Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

.SNURA WA MAJANGA NDANI YA TUHUMA NZITO....!SOMA ZAIDI HAPA...!

$
0
0

STAA wa wimbo wa Majanga, Snura Mushi ameingia kwenye majanga baada ya kudaiwa kukacha na deni la prodyuza Mohammed Kandoro wa Studio za Fire Music ambaye alimrekodia nyimbo kadhaa wakati akisaka kutoka...

Snura Mushi.
 Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika zinasema kuwa Snura ameingia mitini na kiasi cha Tsh. 400,000 za prodyuza huyo na kwamba sasa amehamia studio nyingine.
 Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Kandoro na kumwuliza kuhusu ukweli wa minong’ono hiyo, ambapo alikiri na kusema: “Ni kweli namdai laki nne. Nimefanya naye kazi kwa muda mrefu lakini sasa naona ameamua kuondoka na deni langu.”

Snura alipopigiwa simu na kuelezwa kuhusu madai hayo, alifunguka: “Kama kuna deni basi meneja wangu HK (Hyper Man) ndiye anayehusika, maana kila kitu nilimkabidhi yeye na naamini alilipa, sasa kama hakulipa hayo ni mambo yanayomhusu yeye, si mimi tena.”

Katika kutafuta mzani wa habari, gazeti hili liliwasiliana na meneja wa Snura, HK ambaye alisema hana deni lolote analodaiwa na Kandoro, ingawa alikiri kumhamisha Snura studio.

“Kilichopo ni kwamba tumehama kwenye hiyo studio, sina ugomvi nao wala Snura hajawahi kutofautiana naye. Tumefanya hivi kwa lengo la kutafuta ladha tofauti... hayo mambo ya madeni, si kweli. 

SIRI IMEFICHUKA...AFA AJALINI AKIWA NA KIMADA, MKEWE ALIMUAGA AENDA SALIMIA NDUGU, KIMADA ADATA ISHU KUVUJA....!

$
0
0
Habari toka Mkoani  Singida zinasema watu 13 waliofariki dunia baada ya kutokea ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani humo kumbe mmoja wa watu waliofariki alikuwa ni mume wa mtu ambae alikuwa anakwenda kula bata na nyumba
ndogoHabari zinasema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Noah na lori watu hao wakiwemo na kwa mujibu wa shuhuda wetu ambae alipiga simu kwenye ofisini na kueleza wawili hao walikuwa wanasaliti ndoa zao. " 

BANGI NI AFADHALI KULIKO POMBE

$
0
0
Duka la Bhangi katika jimbo la Colorado
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa kuvuta Marijuana au Bhangi, sio hatari ikilinganishwa na Pombe.
Lakini Obama amesema kuwa Bhangi bado ni mbaya kwa afya ya binadamu.
Katika mohojiano na jarida la The New Yorker, alisema kuwa ni vibaya kuwa na dhana kwamba kuhalalisha dawa hiyo ya kulevya ndio jibu kwa maasi mengi yanayotokea katika jamii
Bwana Obama alikuwa akigusia hatua ya hivi karibuni ya majimbo ya Colorado na Washington kuhalalisha utumiaji wa Bhangi.
Obama aliwahi kukiri kutumia dawa hiyo ya kulevya alipokuwa kijana.
"kama mnavyojua nyote nilivuta Bhangi nilipokuwa kijana na ninaiona kama tabia mbaya sawa na kuvuta sigara,'' alisema Obama
Lakini aliongeza kwamba athari za Bhangi kwa afya ya binadamu sio mbaya ikilinganishwa na Pombe.
Pia alisema kuwa watu masikini wengi wao wamarekani wenye asili ya kiafrika na walatino, waliadhibiwa visivyo kwa kutumia Bhangi wakati watu wenye kipato cha kadri walikwepa adhabu kali.
"ni muhimu kwa jamii kufahamu kuwa sio sawa ikiwa idadi kubwa ya watu wanovunja sheria hawaadhibiwi vilivyo wakati wachache wanapata kuadhibiwa.''
Obama alitaja kuhalalisha Bhangi katika majimbo ya Colorado na Washington kama hali ya kutatanisha.

VIDEO+PICHAZ..MKE WA OBAMA KUMBE NI MKALI WA VINGI....TAZAMA ALICHOKIFANYA KWENYE TANGAZO HILO...!HATARI SANA..

$
0
0
Wiki iliyopita Miami Heat walitembelea Ikulu ya Marekani kusherehekea uchampion wao wa mwaka 2013 ambapo wakiwa hapohapo Ikulu waliungana na first lady kusupport kampeni ya let’s move kwenye tangazo la TV ili kusisitizia umuhimu wa kula vizuri, kula kwa afya na kunywa maji ili kuwa imara kama champion.
Tangazo hili la TV lililowekwa Youtube January 21 2014 linaihusu kampeni hii ya kuimarisha afya.

18+..LAANA+AIBU KUBWA AFRICA...ACTRESS AFROCANDY AACHIA PICHA ZA UTUPU

$
0
0


WAKATI WA KUTAFUFA WANAUME WA KUCHEZA NAE ALITOA TANGAZO HILI: 

Nigerian actress,  posted this on her facebook, asking guyz to send in pictures of their Private Parts for an audition for her new  soft porn movie

Read Below
Please don’t send me no ‘FAKE DICKS’. Before you send me any DICK pictures, make sure it’s yours cos it will be very bad when you come to my AUDITIONS, I open it, and it looks different from the pics.. Still on the matter yo !..be warned !!
www.AfroCandysmusic.com
Screenshot at Jul 01 02-43-51


candyfbpo
Huyo ni Afro C@ndy wa Huko pande za Nigeria, aweaachia fans wake hiyo picha huku akijisifu yeye ndo malkia wa kunyonya

AIBUU..PICHAZ.."MHESHIMIWA" ANASWA AKIWA NA BINTI ALIYEVAA NUSU UCHI HUKU YEYE KANYUKA SUTI....!SHUKA NAYO HAPA...

ANGALIA PICHA MAHABUSU MWANZA AJIPAKA KINYESI AKIJARIBU KUTOROKA.

$
0
0
Hatua kwa hatua chini ya ulinzi mkali wa askari shupavu.



Askari akiwa amemnasa mahabusu aliye kimbia mara baada ya kujipaka kinyesi katika mahabusu ya mahakama ya wilaya ya Nyamagana na Mahakama ya Mwanza.ANGALIA PICHA ZAIDI

BAADA YA KUNASWA AKIJIUZA...BABY MADAHA KANYANG'ANYWA GARI..NA BOSI WAKE KAMTEMA..

$
0
0

Jambo limezua jambo! Ile skandali ya kunaswa baada ya kuingia mkenge kwenye mtego wa kujiuza imemtokea puani staa wa sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ambaye amekiri kuumbuka.
Habari hiyo iliruka hewani kwenye gazeti dada la hili, Ijumaa wiki iliyopita toleo namba 862 la Januari 17 hadi 23 likiwa na kichwa cha habari ‘BABY MADAHA ANASA MTEGO WA KUJIUZA. SAFARINI 
Ilielezwa kuwa wakati skendo hiyo ikiingia mitaani, mwanadada huyo alikuwa safarini kuelekea Nairobi, Kenya ambako ndiko yaliko Makao Makuu ya Kampuni ya Candy n Candy iliyompa mkataba mnono wa takribani Sh. milioni 200 ili wasambaze na kuuza kazi za Baby Madaha.MAPOKEZI
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini nchini humo, imezoeleka kuwa kila Baby Madaha anapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi kwa ajili ya kazi za kampuni hupokelewa na timu maalum kisha kuchukuliwa na lile gari la bei mbaya aina ya Audi TT. Ilielezwa kuwa baada ya habari ya kunaswa kwake kusambaa, alipotua uwanjani hapo hakukuwa na mtu aliyekwenda kumpokea kwa kile kilichoelezwa kuwa viongozi wa kampuni hiyo walichukizwa na jambo hilo. “Unajua tatizo ni simu ambazo viongozi wa Candy n Candy wanapigiwa na vyombo vya habari kutaka kujua undani wa skendo hiyo,” kilisema chanzo chetu na kuongeza: NYUMBANI
Baada ya kugundua kuwa alitelekezwa uwanjani, Baby Madaha alifanya mpango wa kwenda kwenye nyumba ya kampuni hiyo ambayo huwa anaishi lakini huko nako alikutana na ‘mbwa mkali’. Aliambiwa uongozi umekataza yeye kutia maguu ndani ya nyumba hiyo.
Kiliendelea kutiririka kuwa wakati huo, tayari Mkurugenzi wa Candy n Candy, Joe Kairuki alishawasiliana na Baby Madaha ambaye alimwambia kuwa skendo hiyo haikuwa ya kweli bali ‘promo’ ya filamu yake mpya ya The Gal Bladder.

OFISINI
“Hata angejitetea vipi, wale jamaa walikuwa hawamwelewi kwani alikwenda hadi ofisini kwao lakini hawakutaka kumsikiliza hadi hapo baadaye.
“Wanacholalamikia ni kwamba Baby Madaha amechafua sura ya kampuni na wanaonekana wanafanya kazi na msanii anayejihusisha na ufuska,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

GARI
“Hata hilo gari la Audi TT atakuwa analisikia kwenye bomba. Alizoea kukatiza nalo mitaa hapa Nairobi lakini sasa matatuu (daladala) zinamhusu.”

MSIKIE
Baada ya kujazwa data hizo, gazeti hili lilimtafuta Baby Madaha ambaye mwanzoni alikataa kutoa ushirikiano kwa kigezo kwamba ameharibiwa maisha.
Risasi: Baby lakini ni vizuri ukawa muwazi kuliko kuwa mkali. Je, ni kweli Candy n Candy wamevunja mkataba na wewe?
Baby: (kilio) Nasema niacheni kwanza mimi siyo msemaji wa Candy n Candy, mtafuteni mkurugenzi.
Alipomaliza kusema kwa hasira, Baby alikata simu. 

MKURUGENZI
Hata hivyo, alipotafutwa mkurugenzi huyo, Joe alikuwa na haya ya kusema:
“Yaa tumeingia kwenye matatizo kwa sababu ya hiyo habari.”
Risasi: Matatizo gani?
Joe: Tumepigiwa sana simu na vyombo vya habari kuthibitisha hiyo skendo. Tunaonekana tunafanya kazi na mtu ambaye siyo. Anatuharibia image (sura) ya kampuni.
Risasi: Kwa yeye (Baby Madaha) amewaambiaje?
Joe: Anasema ni mambo yake ya filamu, kimsingi hatujamuelewa ndiyo maana hatujampa muda wa kumsikiliza kiundani. Risasi: Kwa hiyo mtavunja mkataba wake na ninyi?
Joe: Ndiyo lengo letu lakini siyo jambo la haraka kwani kuna masuala ya kisheria.
Risasi: Vipi kuhusu gari na nyumba mlivyomkabidhi?
Joe: Kwa sasa kila kitu kipo chini ya kampuni.
Risasi: Nini hatima yake (Baby Madaha) sasa?
Joe: Yeye ndiye mumuulize nini hatima yake. BABY MADAHA TENA
Baada ya mazungumzo hayo, gazeti hili lilimrudia Baby Madaha ambapo safari hii alikuwa mpole: “(kilio cha kwikwi) jamani nimeumbuka. Yaani huku wameichukulia kuwa ishu kubwa sana.”
Risasi: Sasa nini hatima yako?
Baby Madaha: Mi nipo Nairobi najaribu kuweka mambo sawa. Namwamini Mungu, najua atanijalia haja ya moyo wangu.

AMEFIKAJE HAPA?
Baby Madaha aliingia mkataba na kampuni hiyo mwaka jana ambapo mpaka sasa amesharekodi nyimbo mbili za Squeeze na Summer Holiday huku akirekodi filamu moja ya The Gal Bladder iliyozinduliwa hivi karibuni, jijini Dar. 
GPL

MUONEKANO MPYA WA MREMBO WEMA SEPETU MAMA YA MUJINI:

$
0
0


Pichani juu ni taswira za Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu alizotupia katika ukurasa wake wa Instagram ambapo mojawapo aliandika hivi "For my baby... yes you...". Mrembo huyu kwa sasa yupo na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz

AMANDA POSH NOMA SANA, HUU MTOKO NOMA SANA. JIONEE MWENYEWE HAPA

Uzinduzi wa Kampeni za CCM Kiembesamaki Zanzibar.

$
0
0
 Ustadhi Sharif Abdurahaman, akisoma Qu-ran wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki uliofanyika katika viwanja vya Kiembesamaki michungwani. 
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya CCM na Makamo wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimtambulisha Mgombea wa CCM katika uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Nd Mahmoud Thabit Kombo katika viwanja vya kiembesamaki michungwani Zanzibar.  
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwahutubia Wanachama wa CCM wa Jimbo la Kiembesamaki katika Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo, unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao uzinduzi huo umefanyika katika uwanja wa mpira kiembesamaki michungwani.
 Mgombea Uwakilishi katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Bwa, Mahmoud Thabit Kombo, akiwaonesha Vitabu vya Ilani ya Uchaguzi wa CCM baada ya kukabidhiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo zilizozinduliwa katika viwanja vya mpira kiembesamaki.  
Mgombea wa CCM  Bwa. Mahmoud Thabit Kombo akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM katika viwanja vya mpira kiembesamaki.

 Wanachama wa CCM wakimshangilia Mgombea wao wakati akimwaga Sera za Chama chake katika mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar.
 Mgombea wa CCM Bwa. Mahmoud Thabit Kombo akiwahutubia Wapiga kura wake katika mkutano wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira kiembesamaki Zanzibar.
Mwakilishi Kijana wa Jimbo la Bububu Hussein Ibrahim Makungu (BHAA) akiwa jukwaani kumnadi Mgombea wa CCM jimbo la Kiembesamaki Bwa. Mahmoud Thabt Kombo.
 Mbunge wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe. Waride Bakari Jabu, akimnadi Mgombea wa Nafasi ya Uwakilishi katika viwanja vya Mpira kiembesamaki katika mkutano wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo hilo. 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe. Vaia Ali Vuai, akihutubia katika mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki baada ya Mwakilishi wake kupitia CCM kuvuliwa Unanachama na nafasi hiyo kuwa wazi bila ya mwakilishi .
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Magharibi Yussuf Mohammed akihutubia katika mkutano huo wa kampeni ya  Uchanguzi mdogo wa jimbo la kiembesamaki. 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mohammed Seif Khatib, akiwahutubia Wanachama wa CCM na kuwahamashisha kumpigia kura mgombea wa CCM, Bwa. Mahmoud Thabit Kombo.
Viongozi wa Meza Kuu wakiwa katika viwanja vya Uzinduzi wa Kampeni ya Chama cha Mapinduzi katika viwanja vya mpira kiembesamaki.
Wanachama wa CCM wakimshaniria Mgombea wao wakati akitambulisha katika mkutano wa Uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira kiembesamaki Zanzibar.
Viongozi wa CCM na Wabunge wakiwa katika viwanja vya Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni wa Jimbola Kiembesamaki.
Wanachama wa CCM wakichukua picha kupitia simu zao kwa ajili ya kumbukumbu ya Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Jimbo la Kiembesamaki kupitia Chama cha  CCM. 


PICHA..DIAMOND NA WEMA SEPETU NDANI YA SHUKA MOJA KWA BED...WACHA MUVI IENDELEEE

$
0
0
HILO MUVI WE WACHA LIENDELEE...MI NILIKUA NAPITA TU

HATIMAYE MTOTO WA RAIS KIKWETE ..RIDHIWANI AAMUA KUTUMIA JEZI YA MAN UNITED KUSONGEA UGALI...BAADA YA MATOKEO YAKE KUWA MABOVU...TAZAMA PICHA

HUDDAH ACHEKELEA KWA PREZZO KUACHANA NA STARLISHA, ASEMA YUKO TAYARI KUMRUDIA

$
0
0

Baada ya kuachana na Starlisha Tillya aka Mdoli wa Kichaga, Prezzo anaweza kupata liwazo kutoka kwa mtu anayemjua vizuri, Huddah Monroe.
huddah
Huddah amesema yupo tayari kurudiana na ex wake huyo na tena habari za kuachana kwa Prezzo na Chagga Barbie amezipokea kwa furaha kubwa na kwamba amelimiss penzi la Mfalme huyo wa Bling Bling. “What’s the handle of that Prezzos ex? Can somebody tell her I am happy they broke up? I am Actually in church thanking God! Lol,” alitweet Huddah na kisha kumwambia Barbie: Hi.I am VERY happy @TanzaniteG that u and 
@AMB_Prezzo broke up.I missed my beast in bed.I am on the next flight to Kenya.Thanks dear.Mwaah.” 
Isitoshe Huddah anasema Prezzo ni fundi kwenye mchezo wa kitandani na kwamba hicho ndicho kinamchomsababisha Chagga Barbie achukie zaidi licha ya kumuita ‘Kibamia’. “He he he! I’ll gladly take him back.Coz he is the best sex I ever had….That’s what the chagga is missing! LOL! No wonder she is angry!” 
“KQ I need the next flight to Kenya.I got something urgent that I need to celebrate.” 
Hizi ni tweets zingine za Huddah: 
And I’m not being sarcastic you nasty idiots.u should leave Prezzo alone.People in a relationship share a lot and that’s what he simply did 
That’s awkward moment when Prezzo announces his new gal and its not me.LOL! 
And I don’t want any bitch texting my man begging him for apologies once we are back.Your time is up.LMFAO! Instagram dating!

BAAADA YA SKENDO YA KUJIUZA KUVUJA BABY MADAHA SASA AAMBULIA PATUPU..!!"BOSI" WAKE AMTEMA

$
0
0

Jambo limezua jambo! Ile skandali ya kunaswa baada ya kuingia mkenge kwenye mtego wa kujiuza imemtokea puani staa wa sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ambaye amekiri kuumbuka.
Habari hiyo iliruka hewani kwenye gazeti dada la hili, Ijumaa wiki iliyopita toleo namba 862 la Januari 17 hadi 23 likiwa na kichwa cha habari ‘BABY MADAHA ANASA MTEGO WA KUJIUZA.
SAFARINI 
Ilielezwa kuwa wakati skendo hiyo ikiingia mitaani, mwanadada huyo alikuwa safarini kuelekea Nairobi, Kenya ambako ndiko yaliko Makao Makuu ya Kampuni ya Candy n Candy iliyompa mkataba mnono wa takribani Sh. milioni 200 ili wasambaze na kuuza kazi za Baby Madaha.
MAPOKEZI
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini nchini humo, imezoeleka kuwa kila Baby Madaha anapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi kwa ajili ya kazi za kampuni hupokelewa na timu maalum kisha kuchukuliwa na lile gari la bei mbaya aina ya Audi TT.
Ilielezwa kuwa baada ya habari ya kunaswa kwake kusambaa, alipotua uwanjani hapo hakukuwa na mtu aliyekwenda kumpokea kwa kile kilichoelezwa kuwa viongozi wa kampuni hiyo walichukizwa na jambo hilo.
“Unajua tatizo ni simu ambazo viongozi wa Candy n Candy wanapigiwa na vyombo vya habari kutaka kujua undani wa skendo hiyo,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

MITANDAO
“Pia mitandao nayo imechangia kuwashtua viongozi hao maana kila ‘blogi’ imekopi kutoka kwenye mtandao baba lao wa TUANGAZE BONGO  na kupesti kwao.”

NYUMBANI
Baada ya kugundua kuwa alitelekezwa uwanjani, Baby Madaha alifanya mpango wa kwenda kwenye nyumba ya kampuni hiyo ambayo huwa anaishi lakini huko nako alikutana na ‘mbwa mkali’. Aliambiwa uongozi umekataza yeye kutia maguu ndani ya nyumba hiyo.
Kiliendelea kutiririka kuwa wakati huo, tayari Mkurugenzi wa Candy n Candy, Joe Kairuki alishawasiliana na Baby Madaha ambaye alimwambia kuwa skendo hiyo haikuwa ya kweli bali ‘promo’ ya filamu yake mpya ya The Gal Bladder.

OFISINI
“Hata angejitetea vipi, wale jamaa walikuwa hawamwelewi kwani alikwenda hadi ofisini kwao lakini hawakutaka kumsikiliza hadi hapo baadaye.
“Wanacholalamikia ni kwamba Baby Madaha amechafua sura ya kampuni na wanaonekana wanafanya kazi na msanii anayejihusisha na ufuska,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

GARI
“Hata hilo gari la Audi TT atakuwa analisikia kwenye bomba. Alizoea kukatiza nalo mitaa hapa Nairobi lakini sasa matatuu (daladala) zinamhusu.”

MSIKIE
Baada ya kujazwa data hizo, gazeti hili lilimtafuta Baby Madaha ambaye mwanzoni alikataa kutoa ushirikiano kwa kigezo kwamba ameharibiwa maisha.
Risasi: Baby lakini ni vizuri ukawa muwazi kuliko kuwa mkali. Je, ni kweli Candy n Candy wamevunja mkataba na wewe?
Baby: (kilio) Nasema niacheni kwanza mimi siyo msemaji wa Candy n Candy, mtafuteni mkurugenzi.
Alipomaliza kusema kwa hasira, Baby alikata simu. 

MKURUGENZI
Hata hivyo, alipotafutwa mkurugenzi huyo, Joe alikuwa na haya ya kusema:
“Yaa tumeingia kwenye matatizo kwa sababu ya hiyo habari.”
Risasi: Matatizo gani?
Joe: Tumepigiwa sana simu na vyombo vya habari kuthibitisha hiyo skendo. Tunaonekana tunafanya kazi na mtu ambaye siyo. Anatuharibia image (sura) ya kampuni.
Risasi: Kwa yeye (Baby Madaha) amewaambiaje?
Joe: Anasema ni mambo yake ya filamu, kimsingi hatujamuelewa ndiyo maana hatujampa muda wa kumsikiliza kiundani.

Risasi: Kwa hiyo mtavunja mkataba wake na ninyi?
Joe: Ndiyo lengo letu lakini siyo jambo la haraka kwani kuna masuala ya kisheria.
Risasi: Vipi kuhusu gari na nyumba mlivyomkabidhi?
Joe: Kwa sasa kila kitu kipo chini ya kampuni.
Risasi: Nini hatima yake (Baby Madaha) sasa?
Joe: Yeye ndiye mumuulize nini hatima yake.

BABY MADAHA TENA
Baada ya mazungumzo hayo, gazeti hili lilimrudia Baby Madaha ambapo safari hii alikuwa mpole: “(kilio cha kwikwi) jamani nimeumbuka. Yaani huku wameichukulia kuwa ishu kubwa sana.”
Risasi: Sasa nini hatima yako?
Baby Madaha: Mi nipo Nairobi najaribu kuweka mambo sawa. Namwamini Mungu, najua atanijalia haja ya moyo wangu.

AMEFIKAJE HAPA?
Baby Madaha aliingia mkataba na kampuni hiyo mwaka jana ambapo mpaka sasa amesharekodi nyimbo mbili za Squeeze na Summer Holiday huku akirekodi filamu moja ya The Gal Bladder iliyozinduliwa hivi karibuni, jijini Dar

MDADA AGEUZA JENEZA NDIO KITANDA CHA KULALIA KILA SIKU...!

$
0
0

PICHANI JUU NDIO MWANAMKE ALIYEAMUA KUTUMIA JENEZA KAMA KITANDA KULALIA KILA SIKU..KWELI MAJUU HAMNAZO...

HUYU NDO MCHUMBA WA LULU MICHAEL SI SIRI TENA

$
0
0

Hamida Hassan, Mayasa Mariwata na Galdness Mallya
HAYAWIHAYAWI hatimaye yamekua! Siku chache baada ya sexy lady wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ kutangaza sifa za mwanaume atakayemchumbia, amejitokeza mtu anayetaka kuchukua jumla na si siri tena, Amani limenyetishiwa.

SIFA ZAKE
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa familia ya staa huyo anayekimbiza sokoni na filamu yake ya Foolish Age, mchumba huyo anaitwa Johnson lakini ni maarufu kwa jina la JR na pia ni Mkristo kama ilivyo kwa Lulu.

JR ni mfanyabiashara kigogo wa jijini Dar mwenye ‘mahela’ ya kufa mtu.
Pia mchumba huyo ni bosi wa kampuni kubwa ya uandaaji, usambazaji wa kazi za sanaa Bongo.

ALISHAKWENDA KWA AKINA LULU
“Kwa taarifa yenu, tayari JR anafahamika vizuri kwa akina Lulu kwani alishakwenda kujitambulisha na kuna maneno kwamba ndiye aliyempangia nyumba kubwa, Tegeta jijini Dar.

“Unajua yule jamaa aliona fursa akaitumia. Baada ya Lulu kutoka mahabusu kwa matatizo ya kifo cha mwandani wake, Steven Kanumba ndipo JR akafanya juu chini kumnasa hadi akafanikiwa,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

“Muda siyo mrefu zitasikika cherekochereko za Lulu kuolewa.
“Ukweli ni kwamba hata mama Lulu (Lucresia Karugila) amemkubali yule mchumba kwani ndiye anayemfanya Lulu aonekane kama alivyo kwa sasa.

“Sasa hivi Lulu anaishi kwenye bonge la nyumba kule Tegeta (Dar) na suala la usafiri si ishu. Anabadili tu magari. Kusema kweli kwa sasa bidada mambo yamemwendea vizuri.
“Anachoogopa tu yasitokee kama yale ya Clement wa Wema Sepetu.”

AMANI LASAKA WAHUSIKA
Baada ya kumwagiwa upupu huo, gazeti hili liliwasaka wahusika mmoja baada ya mwingine ili kupata mbivu na mbichi za ishu hiyo.

MAMA LULU
Kwa kuwa ni jambo la kifamilia, gazeti hili lilipozungumza na mama Lulu, Lucresia Karugila alisema si jambo baya kwa mwanaye kuwa na mchumba hivyo anamkubali (huyo mchumba) huku akiweka wazi kuwa hana kipingamizi chochote.

Alipoulizwa jina la mwanaume huyo na kwamba ni kigogo mwenye fedha nyingi, mzazi huyo alitoa ruksa aulizwe Lulu mwenyewe.

“Mimi sina sababu ya kumkataa mwanaume ambaye wamekubaliana na mwanangu, kikubwa ni makubaliano, namkubali,” alisema mama Lulu.


HUYU HAPA LULU
Kwa upande wake Lulu mambo yalikuwa hivi;
Amani: Mambo vipi Lulu?
Lulu: Poa, naongea na nani?
Amani: (akatajiwa jina la mwandishi) kwanza hongera kwa kupata mchumba.
Lulu: Nani kawaambia?

Amani: Kwa kazi yetu hii hatushindwi kujua. Je, ni kweli umepata mchumba?
Lulu: Ndiyo lakini nisingependa sana kulizungumzia hilo.
Amani: Anaitwa nani?
Lulu: Siwezi kumtaja leo (Jumanne iliyopita). Nitawatajia tu ninyi subirini. Itakuwa surprise (mshangao), siku si nyingi nitamuanika.

Amani: Je, ni kweli ni maarufu kwa jina la JR? Au wewe tutajie hata jina la mwanzo tu.
Lulu: Nimeshasema jamani nitawatajia kwani ninyi mna haraka gani?
Amani: Je, ni kweli ni mmiliki wa kampuni ya burudani? (anatajiwa kampuni).
Lulu: Hayo yote yatafahamika kwenye utambulisho. Naomba niishie hapo ‘coz’ sina cha zaidi kuhusu ishu hiyo jamani subirini siku si nyingi.


MAMA KANUMBA
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa Lulu ana mchumba rasmi, ‘kijumbe’ wetu alimfikishia taarifa aliyekuwa mama mkwe wa staa huyo wakati akiwa na Kanumba, mama Kanumba, Flora Mtegoa ili naye atie neno.

Mama Kanumba hakuwa na kipingamizi juu ya suala hilo zaidi ya kuchekelea huku akiweka wazi kuwa Lulu kwa sasa anaweza kuolewa.
“Mimi sina tatizo kabisa, namjua. Lulu anaweza kuolewa na nimempa baraka zote,” alisema mama Kanumba ambaye kwa sasa ni shosti mkubwa wa mama Lulu.

JR SASA
Hata hivyo, gazeti hili halikuishia hapo kwani lilisaka namba ya simu ya kiganjani ya mwanaume huyo ambapo ilipopatikana, alipigiwa, mambo yakawa hivi:
Amani: Habari yako mkuu JR?
JR: Safi, nikusaidie nini?

Amani: Mimi…(akatajiwa jina la mwandishi na kampuni) wewe ndiye JR mmiliki wa kampuni ya…(anatajiwa jina la kampuni).
JR: Kwanza mimi siyo JR ni GR. Huyo JR ni mdogo wangu.
Amani: Mbona sisi tumetajiwa JR ambaye anamiliki kampuni ya...(anatajiwa tena jina la kampuni).
JR: Oke, ndiyo mimi nikusaidie nini?

Amani: Taarifa tulizonazo ni kwamba una uhusiano na Lulu? Yaani wewe ndiye mchumba wake?
JR: Ndiyo, sitaki maswali (tusi na kukata simu).  



Tangu kitokee kifo cha Kanumba ambaye alikuwa na uhusiano wa siri na Lulu, bidada huyo hajawahi kuwa na mwanaume hadi huyo mchumba aliyejitokeza.

Tembo ashambulia gari la watalii wachokozi na kuliacha nyang'anyang'a!

$
0
0

Wiki iliyopita January 2014 watalii fulani wawili huko Afrika Kusini walijifanya wajuaji na kumkorofisha tembo na tembo akalishambulia gari lao na kuliacha written off, huku akiwajeruhi hao watalii. Unfortunately, ilibidi tembo auwawe kwa risasi na game rangers kwa kuogopa kwamba anaweza kushambulia magari mengine. Angalia picha na video link hapo chini. Ukisoma comments utaona watu wengi wamekasirishwa na kitendo cha kumuua tembo huyo aliyechokozwa!


PICHAZZ..!! ETI YASEMEKANA MREMBO HUYU NDIYE MWENYE SHEPU NZURI ZAIDI DUNIANI...!!MTAZAME MWENYEWE HAPA MDAU

18+..AIBUU KUBWA..MASHOGA WATEMBEZWA UCHI MITAANI KAMA ADHABU YA UFIRAUNI WAO...JIONEE MWENYEWE HAPA

$
0
0
Watu wazima na vijana wanaosemekana kuwa ni mashoga walikamatwa huko Naija na kisha kuvuliwa nguo zote na kutembezwa uchi ili tu kukomesha vitendo hivyo vya ushoga vinavyoendelea eneo hilo...MASHOGA WA KIBONGO MPO??BADILIKENI MUIGE MFANO WA MWENZENU ANTI ASU.....
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live