Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

MASKINI MSANII HUYU WA BONGO MOVIE AMEVUNJIKA MGONGO...SOMA ZAIDI HAPA....

$
0
0

MSANII wa Kundi la Kaole Sanaa, Zaina Ramadhan ‘Nandi’ anasumbuliwa na ugonjwa wa mifupa akidai kuvunjika pingili za mgongo kisha kushindwa kutembea na kufanya kazi zake za sanaa na nyinginezo. 

Zaina Ramadhan ‘Nandi’.
 Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni, Nandi alisema kuwa alianza kuumwa baada ya kupata hitilafu mwaka 2012 alipokuwa akitoka Chuo cha Sanaa pale Lego, Ubungo jijini Dar.
 Nandi alisema siku ya tukio alikuwa akivuka barabara ambapo alishangaa kuona mguu umesita ghafla akashindwa kutembea hadi watu wakambeba kumsaidia kuvuka. 
“Sikujua kilichonipata, nikaenda nyumbani wakanichua na mafuta ya asili ambayo yalinisaidia kidogo lakini tatizo lilizidi kuwa kubwa. Nikiwa nyumbani mama aliniomba nimsaidie kubeba vyombo lakini nilishindwa kuinua beseni baada ya kuinama na pingili za mgongo zikavunjika,” alisema Nandi. 

Baada ya hapo, Nandi alisema alikwenda Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar ambapo alimuona daktari akamuandikia dawa za kutuliza maumivu na kumhamishia Muhimbili kwa uchunguzi zaidi.
 “Hapa nilipo sina uwezo kabisa kwani dawa nilizoandikiwa zinauzwa ghali sana, familia imejitahidi kunisaidia lakini bado, nawaomba Watanzania wanisaidie ili nipate matibabu kwani sielewi tatizo langu ni nini kutokana na kukosa vipimo,” alisema Nandi. 
Nandi amewahi kucheza filamu mbalimbali ikiwemo Yatima, Jua la Kiama, Kuzaa si Kupata na nyingine nyingi.
 Kwa aliyeguswa na tatizo la msanii huyo na mwenye nia ya kumsaidia, awasiliane naye kwa namba 0684501177. 

PIGO KUBWA JINGINE KWA WEMA SEPETU MASKINI...!YULE KIGOGOG WAKE AMFANYIA KITU MBAYA MMBAYA ZAIDI....SOMA ZAID HAPA...!

$
0
0

NOMA sana! Baada ya kupigwa cha mbavu (kuachwa) na Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu huku akimnyang’anya vitu vyote vya ofisini, yule kigogo wa ikulu, Clement a.k.a CK, hivi sasa anadaiwa kutoka na shosti wa staa huyo, Naima Shaa. 

Naima Shaa.
 Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti namba moja la burudani Bongo, Ijumaa Wikienda, Naima anatamba na kuwapiga vijembe wasichana wa mjini kuwa anatoka na CK mwenye mkwanja mrefu (bado fedha hazijaisha).

 “Nakwambia hatunywi maji, mtoto kadata kabisa hadi ameamua kujichora ‘tatuu’ ya jina la Clement  kwenye bega lake la kulia. Inahusu?” kilihoji chanzo chetu.
 
Wema Sepetu.
 NI MTOTO WA MBUNGE
Mpashaji huyo alizidi kuweka wazi kuwa Naima ambaye ni mtoto wa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shaa (CCM) hivi sasa anaonekana na mdogo wa CK huku wakiitana shemeji wa ukweli.
 “Sasa hivi jamaa anajilia vyake mdogomdogo kwa mtoto Naima pale kati, naona ameamua kumalizia machungu ya Wema kwa Naima. 

“Unaambiwa nyuma ya pazia stori ni kwamba anataka Wema aumie ndiyo maana ameamua kubanjuka na Naima huku akijua kabisa kuwa ni marafiki. 

“Unajua kama mtu akikuumiza kimapenzi, ukitembea na rafiki yake naye anaumia vibaya mno. Kwani hukumbuki ilivyokuwa kwa Penny (Penniel Mungilwa) alipochukuliwa na Diamond (Nasibu Abdul)? Ilikuwa ni ili kumuumiza Wema na kweli walifanikiwa. Ndicho anachokifanya CK,” kilitiririka chanzo hicho. 

WATU WAMEDATA
Chanzo hicho kiliweka wazi kuwa Naima ambaye mara nyingi haoni soni kuonesha tatuu ya jina la Clement, amekuwa akijinadi kuwa yeye ndiye mrithi halali wa Wema na kwa sasa kigogo huyo haoni wala hasikii kwake.
 
Tatoo ya Clement mgongoni mwa Naima.
 “Naima naye amedata kabisa na sidhani kama anaogopa Wema kujua kama yeye ndiye hasa anatembea na kigogo huyo kwa kipindi hiki,” kilisema chanzo hicho. 

UNATAKA KUMSIKIA NAIMA?
Baada ya kupata taarifa hizo, gazeti hili lilimtafuta Naima ili kuthibitisha madai hayo ambapo alikiri kumfahamu CK lakini akadai watu wanamsingizia. 

Alipoulizwa kuhusu  tatuu aliyochora yenye jina la Clement, Naima alisema ameandika ‘Element’ na siyo ‘Clement’ (tazama picha, akili ya kuambiwa changanya na yako). 

“Yeleuuuwi...jamani watu wananisingizia. Hii tatuu niliyochora nimandika jina Element na siyo Element (angalia maneno yanafafa! Moja alikuwa anamaanisha Clement),” alisema Naima na kukata simu. 

WEMA ANAJUA CHOCHOTE?
Baada ya kuwasiliana na Wema kwa njia simu na kumuuliza kuhusiana na madai ya zilipendwa wake kulipiza kisasi kwa rafiki yake, Naima, alisema kuwa habari hizo ameshazisikia lakini anasikitika kwa kuwa kigogo huyo karuka majivu na kwenda kukanyaga moto. 

Alisema kuwa ishu hiyo haimuumizi na zaidi sana anawaombea wawili hao maisha mema ya kimapenzi ilimradi moyo wake umeshatua kwa umpendaye.
 “Moyo wangu ulishatulia kwa nimpendaye, nawatakia maisha mema,” alisema Wema. 

NYUMA YA PAZIA
Uchunguzi wa gazeti ulibaini kuwa nyuma ya pazia la habari hii kuna mambo mengi ya namna CK na Naima walivyokutana.
 “Ni Kinondoni pale Mwanamboka. Mke wa CK alikuwa na baa pale ambayo siku hizi imefungwa.
“Naima alikuwa ni mke wa mtoto wa Mwanamboka. Walikuwa wanakutana pale baa. Ndipo mambo yalikoanzia. 

MKUU WA POLISI WILAYA (OCD) IRINGA APATA AJALI

$
0
0
Askari  walilikuwa  wakielekea katika mkutano   wa uzinduzi wa  kampeni  za CCM kata  ya  Nduli Iringa mjini wakitazama gari  ambalo alikuwa akiendesha  OCD Iringa  lililopata  ajali majira ya saa 10 jioni leo  jumapili japo hakuna  aliyepoteza maisha  ktk ajali hii iliyotokea  kona  la Mgongo barabara ya Iringa-Dodoma
wasomi  wa  chuo  kikuu cha Iringa wakitazama  ajali hiyo amba

LAANA HII TAZAMA JINSI MTUMISHI ALIVYOBAMBWA AKILA URODA NA MKE WATU VICHAKANI

VIDEO UONE JINSI MTOTO WA MIAKA MITATU AKIFUNDISHWA KUFANYA NGONO NA DADA ZAKE HUKO INDIA .

BONGE LA AIBU KUUBWA...!MCHUMBA WA MTU ANASWA LIVE AKIFANYA NIASHARA YA NGONO, ALIAGA ANAENDA SALIMIA KWA BIBI

$
0
0
 
Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake.

OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili. 

 Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo OFM na polisi walikuwa kwenye oparesheni za kufichua uovu wa biashara haramu ya ngono.SOMA ZAIDI
 
OFM NOMA: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa mikononi mwa OFM na Polisi.
 Kwa mujibu wa mchumba huyo katika mahojiano na OFM, aliaga kwao Kilosa kuwa anakwenda Morogoro mjini kumuuguza bibi yake ambaye ni mgonjwa.
 Tofauti na matarajio ya familia yake, mrembo huyo alikwenda kukita kambi maeneo hayo akijihusisha na biashara hiyo haramu eti kwa madai ya kusaka fedha ya kununulia sare za harusi yake ambayo inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
 
Mshangao: Mchumba wa mtu akishangaa baada ya kubambwa na OFM.
 Jumatano iliyopita, OFM ilipokea simu kutoka kwa dada mmoja ambaye alieleza kuwa kuna ‘shori’ ambaye ni mchumba wa mtu anajiuza katika viunga vya Kaumba.
 Dada huyo aliendelea kueleza kuwa yeye ni mmoja wa wajumbe katika kikao cha harusi ya dada huyo huku akiwa ameshachangia shilingi elfu 50 lakini alishangaa kumuona maeneo hayo hatarishi.
 
Twendeni:Mchumba wa mtu akiongoza wenzake wanaoshuka kutoka kwenye difenda kuelekea kituoni.
 “Niamini mimi, tunakaa naye Mji Mpya (Morogoro). Hata fedha za advance ya ukumbi, vinywaji, MC na muziki tumeshalipa na harusi yake inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
Baada ya kunyetishiwa habari hizo, kikosi kazi cha OFM kiliingia mzigoni kwa kushirikiana na dada huyo ambaye alivalishwa ‘beji’ yao na kufanikisha kunaswa kwa mchumba huyo.
 
Chini ya ulinzi: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa chini ya ulinzi kituoni.
 OFM ikishirikiana na polisi wanaojua kujituma kwenye majukumu yao walimtia mbaroni dada huyo akiwa katika pilikapilika zake za kunasa wanaume huku mmoja wa vijana wa OFM akijifanya mteja na kupatana naye bei ya kuingia chumbani kwa ‘shoti taimu’.
 Baada ya kunaswa, mwanadada huyo alikiri mbele ya OFM kuwa ni bibi harusi mtarajiwa.
“Jamani… jamani ni kweli mimi ni mchumba wa mtu, shetani ameniponza nisameheni,” alisema

ANGALIA PICHA ZA UTUPU ALIZOPIGA MWANA DADA NEIRA OBIC NA KUZIACHIA MTANDAONI

SIKILIZA HOTUBA YA GODBLESS LEMA ALIYOTOA JANA BUKOBA


BEYONCE NA JAY Z WALIVYOFANYA MAKAMUZI KWENYE 56TH GRAMMY AWARDS

$
0
0
Beyonce Knowles - 56th GRAMMY Awards - Show
Mwanamuzki ayejuu kwenye anga za uimbaji nchini Marekani  Beyonce akifanya makamuzi kwenye  56th GRAMMY Awards iliyofanyika Staples Center siku ya Jumapili January 26, 2014 mjini Los Angeles, Jimbo la California.
Beyonce Knowles - 56th GRAMMY Awards - Show
Mwanamuzki ayejuu kwenye anga za uimbaji nchini Marekani  Beyonce akifanya makamuzi kwenye  56th GRAMMY Awards iliyofanyika Staples Center siku ya Jumapili January 26, 2014 mjini Los Angeles, Jimbo la California.
Beyonce Knowles - 56th GRAMMY Awards - Show
Mwanamuzki ayejuu kwenye anga za uimbaji nchini Marekani  Beyonce akifanya makamuzi kwenye  56th GRAMMY Awards iliyofanyika Staples Center siku ya Jumapili January 26, 2014 mjini Los Angeles, Jimbo la California.
Beyonce Knowles - 56th GRAMMY Awards - Show
Mwanamuzki ayejuu kwenye anga za uimbaji nchini Marekani  Beyonce pamoja na mumewe mwanamuziki mkali wa kufokafoka Jay-Z wakifanya makamuzi kwenye  56th GRAMMY Awards iliyofanyika Staples Center siku ya Jumapili January 26, 2014 mjini Los Angeles, Jimbo la California.
Beyonce Knowles - 56th GRAMMY Awards - Show
Mwanamuzki ayejuu kwenye anga za uimbaji nchini Marekani  Beyonce pamoja na mumewe mwanamuziki mkali wa kufokafoka Jay-Z wakifanya makamuzi kwenye  56th GRAMMY Awards iliyofanyika Staples Center siku ya Jumapili January 26, 2014 mjini Los Angeles, Jimbo la California. Picha na Zimbio
Video ya show yao

PICHA ZA DIAMOND-BAADA YA SHOW FROM KENYATTA AIRPORT TO JNIA NA KUPOKELEWA NA MAMA YAKE AIRPORT DAR

$
0
0
 KENYATTA INTERNATION AIRPORT-NAIROBI









 BAADA YA KUWASILI TANZANIA NA
 KUPOKELEWA NA MAMA YANGU MPENZI






Picha,Hiki ndicho choo cha C.E.O wa Cash Money na Young Money Birdman chenye Gold Tupu

$
0
0
 
Jay Z alishawahi kusema kuwa wasanii weusi wametoka kwenye maisha magumu sana ndio maana Rappers wa Marekani wanapenda sana kutumia pesa wanazopata kutoka kwenye kazi zao kununua vitu walivyo wahi kuota kuwa navyo.  Kununua hivyo vitu kunawafanya wajione kama wamemaliza matatizo yao duniani. [Let Niggas Floss The Bling, Hiphop is like that now]

C.E.O Wa Cash Money na Young Money  Birdmen amenunua vyoo vya gold na kuviweka chooni kwake. Aliandika hivi instagram

choo  choo 3

ANGALIA PICHA MTOTO MDOGO AMEKUTWA AMEKUFA JALALANI.

$
0
0
NDUGU WASOMAJI WETU TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI 

KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA maiti ya mtoto mchanga imekutwa imetupwa katika eneo la kuhifadhia taka "jalala" huko Mbagala Nzasa A, maiti ya kichanga hicho ilikutwa ikiwa inatoa harufu huku mwili wake ukiwa umeharibika vibaya kutokana na kuliwa na wadudu.

'Mwandishi wetu akiwa katika eneo la tukio alishuhudia maiti ya kichanga hicho ikiwa imefungwa katika kanga yenye rangi nyeupe na bluu huku idadi kubwa ya Nzi ikiwa inazonga maiti hiyo huku ikiwa imeharibika vibaya sana', mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo akiongea kwa masikitiko makubwa alidai kuwa siyo mara ya kwanza tukio hilo kutokea katika eneo hilo kwani miaka miwili nyuma tukio kama hili liliwahi kutokea na mhusika alikamatwa baada ya uchunguzi wa kina uliofanywa na polisi wakisaidiana na raia wema.

Naye mjumbe wa eneo hilo Bwana Saidi Kitambulio alishangazwa na kutokea kwa tukio hilo la kustaajabisha na kulaani vikali ambapo mpaka tunatoka eneo la tukio walikubaliana na wananchi wa eneo hilo kuripoti kutokea kwa eneo hilo katika kituo cha polisi cha jirani ambapo jeshi la polisi litaendelea na utaratibu wake wa kawaida wa kumtafuta muhalifu aliyemtupa mtoto huyo eneo hilo.


























MWINJILISTI MUUAJI AMCHINJA MKEWE MJAMZITO, NAYE AJINYONGA...HABARI KAMILI HII HAPA....!

$
0
0

Bagamoyo

YULE Mwinjilisti wa Kanisa la Angilikana lililopo Kijiji cha Gama Makaani wilayani Bagamoyo, Pwani, Elikia Daniel (35) aliyemuua mkewe Mboni Patrick (28) kwa kumchinja  kikatili naye kujinyonga, simulizi yake inashangaza.

Baada ya mauaji hayo, waandishi wa Uwazi walikwenda kwenye kijiji hicho kilichopo kilomita 100 kutoka jijini Dar es Salaam na kukutana na ndugu, jamaa, marafiki wa marehemu wote sanjari na uongozi wa kijiji.
MWANZO WA MKASA
Wakisimulia kwa masikitiko, wakazi wa kijiji hicho walisema siku ya tukio, Mwinjilisti Elikia na mkewe, Mboni walikwenda msituni kukata miti kwa ajili ya kuchoma mkaa wa biashara. Walikuwa wameongozana na mtoto wao wa miaka (12) ambaye jina halikupatikana mara moja.
Baada ya kufika msituni, simulizi inasema, majira ya saa tatu asubuhi, mwinjilisti huyo alimtaka mwanaye huyo kurudi nyumbani kupika.
“Yule mtoto alipika chakula na kukiweka kwenye ‘hotipoti’ kwa ajili ya kuwapelekea wazazi. Alikwenda msituni akiwa ameambatana na mtoto wa jirani ambaye ni rafiki yake.
WAZAZI HAWAPO
“Alipofika msituni, mahali alipowaacha wazazi wake hakuwakuta, akawaita kwa muda mrefu, baba, mama lakini ukimya ulitawala eneo lile.
“Katika juhudi za kuwasaka huku na kule, mtoto alishangaa kuona damu nyingi imetapakaa eneo lile na aliposogea akashangaa kuuona mkono wa mama yake ukiwa umetokeza nje huku mwili wake umefunikwa na magogo kwenye tanuri walilokuwa wakitumia kuchomea mkaa,” alisema ndugu mmoja wa marehemu  Mboni aliyeomba hifadhi ya jina lake.
WATOTO WAKIMBIA KIJIJINI KUSEMA
Simulizi inazidi kuweka wazi kwamba, baada ya kuona hali hiyo, watoto hao huku wakilia walikimbilia kijijini ambapo waliwaambia watu walichokutana nacho msituni.
Wanakijiji walikukusanyika na kwenda eneo la tukio kushuhudia mwili wa mwanamke huyo.
MSAKO WAANZA
Kwa vile wawili hao waliachwa msituni na mtoto wao, wanakijiji waliamini kwamba, Elikia ndiye aliyefanya mauaji hayo, wakaanza kumsaka.
Walitembea umbali mrefu, wakafika mahali na kukuta nguo za mwinjilisti barabarani, waliposogea sehemu yenye miti iliyoshonana ndipo walipouona mwili wa Elikia ukining’inia mtini. Hakuacha ujumbe wowote.
NINI CHANZO?
Akizungumza kuhusu mauaji hayo, mwenyekiti wa eneo hilo, Ali Thabiti alisema kwa jinsi alivyopata taarifa kutoka kwa majirani, chanzo cha mauaji hayo ni fedha za mkaa. Mwinjilisti alikuwa akidaiwa fedha na mkewe lakini alikuwa akimzungusha kumlipa.
Alisema mgogoro wa marehemu hao ulikuwa wa muda mrefu, walishapelekwa mpaka kanisani kusuluhishwa, mwinjilisti alikubali ana makosa na kuahidi kwamba atangemlipa mkewe fedha za mkaa wake wa magunia mia moja alizokuwa akimdai.
“Usiku wa kuamkia siku ya tukio, mtoto alisema alimsikia baba yake akimwambia mama yake kuwa atamuua na kweli akamuua asubuhi iliyofuata,” alisema jirani mmoja.
UNAWEZA KUAMINI HII?
Vyanzo mbalimbali kijijini hapo vilieleza kuwa, mwinjilisti huyo aliwahi kudaiwa kumuua mtu (jina halikupatikana) huko Kigoma kwa kutumia nondo ambayo alimpiga nayo kichwani.
KUMBE MKE ALIKUWA MJAMZITO?
Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa eneo la tukio wakati daktari alipofika kuupima mwili wa marehemu Mboni, taarifa ilitoka kwamba mwanamke huyo alikuwa na ujauzito wa miezi mitatu wakati anauawa.
NI MAUAJI YA KUTISHA
Mwili wa marehemu Mboni ulikutwa ukiwa na majeraha mengi, kubwa zaidi ni la shingoni kwani mumewe alimchinja kama kuku.
MWINJILISTI AZIKWA NA SANDA YA KIROBA
Baada ya polisi kufika eneo la tukio na daktari kufanya uchunguzi, wanakijiji walifikia uamuzi kwamba mwanamke azikwe eneo hilohilo ulipokutwa mwili wake, mwinjilisti alizikwa chini ya mti aliojinyongea, tena mwili wake ukiviringishwa kwenye kiroba. Wote walizikwa bila majeneza na miili yao iliharibika.
ASKOFU MOKIWA AMKANA MWINJILISTI
Uwazi lilizungumza na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Valentine Mokiwa (zamani alikuwa askofu mkuu Tanzania) ambaye alikana marehemu Elikia kuwa mwinjilisti wa kanisa hilo.“Si kweli. Anglikana hatuna mwinjilisti huyo. Nimesoma kwenye vyombo vya habari kuhusu madai hayo, waandishi hawakuchunguza vizuri,” alisema Askofu Mokiwa.

DIAMOND AKIMNUNULIA ZAWADI MPENZI WAKE WEMA SEPETU....SOMA ALICHOKIANDIKA WEMA.....

$
0
0

Diamond Platinumz ambaye alikuwa na music show nchini Kenya juzi aliamua kumnunulia mpenzi wake Wema Sepetu zawadi za perfume na mazagazaga mengine ya urembo ikiwa ni ishara ya wapendanao. kupitia Instagram Wema aliandika....


 Angalia picha hapo chini Diamond akimnunulia Wema zawadi huko Kenya........





FREEMASON WALITIKISA KANISA LA MZEE WA UPAKO

$
0
0

 
Stori: Jelard Lucas
ULE uvumi kwamba baadhi ya wachungaji na maaskofu wa makanisa ya kiroho  nchini wanajihusisha na imani ya Freemason unazidi kushika kasi huku awamu hii ‘rungu’ likimwangukia Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo jijini Dar, Lusekelo Antony ‘Mzee wa Upako’ na kutikisika, Uwazi lina cha kusema.
MINONG’ONO ILIVYOANZA
Madai ya mtumishi huyo kujihusisha na imani ya Freemason yalianza kuenea kwa kasi mithili ya moto nyikani huku baadhi ya watu, wakiwemo watumishi wa makanisa ya Kikristo, wakionesha shaka juu ya uponyaji wa mtumishi huyo kufuatia miujiza ya ajabu ambayo amekuwa akiionesha kwa watu wenye uhitaji wa kiimani.
MATENDO YA SHAKA
Baadhi ya matendo ambayo yamekuwa yakiwatia shaka baadhi ya watu ni pamoja na kitendo cha mchungaji huyo kuwaombea watu wakiwa hawana kitu kabisa lakini baada ya miezi michache hurudi kanisani hapo wakiwa na magari ya kifahari na wakionesha kila dalili ya ukwasi (utajiri).
“Eti unakuta mtu amekwenda kuombewa akiwa hana kitu kabisa (fukara) lakini bada ya miezi michache anarudi akiwa na gari la kifahari, kweli?
“Tena anaonesha kila dalili ya ukwasi, huenda ni kweli kuna nguvu za ziada zaidi ya ile ya kiroho,” walisema baadhi ya waumini wa makanisa mbalimbali ya Kikristo walipozungumza na gazeti hili hivi karibuni.
ALAMA NA VIASHIRIA  TATA
Wakifafanua kwa kina zaidi juu ya wasiwasi wao kwa Mzee wa Upako na miujiza yake, waumini hao walitolea mfano wa baadhi ya dalili na viashiria tata vinavyoshukiwa kuwa ni moja ya utambulisho wa Taasisi ya Freemason.
Wakitaja baadhi ya alama hizo, waumini hao walisema mara nyingi mtumishi huyo akiwa madhabahuni amekuwa akitumia kitambaa kikubwa.
“Kila akiwa  jukwaani au madhabahuni hutumia kitambaa kikubwa kujifutia na kuwagusia anaowaombea hali ambayo huwafanya kuanguka na kupiga kelele hovyo,” walisema.
Mbali na kitambaa, pia walisema Mzee wa Upako amekuwa akionekana na pete zenye picha za ajabu akiwa anahubiri au kutenda miujiza.
MADAI ZAIDI
Baadhi ya waumini hao walisema viashiria vingine ni kitendo cha mchungaji huyo kutotaja neno Mbinguni katika mahubiri yake zaidi ya kusema, ‘Mungu wangu awabariki sana’.
“Mapete yake yana  mapicha ya ajabu sana, yale maalama ya Freemason yapo, pia huwa hawezi kusema Mungu wa Mbinguni, badala yake husema ‘Mungu wangu awatangulie’ au ‘kwa uwezo wa Mungu ninaye mwabudu’ jambo ambalo hututia shaka sana,” walisema Wakristo hao.
WAUMINI WAMBANA
Katika kufuatilia kwa kina sakata hilo, habari zikadai kuwa baada ya mambo kupamba moto waumini wa kanisa lake walianza kumbana mtumishi wao huyo kuhusu uvumi huo huku baadhi yao wakianza kutimkia kwingine.
“Ni kweli zahama hiyo iliwahi kutokea, lakini mambo yalikaa sawa baada ya baba (Lusekelo) kutufafanulia zaidi juu ya madai hayo,” alisema mmoja wa waumini wa kanisa hilo kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini.
LUSEKELO KIZIMBANI
Baada ya ‘viranja’ wetu kupata taarifa hizo nzito, hivi karibuni  waliamua ‘kukanyaga  lami’ hadi kanisani kwa mchungaji huyo, Ubungo -Kibangu  ambapo licha ya kukumbana na vikwazo mbalimbali walibahatika kukutana naye na kumbana kwa maswali juu ya tuhuma hizo ambapo kwa ‘jasho jembamba’ aliweza kueleza kwa kina:
“Hizo tuhuma zilianza kusikika zamani sana, watu walianza kunituhumu kwenye matumizi ya bendera ya taifa kanisani, nikatoa, wakahamia kwenye kitambaa.
“Jamani natumia muda mwingi sana kusimama madhabahuni. Sasa nikitumia kitambaa (hendkachifu) cha shilingi mia tano itawezekana kweli, natumia kitaulo kidogo kujifutia jasho, sasa inaonekana nongwa.
“Baadaye wakahamia kwenye pete! Mimi ni mtu smart sana (msafi) nimezaliwa mjini (born town) sasa kuvaa pete ni sehemu ya maisha ya mjini sioni tabu, lakini baada ya manenomaneno nilivua na sasa sina,” alisema Mzee wa Upako.
KUHUSU WAUMINI KUTIMKA
“Ni kweli, baadhi waliniuliza nikawajibu, wengine wakaamua kutimka. Unajua mimi nimeanza kumtumikia Mungu kwa miaka thelathini sasa, muumini kuhama kanisa na kwenda kwingine sishangai.
“Lakini wajue kwamba hapa kwangu ni moto mkubwa, super charge, cartapillar, siteteleki, nitazidi kuwaombea na kuwaponya wenye taabu na magonjwa,” aliongeza.
KUHUSU FREEMASON?
“Sijawahi kufikiria hata siku moja kuwa Freemason, kwanza sifahamu hata wanavyopatikana, nimeanza kumtumikia Mungu nikiwa kijana mdogo, mimi si muumini wa dini wala imani yoyote ya kishetani.
“Shetani mwenyewe ananiogopa, sasa hao wanaosema kuwa huwa sisemi Mungu wa Mbinguni, nashangaa, ni lazima kuweka neno Mbinguni? Jamani hao Freemason siwajui, wala siwazuii watu kuniita hivyo, naendelea kulihuburi Neno la Mungu aliye hai,” alisema Lusekelo na kufunga ‘faili’ la mazungumzo na waandishi wetu.

AFUMANIWA NA MKEWE, MAMA MKWE AINGILIA KATI NA KUMTEMBEZEA BAKORA MKWEWE

$
0
0
Katika tukio la aina yake lilitoka huko mkoani mwanza misungwi kijana mmoja iliyefahamika kwa jina la Festo alijikuta anapata aibu ya mwaka baada ya kufumaniwa na mkewe akila unyumba na mwanamke mmoja ambae inasemekana ni jarani yao, mke baada ya kupewa tarifa na majirani alikimbilia kuomba msaada kwa mama yake, mama huyo ambaye inasemekana ni mwanajeshi mstaafu alitoka na bakora na kuelekea eneo la tukio, ambapo majirani walimsaidia kuwatoa wizinzi hao ndani... mama mkwe bila kupoteza wakati alimkunja mkwewe na kuanza kumpa kichapo cha mbwa mwizi huku majirani wakimshanglia wa kitendo chake cha kishujua.." huyu mama kiboko sijawahi ona nadhani hii itakua fundisho maana huu mtaa wamezidi" alisema mama mmoja ambaye akutaka jina lake kwenda hewani.

(18+)HUU NDIO MSIMAMO UNAOTAKIWA: PICHA ZA AIBU ZAMSABABISHIA MSICHANA KUTENGWA NA FAMILIA YAKE,

NYOKA MKUBWA AINA YA COBRA AILAZIMISHA NDEGE KUTUA BILA KUFIKA MWISHO WA SAFARI

$
0
0
NewsImages/6694982.jpg
NYOKA aina ya Cobra amesababisha kizaza kwenye ndege na kuilazimisha kukatisha safari yake na kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Hurghada nchini Misri, auliwa baada ya kumjeruhi abiria .Nyoka huyo alizua mtafaruku huo baada ya kutoka katika mfuko alipokuwa amehifadhiwa na kumjeruhi abiria mmoja raia wa Jordan aliekuwa amekaa karibu na mfuko uliokuwa amehifadhiwa nyoka huyo.
Abiria walianza kumshambulia wakijaribu kumuua kwa kumpiga na viatu na hatimae kufanikiwa kumuua, abiria aliejeruhiwa alipatiwa huduma ya kwanza, na kuhamishiwa hospitalini kwa matibabu zaidi na kuwekwa chini ya uangalizi kwa masaa 24, hali iliopekea kukatisha safari yake.

Uchunguzi wa awali uliofanywa umebaini kwamba, mmoja wa abiria alimficha nyoka huyo kwenye mkoba na alifanikiwa kupita katika vizuizi na kuingia na nyoka huyo kwenye ndege.

MTOTO AKUMBWA NA GONJWA LA AJABU LA KUOTA MANYAMA MWILI MZIMA MFANO WA MAPEMBE

$
0
0


 Honolina akijitahidi kufukuza nzi waliojazana kwenye vidonda vyake
 Kutokana na ugonjwa huo wa ajabu macho ya mtoto huyo yamekufa
 Nyama la pili mfano wa pembe lililoota mgongoni

 Bi,Grece John mama mzazi wa mtoto huyo ambaye amekubali kukatwa makalio yake ili mwanaye apone
 Honalina akinywa maji baada ya kupigwa na jua kali alipokuwa akiomba sendi ya mabasi msamvu Morogoro wiki iliyopita
 Mpiga debe huyo baada ya kumuona live mtoto huyo alishindwa kujizuia na kumwaga machopzi hadharani

    Wananchi wakimchangia mama huyo




 Honolina mbaye ugonjwa huo umeababisha miguu yake kuishiwa nguvu na kushindwa kusimama
 Mwandishi wa habari hizi ambaye anaifuatilia kwa karibu famili hiyo mwaka Mach 17 2012 alifika wodi namba 4 hospital ya mkoa wa Morogoro na kumkuta mama huyo akiwa amelazwa na mtoto wake huyo ambaye wakti huo manya makubwa yalikuwa bado hayajaanza kumtoka kama anavyooneka pichani,aliyepakatwa na mtoto wa mwisho wa mama huyo.
Na Dustan Shekidele,Morogoro.
LAZIMA utokwe machozi! Grace John mkazi wa Mzumbe, Mvomero mkoani Morogoro yupo kwenye wakati mgumu kutokana na maradhi ya ajabu yanayomsumbua mwanaye Honolina Christian Mkude (11).
Honolina anasumbuliwa na ugonjwa wa kuota nyama sehemu za mwili wake zinazofanana na pembe za mnyama, ugonjwa ambao unamtesa tangu kuzaliwa kwake.
ILIKUWAJE?
Akisimulia kisa kizima, mama mzazi wa Honolina, Bi. Grace, anasema tangu amemzaa mwanaye huyo ni mitihani baada ya mitihani.
Mazungumzo hayo yalifanyika hivi karibuni katika kituo cha mabasi ya mikoani, Msamvu, mjini hapa wakati mama huyo na mwanaye wakihangaikia kuchangisha fedha za usafiri wa kwenda Moshi kutafuta tiba zaidi katika Hospitali ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC).
“Ndugu mwandishi, kwa kweli sijui hatima ya mwanangu. Nilimzaa akiwa ameota nywele sehemu zote za mwili wake, hadi usoni. Mimi na mume wangu tulishangaa, lakini tuliendelea na matibabu katika hospitali mbalimbali maana baadaye alianza kupatwa na uvimbe.
MTIHANI MWINGINE
“Jamani ndugu yangu... Mungu ana mitihani yake. Mume wangu (Christian Mkude) ambaye ndiye alikuwa tegemeo pekee kwetu, alifariki mwaka 2007 kwa ajali ya gari, wakati akisaka fedha za  matibabu ya mwanetu.
“Kifo chake, kwangu kimekuwa pigo mujalabu. Sina pa kukimbilia na hivi juzi tu tulikuwa tumelazwa Hospitali ya Mkoa (Morogoro) na hapo tumepewa barua ya kwenda KCMC kwa matibabu zaidi.
“Hivi unavyoniona nachangisha fedha ili nipate angalau nauli za kutufikisha kwanza hospitalini.  Nimechanganyikiwa kabisa,” alisema Bi. Grace kwa majonzi na kuongeza:
“Wakati tatizo la mwanangu linaanza sikutegemea kama siku moja angekuja kuwa hivi. Zilianza kuota nywele mwili mzima, baadaye vidonda vikaanza kumtoka na sasa hali imebadilika na kuota nyama hizi kubwa kama mapembe kama unavyoona.”
SAUTI YA BI. GRACE KUTOKA MOSHI
  Juzi mwandishi wa habari hizi ambaye anaendelea kuifuatilia familia hiyo alimpigia simu Bi,Grece kwalengo la kujua kama  wamefika salama,"Mungu akubariki sana kwa kutupigania tunamshukuru mungu tumefika salama,Misaada ya fedha kidogo tuliopata pele stenzi za daladala na ile ya Msamvu kutoka  kwa wasamaria wema Msamvu, ilitusaidi kusafiri hadi Moshi na kufika katika Hospitali ya KCMC''alisema mama huyo.

BADO ANAHITAJI MSAADA
“Madaktari wametupa moyo, wamesema watajaribu kumsaidia mwanangu. Watamtoa hizo nyama ila kwa sababu kutabaki na mashimo lazima wapandikize nyama nyingine.
“Tumeshakubaliana kuwa mimi ndiye nitakayekatwa sehemu ya nyama kutoka kwenye makalio yangu kwa ajili ya kumsaidia mwanangu,” alisema Bi. Grace, kilio kikisikika kwenye simu.

Akaongeza: “Wameshachukua nyama za mwanangu na kwenda kupima na baadaye watachukua zangu ili kuona kama zinaendana, upasuaji ufanyike. Gharama kwa ajili ya matibabu hayo wamesema ni shilingi 400,000 na mimi sina uwezo.
“Watanzania wenzangu, naombeni mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo. Mimi ni mjane na sina kazi ya kueleweka, napigania uhai wa mwanangu. Naombeni msaada wenu,” alisema.

Akaongeza: “Wameshachukua nyama za mwanangu na kwenda kupima na baadaye watachukua zangu ili kuona kama zinaendana, upasuaji ufanyike. Gharama kwa ajili ya matibabu hayo wamesema ni shilingi 400,000 na mimi sina uwezo.
“Watanzania wenzangu, naombeni mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo. Mimi ni mjane na sina kazi ya kueleweka, napigania uhai wa mwanangu. Naombeni msaada wenu,” alisema. 
SHIRIKI BARAKA
Kumsaidia mhitaji wa kweli huongeza baraka katika kipato, vitabu vitakatifu vinaeleza wazi. Ndugu wasomaji wetu wapenzi, kwa yeyote atakayeguswa na mateso ya familia hii, anaweza kumsaidia chochote mama huyo kupitia simu zake namba 0719 749542 (Tigopesa) na 0762 425973 (M - pesa).

DUNIA INA MAMBO...HAWA NDIO WANAWAKE WABAKAJI HUKO ZIMBAMBWE...IDADI YAO INAONGEZEKA KILA KUKICHA...!

$
0
0

 Imeripotiwa kuwa Idadi ya wanaume wanaobakwa na wanawake huko zimbabwe imekua ikiongezeka kwa kasi kila kukicha, mwanaume mmoja anaefahamika kwa jina la Al Bayan aliwashtaki wanawake watatu kwa kosa la kumkaba kumpiga na kumbaka kwa zamu katika mji wa Bulawayo polisi wanasema hiyo ni kesi ya sita ya ubakaji wa wanaume tangu mwaka huu uanze, 
mwanaume mwingine anadai kupewa lift na wanawake wawili ambao badae wlimpulizia chemiko na alposhutuka ndipo alipogundua kuwa alikua amebakwa.wanawake hao pia wlimwiba simu pamoja na pesa kiasi cha dola 20.
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live