAM ISMAIL AFUNGUKA MADAI YA KUSAGANA NA IRENE UWOYA.

$
0
0
Mariam Ismail

Mastaa wa filamu nchini Mariam Ismail na Irene Uwoya wanadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi(usagaji) na kudaiwa kuishi pamoja kabisa. wiki kadhaa nyuma muigizaji mmoja chipukizi anayekuja juu kwa kasi aliutonya mtandao huu kwa kusema " Mariam Ismail na Uwoya wanasagana tena wanaishi pamoja kabisa, fuatilieni mtajua". Baada ya habari hizo ilibidiSwahiliworldplanet kuwatafuta mastaa hao, wa kwanza kutafutwa akiwa Irene Uwoya lakini namba yake ya simu kwa takribani wiki 2 ilikuwa haipatikani na hata jana alipotumiwa ujumbe kupitia namba yake nyingine hakujibu.


 Baada ya hapo ilibidi kumtafuta Mariam Ismail ambaye wamecheza filamu nyingi na Irene Uwoya kama vile Sobbing Sound, Omega Confusion, The Return Of Omega na Apple, Hata hivyo Mariam anafanya vizuri katika filamu alionekana kuwa busy na kuchelewa kujibu ujumbe wa madai ya kusagana na Uwoya lakini jana star huyo aliyejipatia umaarufu kwa kuuvaa vizuri uhusika katika filamu zake alitoa ushirikiano mzuri kwa kujibu madai hayo akidai sio kweli ila yeye na Uwoya ni marafiki wa karibu sana na wanasaidiana katika shida na raha ndiyo maana baadhi ya watu wameshaanza kusema vibaya...

"Nadhani mimi ndio mtu wa kwanza kupiga vita upumbavu kama huo... mimi ni mwanamke ambae nimeumbwa kikamilifu.. sina kasoro yoyote ya kunifanya niwe na mwanamke mwenzangu....hao wanaofanya upumbavu huo nadhani wana vijikasoro kwenye mili yao.... Irene Uwoya ni rafiki yangu sana tena urafiki wetu sio wa leo wala kesho... ni marafiki wa kushibana kabisa... nikoseapo huwa ananikosoa na yeye akoseapo huwa namkosoa....sometimes huwa tunagombana na kupatana vitu ambavyo ni vya kawaida katika maisha." alisema Mariam ambaye hajawahi kukumbwa na skendo yoyote ile kabla.

 Mariam ambaye kipaji chake cha filamu hujionyesha waziwazi alimalizia kwa kusema "Irene ananiheshimu sana na mimi humuheshimu sana Irene, imefikia hatua ya mimi na yeye tukakaa chini na kupanga tuishi wote kitu ambacho sioni tatizo na hilo. Ingekua ni chumba kimoja hapo sawa... lakini ni nyumba kubwa yenye kujitosheleza...kila mtu na room yake...tunaishi kwa amani na kwa kushirikiana penye tatizo hulitatua wenyewe bila kumshirikisha mtu. Ukimya wetu na kupatana kwetu kusiwafanye watu kuanza kuhisi upumbavu juu yetu... natumai ujumbe wangu utawafikia mashabiki wangu wote. Asante. In god I trust."

                                            Irene Uwoya

ANGALIA PICHA ZA DIAMOND AKIWA NDANI YA MITAA YA NAIROBI

$
0
0
 


 Interview
 Heading to....!!!!!
 Romy Jons ,i and Mwarabu(Bodyguard)

HAKIKA KANYE WEST..SASA AMKASHIFU MUNGU...ATAKA NAYE AABUDIWE, KUANZISHA DINI YAKE HIVI PUNDE


HEBU TAZAMA PICHA ZA HAWA WATU LAKINI TEGEMEA KUONA FASHION MPYA, KUCHEKA SANA AU KUSHANGAA,UKIKOSA KUVIPATA HIV BHAS UNA MATATIZO..TAZAMA PICHA HIZI

WASTARA KAZIDIWA NA KUMUANIKA KIDUME MPYAAAA MTANDAONI-kaguswa akarembuaaa...

$
0
0
Leo mida ya jioni msanii Wastara amepost picha hiyo hapo juu aliyokumbatiwa na mwanaume. Mwenyewe ameandika kuwa ameshasahau kukumbatiwa. Kumbatio hilo lilionyesha dhahiri kuwa ameli-feel maana ameonyesha kurembua macho kiasi kwamba inaleta maswali jamaa huyo ni nani kwake?  Tunajaribu kufuatilia na tutakachokipata tutakileta kwenu wadau na wapenzi wa msani huyo,

ASHINDWA KUENDELEA NA MASOMO AKIHOFIA KUZOMEWA BAADA YA KUDAIWA KULAWITIWA NA MWALIMU MKUU.

$
0
0
Huyu ndiye mwanafunzi aliyekuwa anatendewa ukatili huo
Hii ndiyo ofisi ya mwalimu mkuu huyo ambayo ilikuwa inatumika kwa matendo machafu ya mwalimu huyo

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi alipoulizwa kuhusiana na tukio hilo alisema atalifanyia kazi kutokana na kutokuwa Ofisini kwa wakati huo na kulitolea ufafanuzi unaotakiwa.

Ofisini kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Mbeya

 Afisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Mbeya, Dionice Boay alipoulizwa kuhusiana na tuhuma za Mwalimu wake alikiri kuzipata na kuongeza kuwa kutokana na Mwalimu huyo kufikishwa katika vyombo vya Sheria wao kama Ofisi hawana cha kufanya zaidi ya kusubiri Ripoti ya Polisi ambapo Mwalimu atachukuliwa hatua kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma.
                                                                            

MWANAFUNZI mmoja (Jina limehifadhiwa umri wake ni 16) wa Darasa la Saba katika  Shule ya Msingi Mkombozi iliyopo katika mji mdogo Mbalizi Wilaya ya Mbeya Mkoani hapa ameshindwa kuendelea na masomo tangu shule zifunguliwe akiogopa kuzomewa na wenzie baada ya kuhisiwa kulawitiwa na Mwalimu Mkuu wake.

Hatua ya mwanafunzi huyo kushindwa kufika shuleni kuungana na wenzie kumetokana na madai ya kuzagaa kwa tuhuma za Mkuu wake wa shule kumwingilia kimwili mwanafunzi huyo mwenye jinsia ya kiume wakati wa masomo ya jioni(Twisheni).

Akizungumza na waandishi wa habari Mwanafunzi huyo alisema Mwalimu wake huyo ambaye alimtaja kwa jina  la Lusekelo Thom, kuwa anatabia ya kumbakiza yeye peke yake baada ya muda wa masomo ya jioni kuisha na ndipo huenda naye ofisini na kuanza kumvua nguo.

Alisema tatizo hilo limedumu kwa kipindi kirefu tangu Aprili Mwaka jana hadi Disemba 27, mwaka jana baada ya bibi anayemlea kugundua (jina limehifadhiwa kwa ajili ya upelelezi) katika mahojiano kutokana na mwanafunzi huyo kuchelewa kurudi nyumbani kila siku tofauti na wengine.

Kwa mujibu wa majirani wa Mwanafunzi huyo walisema kugundulika kwa maovu anayofanyiwa na mwalimu wake kulitokana na upotevu wa fedha shilingi 20,000 na ndipo bibi huyo alipomuona mjukuu wake akiwa na mkebe mpya na ndipo alipomuuliza kuhusu fedha zake ambapo Mwanafunzi huyo alikataa kabisa.

Walisema baada ya kubanwa zaidi alidai fedha za kununulia mkebe alipewa na Mwalimu wake na amekuwa na kawaida ya kumpa fedha mwanafunzi huyo kila siku ikiwa ni pamoja na kumwambia asilipe ada ya masomo ya jioni kwa madai kuwa atakuwa anamlipia.

Alipobanwa zaidi mwanafunzi huyo alidai kuwa baada ya kupewa fedha na mwalimu huyo huenda naye ofisini na kufunga mlango kisha huvua nguo zake na kumwamuru naye avue na kumlazimisha ashike nyeti za mwalimu wake huku mwalimu naye akimshika shika na huo mchezo ulikuwa ukifanyika kila siku na baada ya hapo mwalimu alikuwa akimrudisha mwanafunzi kwa bibi yake majira ya saa mbili usiku.

Mashuhuda wa tukio hilo na baadhi ya walinzi wa shule hiyo walikiri kuwepo kwa tuhuma za udharirishaji wa Mwalimu huyo kwa Mwanafunzi kwa madai kuwa kila siku Mwalimu huyo kujifungia ofisini na mwanafunzi ikiwa ni pamoja na kuongozana naye kila mara.

Aidha baadhi ya ndugu walisema baada ya kubaini hali hiyo walienda kutoa taarifa katika kituo kidogo cha Polisi cha Mbalizi ambapo Jeshi la Polisi lilimkamata Mwalimu huyo Januari 4, Mwaka huu na kufanya naye mahojiano kisha kumpeleka mwanafunzi huyo Hospitalini kwa ajili ya vipimo.

Hata hivyo Mwalimu huyo alipohojiwa kuhusiana na tukio hilo alikataa kuhusika huku majibu ya vipimo vya Hospitali vikionesha kutokuingiliwa kimwili kwa mwanafunzi ingawa Maelezo ya mtoto alidai kuchezewa nyeti zake kila siku na kwamba suala la kuingiliwa kimwili alikuwa akilazimishwa lakini hakuweza kufanikiwa.

Mwalimu huyo aliachiwa na jeshi la Polisi katika kituo kidogo cha Mbalizi alipokuwa ameshikiliwa kwa ajili ya mahojiano baada ya kuwekewa dhamana na Mratibu wa Elimu kata ya Utengule Usongwe, Fredrick Silumbwe, na kwamba upelelezi bado unaendelea ili kubaini kama kweli mwalimu huyo anafanya vitendo hivyo huku kukiwa na taarifa kuwa Mwalimu huyo baada ya tukio hilo alisafiri na kuelekea Kibaha Mkoani Pwani ambako yuko hadi sasa.

Kwa upande wake Mratibu Elimu kata alipoulizwa kuhusiana na tuhuma dhidi ya mwalimu wake alisema hata yeye amekuwa anazisikia mitaani na kuhusu kuweka dhamana alikiri kwa madai kuwa alipigiwa na baadhi ya walimu na ndipo alipofanya hivyo kutokana na dhamana ni haki ya kila mtu.

Naye Afisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Mbeya, Dionice Boay alipoulizwa kuhusiana na tuhuma za Mwalimu wake alikiri kuzipata na kuongeza kuwa kutokana na Mwalimu huyo kufikishwa katika vyombo vya Sheria wao kama Ofisi hawana cha kufanya zaidi ya kusubiri Ripoti ya Polisi ambapo Mwalimu atachukuliwa hatua kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma.

Alisema kama ofisi hatua ya kwanza ni kumsimamisha kazi na kuteua Mwalimu mwingine kukaimu Ukuu wa Shule ya Msingi Mkombozi wakati ofisi ikisubiri taratibu za Kimahakama kutokana na tatizo hilo kuegemea kwenye makosa ya jinai.

Aliongeza kuwa Ofisi pia inatarajia kufanya ukaguzi katika shule hiyo ili kubaini kama Mwalimu alikuwa na makosa mengine na kujua sababu ya Mwanafunzi kutoenda shule hadi sasa licha ya wenzie kuendelea na masomo.

Hata hivyo Kituo cha Haki za Binadamu kilionesha mshangao kutokana na mtuhumiwa wa tukio hilo kuachiwa kwa dhamana ili hali upelelezi haujakamilika na hakuna hatua zozote ambazo Jeshi la Polisi linaonesha kulifanyia kazi ambapo mtuhumiwa alifikishwa Polisi Januari 4, Mwaka huu.

Mwenyekiti wa Kituo cha Haki za Binadamu Mkoa wa Mbeya, Said Madudu alisema Jeshi la Polisi limechukulia suala hili kama ni siasa kwa kuchelewa kuchukua hatua kwa wakati huku mtoto akiendelea kukosa haki yake ya msingi ya masomo.

Aidha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi alipoulizwa kuhusiana na tukio hilo alisema atalifanyia kazi kutokana na kutokuwa Ofisini kwa wakati huo na kulitolea ufafanuzi unaotakiwa.

Hata hivyo uchunguzi uliofanywa umebaini kuwepo kwa rushwa zinazopelekea upelelezi wa kesi hiyo kuchelewa kutokana na kuwepo kwa taarifa za Mtuhumiwa kutoa fedha shilingi Milioni Tatu ambazo bado haijulikani mgao wake uliwagusa akina nani.



Na Mbeya yetu

WAPI TWAELEKEA..!!MWANAMAMA WA MIAKA 48 ASHIKILIWA NAPOLISI KWA TUHUMA YA KUFANYA NGONO NA WATOTO WA UMRI KATI YA MIAKA 9 -14 KWA ZAMU,, SOMA ZAIDI MKASA HUU

$
0
0

Mwanamke  mmoja aliyefahamika kwa jina la Aretas Joseph, (48), mkazi wa kijiji cha Lesoroma tarafa ya Useri, wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amehojiwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wadogo wa kiume, wenye umri kati ya miaka 9 na miaka 14, jambo linaloelezwa kuwa ni shambulizi la aibu.

Akidhibitisha taarifa hiyo, kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro Robert Boaz, alisema mwanamke huyo alikamatwa Januari 8, kufuatia ushirikiano ulioonyeshwa na majirani zake baada ya kupata taarifa ya tabia yake hiyo ambayo inaelezwa amekuwa akiifanya kwa muda mrefu.

“Kufuatia taarifa walizokuwa nazo majirani hao, waliweka mtego hadi walipofanikiwa kumkuta chumbani kwake akiwa na watoto watatu wa kiume akifanya nao mapenzi,” alisema.

Kwa mujibu wa kamanda Boaz, zilikuwepo tetesi mtaani kuwa, mama huyo hufanya mapenzi na watoto wadogo, ndipo siku hiyo ya tukio majirani hao waliamua kuingia ndani kwake ili kujua ukweli wa tabia yake hiyo na kumkuta chumbani kwake akifanya mapenzi na watoto watatu.


Alisema mara baada ya majirani hao kumvizia na kumfuma mama huyo, walitoa taarifa polisi na mama huyo kukamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi cha Rombo.


Kulingana na taarifa ya kamanda huyo wa Polisi, watoto hao baada ya kuojiwa walisema kuwa wapo Wanne na siku hiyo mwenzao hakuwepo na kwamba mama huyo amekuwa akiwachezea sehemu zao za siri huku akiwapaka mafuta katika sehemu zao hizo.


Aidha watoto hao walidai kuwa mara baada ya kuwachezea sehemu zao za siri, huwa anawashawishi kufanya nao mapenzi kwa zamu huku wengine wakiendelea kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili wake yakiwemo matiti yake.


“Watoto hao walidai kuwa, mara baada ya mama huyo kuwachezea, humtaka mmoja wao kufanya nae mapenzi na hao wengine kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili wake na kwenye maziwa,na baada ya kutimiza haja zake, huwataka kuondoka mara moja”alisema.


Kamanda Boaz aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali wa polisi unaonyesha ya kuwa mwanamke huyo amewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja aliekuwa amemaliza darasa la saba miaka mitano iliyopita na kujaliwa kuzaa nae mtoto mmoja.


Hata hivyo kamanda huyo alisema kuwa baada ya idara ya utswi wa jamii,kupata taarifa ya mahusiano hayo, idara hiyo ililifuatilia suala hilo, na hatimae kukatisha mahusiano yao hayo.


---via gazeti la MAJIRA / na Imma Matukio blog.

MSHTAKIWA AMWAMBIA HAKIMU YEYE NI SHOGA NA ANAISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI

$
0
0

JAMAA mmoja Ijumaa alikiri hadharani katika mahakama ya Mombasa kwamba yeye ni shoga na anaugua maradhi ya ukimwi.

Amin Mohammed ambaye anajulikana kwa jina la utani la Amina alisema hayo baada ya kukanusha shtaka la wizi mbele ya hakimu mwandamizi Samuel Gacheru.
Mtuhumiwa alishtakiwa pamoja na wengine ambao hawakuwa mahakamani na mashtaka mawili ya wizi na kupatikana na mali ya wizi.

Stakabadhi ya mashtaka inadai kwamba alimnyanganya raia wa Ubelgiji, Bw Jozef Grzogozz Gradus simu ya thamani ya Sh 84,000 akiwa na wengine ambao hawakuwa mahakamani.
Kiongozi wa mashtaka Simon Waithaka aliambia mahakama kwamba Amina alitekeleza kosa hilo mnamo Januaru 24 katika nyumba ya NSSF iliyoko barabara ya Nkurumah katikati mwa wa Mombasa.

Bw Waithaka aliambia mahakama kwamba Amina alitumia nguvu dhidi ya Bw Gradus wakati wa kutekeleza kitendo hicho.

Katika shtaka la pili, Amin alikanusha kupatikana na mali ya wizi ambapo yadaiwa katika hali ya kutekeleza wizi alijipatia kwa njia ya hila simu aina ya IPAD.

Stakabadhi ya shtaka lilieleza kwamba amejipatia simu hiyo licha ya kuwa na ufahamu kwamba simu hiyo ilikuwa mali ya wizi.

Malipo
Hata hivyo, mshtakiwa alidaiwa kwamba Bw Gradus alikuwa “mteja wake” na baada ya kushiriki naye ngono, lakini akadinda kumlipa.

“Na mimi nilikwamilia simu yake baada ya yeye kukata kunilipa. Tulikubaliana malipo ya Sh 1500,” akaelezea mshtakiwa na kuibua kicheko mahakamani.

Alizidi kudai kwamba walikuwa na mlalamishi tangu usiku wa kuamkia Ijumaa kabla ya kukosana baada ya Mbelgiji huyo kudinda kumlipa.

Mshtakiwa huyo aliambia mahakama kwamba tangu akamatwe hakumeza dawa zake za kupunguza makali ya maradhi ya HIV/AIDS na kutaka usaidizi wa mahakama kupata dawa hizo.

Kesi itaendelea kusikilizwa mnamo Februari 6 mwaka huu wa 2014.

VIDEO MPYAA KUTOKA WEUSII...: JOH MAKINI ,NIKKI WA II NA G. NAKO - NJE YA BOX

$
0
0

Video mpaya ya wasanii wa kutoka Jiji la Arusha katika kundi la " WEUSI" ambao ni Joh Makini, Nikki Wa II pamoja na G.Nako, na video hii inaitwa NJE YA BOX. Na Director wa video ni mkali wa video za aina Hip Hop, kijana Nisher. Itazame hapa chini...


PICHA DIAMOND ALIPOFANYA INTERVIEW NA KISS TV NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI

$
0
0

 Hii ni sehemu ya pili,ya mahojiano na media mbali mbali
Hapa Nairobi,baada ya kufanya mahojiano na
 Tuva wa Mambo mseto..nilifanya mahojiano na
 
Kiss Tv kisha nikafanya na waandishi kutoka vyombo vingine  vya habari
waliokuwa wakinisubiri nje...
kama ilivyokuwa kwenye mambo mseto...kikubwa
 walitaka kufahamu kuhusu mipango yangu ya baadae
kimziki,collabos,na maisha yangu..
 Director wa kipindi,Kiss Tv akiniwekea Mike
 Mahojiano na Kiss Tv yakaanza
 
 
 
 
 
 
 Waandishi kutoka vyombo vingine vya habari wakinisubiri
 
 
 
 
 Mahojiano yakaanza na wwaandishi wamajarida  na magazeti
 
 

PICHA 50 ZA SHOW ALIYOPIGA DIAMOND KENYA JANA

$
0
0

 Dancer wakiongozwa na Moze iyobo,wakafungua pazia la burudani



 Weka mbalii na watotto




























































MAFURIKO DUMILA YAMUUMBUA MKE WA MTU AKISALITI NDOA GEST

$
0
0
 
Jambo limezua jambo! Mvua zilizonyesha na kusababisha mafuriko maeneo ya Dumila mkoani hapa, zimemuumbua mke wa mtu ambaye jina lake halikupatikana, akiwa anasaliti ndoa gesti.
Mafuriko hayo yalisababishwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha Jumatano iliyopita na kusababisha maafa makubwa yakiwamo kuharibiwa kwa makazi ya watu, majengo ya serikali zikiwamo shule, vyuo na mahakama.Shuhuda wa tukio hilo, Lugendo Seleman, mkazi wa Kijiji cha Magole Tarafa ya Dumila Wilaya ya Kilosa mkoani hapa alimuonyesha mwandishi wetu gesti ambayo jamaa aliyefahamika kwa jina moja la Kashinde, mkazi wa kijiji hicho ambaye alikurupuka kuokoa maisha yake akiwa na mke wa mtu.
 
“Za mwizi kweli 40, Kashinde katoka gesti uchi wa mnyama na kupiga mbizi akiwa na mke wa mtu ambaye mumewe amesafiri muda mrefu yuko mjini akisaka maisha na ana kama miezi 6, huwa anakuja na kuondoa hivyo mkewe amekuwa na uhuru,” alisema Seleman na kuongeza:
“Umechelewa kidogo tu ungepata picha zao yeye na mke huyo wa mtu wakipiga mbizi uchi wa mnyama wakitokea gesti, sijui jana usiku walilewa sana mpaka wamechelewa kuamka na kukutwa na mafuriko, muda huu wa saa nne asubuhi!”
Aidha, juzi Alhamisi, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli walifika eneo  hilo la tukio na kujionea hali halisi.  

Akizungumza na wananachi wa Kijiji cha Magole, Pinda aliwaambia serikali imetoa chakula kwa waathirika wa tukio hilo na kuwataka wanachi kuwa wavumilivu katika kipindi hicho kigumu walichopitia.

MSANII BONGO MOVIE ANYWA SUMU KISA MAPENZI..MDOGO WA KANUMBA AHUSISHWA..!!JIONEE MWENYEWE HAPA

$
0
0
Msanii chipukizi wa filamu wa Kundi la Mwamba Arts, Mariam Glant.
MSANII chipukizi wa filamu wa Kundi la Mwamba Arts, Mariam Glant (20) amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kisa kikidaiwa kuwa ni penzi la kijana aliyejifanya mdogo wa Kanumba anayejulikana kwa jina moja la Chief.Akizungumza na paparazi wetu sosi wa karibu na msanii huyo alisema siku ya tukio, Mariam alikuwa nyumbani kwa rafiki yake wa kike maeneo ya Mbezi Mwisho, jijini Dar ambapo rafiki yake huyo alitoka kidogo na kumuacha peke yake nyumbani hapo.
Sosi huyo alisema baada ya muda mfupi alitumiwa ujumbe mfupi wa maneno kutoka kwa Mariam ukisema ‘mimi ndiyo nakufa hivyo nimekunywa sumu.’
Baada ya rafiki huyo kupata ujumbe huo, alirudi nyumbani haraka na kumkuta Mariamu akiwa amezimia huku akitokwa na mapovu mdomoni ambapo kwa kushirikiana na wasamaria wema walimchukua na kumkimbiza kituo cha polisi kuchukua PF3 na kumpeleka hospitali ya tumbi ambapo alipatiwa matibabu.
Akielezea kwa uchungu baada ya kupata ahueni, Mariam alisema yeye na mpenzi wake huyo waligombana siku chache kabla hajachukua uamuzi wa kunywa sumu.

“Sababu kubwa iliyonifanya ninywe sumu ni huyo mwanaume kwa sababu kwanza alinidanganya yeye ni mdogo wake Kanumba na nikiwa naye kimapenzi atanitoa kisanaa na nitakuwa maarufu lakini baada ya kuingia kwenye uhusiano hakunisaidia chochote zaidi nilikuja kugundua kwamba hana hata undugu na Kanumba tukagombana,” alisema Mariam aliyeng’ara katika sinema za Mwanamipango Comedi, Gods Kingdom na M23.

VIDEO...MMMH...HATARI SANA...TAZAMA WALICHOKIFANYA BEYONCE NA JAY Z UTOAJI WA TUZO ZA GRAMMY 2014....!

$
0
0

January 26 2014 umekua usiku wa utoaji tuzo za Grammy 2014 ambapo Jay Z na Beyonce walikua na headlines zao za kumiliki stage toka kitambo….
Hiki hapa chini ndicho walichokifanya…

BONGE LA AIBU KUUBWA...!MCHUMBA WA MTU ANASWA LIVE AKIFANYA NIASHARA YA NGONO, ALIAGA ANAENDA SALIMIA KWA BIBI...!SHUKA NAYO HAPA...

$
0
0

OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili. 

Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake.
 Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo OFM na polisi walikuwa kwenye oparesheni za kufichua uovu wa biashara haramu ya ngono.
 
OFM NOMA: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa mikononi mwa OFM na Polisi.
 Kwa mujibu wa mchumba huyo katika mahojiano na OFM, aliaga kwao Kilosa kuwa anakwenda Morogoro mjini kumuuguza bibi yake ambaye ni mgonjwa.
 Tofauti na matarajio ya familia yake, mrembo huyo alikwenda kukita kambi maeneo hayo akijihusisha na biashara hiyo haramu eti kwa madai ya kusaka fedha ya kununulia sare za harusi yake ambayo inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
 
Mshangao: Mchumba wa mtu akishangaa baada ya kubambwa na OFM.
 Jumatano iliyopita, OFM ilipokea simu kutoka kwa dada mmoja ambaye alieleza kuwa kuna ‘shori’ ambaye ni mchumba wa mtu anajiuza katika viunga vya Kaumba.
 Dada huyo aliendelea kueleza kuwa yeye ni mmoja wa wajumbe katika kikao cha harusi ya dada huyo huku akiwa ameshachangia shilingi elfu 50 lakini alishangaa kumuona maeneo hayo hatarishi.
 
Twendeni:Mchumba wa mtu akiongoza wenzake wanaoshuka kutoka kwenye difenda kuelekea kituoni.
 “Niamini mimi, tunakaa naye Mji Mpya (Morogoro). Hata fedha za advance ya ukumbi, vinywaji, MC na muziki tumeshalipa na harusi yake inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
Baada ya kunyetishiwa habari hizo, kikosi kazi cha OFM kiliingia mzigoni kwa kushirikiana na dada huyo ambaye alivalishwa ‘beji’ yao na kufanikisha kunaswa kwa mchumba huyo.
 
Chini ya ulinzi: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa chini ya ulinzi kituoni.
 OFM ikishirikiana na polisi wanaojua kujituma kwenye majukumu yao walimtia mbaroni dada huyo akiwa katika pilikapilika zake za kunasa wanaume huku mmoja wa vijana wa OFM akijifanya mteja na kupatana naye bei ya kuingia chumbani kwa ‘shoti taimu’.
 Baada ya kunaswa, mwanadada huyo alikiri mbele ya OFM kuwa ni bibi harusi mtarajiwa.
“Jamani… jamani ni kweli mimi ni mchumba wa mtu, shetani ameniponza nisameheni,” alisema. 
 Hata hivyo, kilio chake kiligeuka cha samaki kwani hakikusikika, yeye na wenzake walionaswa walipelekwa moja kwa moja katika kituo kikuu cha polisi ili kupisha sheria ichukue mkondo wake.  
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live