Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

AMA KWELI HAYA NI MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE

$
0
0
Grace Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito.
GRACE Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito wa kupindukia  wa kilo 111 (kama gunia moja la mahindi na viroba vitatu) hali iliyomsababishia akatishwe masomo na walimu katika Shule ya Msingi Amani, Ukonga, Ilala jijini Dar es Salaam alikokuwa anasoma.

Grace ambaye mwaka huu angekuwa darasa la saba lakini aliachishwa shule mwaka 2010 akiwa darasa la nne na walimu wakimtaka akatibiwe.
MAMA MZAZI ASIMULIA
Akizungumza na Uwazi kuhusu mkasa mzima wa mtoto Grace, mama yake mzazi, Ashura Bakari alisema binti yake alimzaa salama mwaka 2000 lakini ilipofikia mwaka 2002 akiwa na miaka miwili alianza kuvimba tumbo hali ambayo hakujua chanzo chake.
ATENGWA NA WANAFUNZI
Mama huyo akizungumza kwa masikitiko alisema kuwa, Grace alipofika darasa la nne, akiwa na umri wa miaka kumi baadhi ya wanafunzi wenzake walianza kumnyanyapaa kutokana na unene ambao ulikuwa ukiongezeka siku hadi siku.
“Walikuwa wakimtania sana  mwanangu hadi kukosa amani. Hali hiyo iliwafanya walimu kumsimamisha masomo ili atibiwe. Hadi sasa sijapata msaada wa kupona kwake,” alisema mama huyo  huku machozi yakimtoka.
HOSPITALI ZIMESHINDWA?
Aidha, mama Grace aliongeza kuwa amekwishahangaika katika hospitali mbalimbali za jijini Dar es Salaam, ikiwemo Muhimbili bila mafanikio.
“Muhimbili waliniambia ili mwanangu aweze kufanyiwa vipimo pamoja na matibabu gharama zake ni shilingi laki nane (800,000) ambazo nimezikosa na hakuna mtu wa kunisaidia,” alisema.
NDUGU NAO
Alisema mbali na kutafuta tiba hospitalini, amekuwa akipita huku na huko kuomba msaada wa fedha kutoka kwa ndugu na jamaa lakini hakuna aliyemsadia.
KWA NINI BABA MZAZI ASIMSAIDIE?
Katika hali ya kushangaza, mama huyo alisema ili kupata fedha hizo anahangaika peke yake kwa sababu baba mzazi wa Grace, Simon alikataa kutoa msaada wowote.
“Baba yake yupo hai, alikuwa anatoa msaada kipindi cha mwanzo lakini miaka kama mitano imepita hakuna msaada anaonipa. Ni kweli hatuishi pamoja lakini mtoto tulizaa wote,” alisema kwa masikitiko makubwa mama huyo.
WALICHOKIONA MADAKTARI
Akizungumzia kiini cha tatizo, mama huyo alisema: “Kwa mujibu wa madaktari mwanangu anasumbuliwa na moyo kujaa mafuta mengi, kwa hiyo homoni zake zimekosa uwiano na ini pia lina sumu nyingi.”
GRACE  AWALILIA WATANZANIA
Akizungumza na mwandishi wetu, mtoto huyo anayetamani kuendelea kusoma aliwaomba Watanzania wamsaidie fedha ili aweze kutibiwa na kurejea darasani.
“Niliachishwa shule ili nitibiwe, nikipona nirejee shuleni, lakini hadi sasa sijapata nafuu, na ninajua ni kutokana na kutopata matibabu sahihi,” alisema Grace huku akilia.
UONGOZI WA SHULE 
Mmoja wa walimu waandamizi wa Shule ya Msingi Amani alipokuwa akisoma mwanafunzi huyo (hakuwa  tayari kutaja jina lake), alikiri kumtambua mwanafunzi huyo na kusema aliachishwa  shule kwa hofu ya uongozi wa shule.
“Hatukumwachisha shule kwa nia mbaya, lakini lengo letu lilikuwa akatibiwe kisha arudi shuleni lakini matibabu anayopata hajaweza kupona na hali aliyokuwa nayo inazidi kuongezeka siku hadi siku,” alisema mwalimu huyo.
Akaongeza: “Mwaka huu Grace ilikuwa awe darasa la saba, lakini hata kutembea ni tatizo hali ambayo tuliona kuwa unene ule si afya bali ni ugonjwa.”
MSAADA UNAAOHITAJIKA
Kwa yeyote aliyeguswa na tatizo la Grace ambaye anasaka shilingi laki nane tu ili atibiwe, anaweza kuwasiliana na mama yake mzazi  kwa simu: 0719 465445, ASHURA BAKARI

MAGAZETI YA UDAKU LEO

ANGALIA .PICHA ZA U*UPU ZA MTOTO WA KIGOGO..APIGA NA KUZITUPIA MTANDAONI...KAMA HUKUWAHI ZIONA ZICHEKI HAPA....!

$
0
0

Wakati sakata la mastaa kupiga picha za chafu likiwa bado halijaondoka vichwani mwa watu, gazeti la Ijumaa limenasa picha nyingine zinazomwonesha binti aliyetajwa kwa jina moja la Tuma akiwa mtupu ambaye inasemekana ni mtoto wa kigogo mmoja mkoani Morogoro, shuka mstari kwa mstari.

Awali gazeti lenye heshima tele mbele ya jamii, Ijumaa lilipokea waraka pepe kutoka kwa msomaji mmoja mkoani Morogoro ambaye alisema, anazo picha chafu za binti huyo zinazosambazwa kwa kasi ya moto wa petroli kwenye mtandao wa intaneti. Waraka pepe uliotumwa kwenye anuani pepe ya Ijumaa ilisomeka: “Hello Ijumaa, ninazo picha za Tuma. Yupo mtupu, amelala kitandani, kama mnahitaji hiyo habari, nipeni pesa niwape mchongo mzima.” 
Kwa kutambua umuhimu wa habari hiyo, haraka, gazeti hili lilijibu waraka pepe wa ‘sosi’ huyo na baada ya makubaliano, alituma picha za mapozi tofauti za mrembo huyo (kama zinavyoonekana ukurasa wa mbele) na maelezo kwa ufupi. Chanzo hicho, kilieleza kwamba, picha hizo zinadaiwa kupigwa katika hoteli moja yenye jina kubwa jijini Tanga, ingawa haikujulikana ni nani aliyempiga na alikuwa na nia gani. 

Alidai kwamba, kwa sasa picha hizo siyo stori tena Morogoro, kwasababu zimezagaa kila kona ya ‘Mji Kasoro Bahari’. 
“Huku hakufai, mchezo aliofanyiwa ni mchafu na Tuma anahaha kila kona, amefedheheka sana, anaogopa kuchafua familia yake,” kiliendelea kupasha chanzo hicho.

Katika picha hizo, zipo zinazomwonesha binti huyo mrembo akiwa amepozi mwenyewe kitandani na kanga moja, wakati nyingine zikimwonyesha amelala mtupu, uso wake ukipambwa na tabasamu mwanana, tukio linaloashiria kwamba alikuwa akitoa ushirikiano wa kutosha wakati zoezi la kupigwa picha hizo lilipofanyika. 
Aidha, ipo picha inayomwonesha binti huyo akiwa analia, huku sababu za kilio chake akiwa anazijua mwenyewe.
Hakuna maelezo ya kutosha juu ya picha hizo ila Timu ya Ijumaa inaingia mzigoni ili kubaini upande wa pili kisha tutawaletea mwendelezo wake.
KUTOKA KWA MHARIRI
Kwa muda mrefu sasa, magazeti pendwa yamekuwa yakiripoti habari zinazohusu wasichana kupiga picha za utupu kwa lengo la kukemea tabia hiyo, lakini bado sikio la kufa halisikii dawa kwani ndiyo kwanza wamecharuka. 

Kwetu sisi, kupiga picha chafu si tabia njema na inaharibu maadili ya jamii nzima ambayo kimsingi si utamaduni wetu.
Tunarudia tena na tena kutoa angalizo letu kwa mabinti kuwa makini na wapenzi wao, wasikubali kupigwa picha chafu wanapokuwa nao faragha, kwani inaweza kuharibu. 

ANGALIA PICHA ZA UTUPU ZA BINTI ZANASWA KWENYE SIMU YA MUME WA MTU...AIBU TUPU NI DENTI WA UDSM.

$
0
0
zulekha nassir katika posi akiwa saluni kijitochama
Zulekha akiwa kitaa
ILIANZA HIVI..Zulekha akamtumia picha akiwa amelala...mmh malavidavi haya...

zulekha akaona haitoshi...ATI MUME WA MTU SUMU?...AKAMPA NYONYO ANYONYE...
CHUKUA YOTE  HAYA UNYONYE....MAANA MOJA HALITOSHI...DAAAH LAANA HIZI JAMANI

Mzuka umempanda akaamua kuchojoa night dress...
Malavidavi yanaendelea

YALAAA..mwisho akaona amwonyeshe kitumbua live...daaah

Angalia Picha ya Mwanamke Czech Republic atolewa mawe sita tumboni

$
0
0

article-2539790-1AADA4ED00000578-290_634x382
Na Damas Makangale,
Mwanamke mmoja nchini Czech Republic ametolewa mawe takribani sita katika tumbo lake baada ya kufanyiwa oparesheni kubwa ya upasuaji na madaktari bingwa.
Madaktari wanasema alikuwa na hofu kubwa ya kuona madaktari kwa sababu ni nusu kifo ilikuwa ni kufa au kupona.
Alikaa na tumbo hilo kwa miaka 47 na lilikuwa likizidi kuvimba siku hadi siku ni mara 20 la tumbo la kawaida.
Wataalamu wanasema kwamba haijulikani kama atapata nafuu ya haraka na moja kwa moja ila baada ya oparesheni uzito wake ulipungua kwa kasi.
Mwanamke huyo raia wa Czesh alikuwa na takribani mawe sita ambayo yalioonekana na kutolewa kutoka kwenye tumbo lake na ukubwa wa tumbo ulikuwa mara ishirini la tumbo la kawaida.SOMA ZAIDI

MAPICHA YA AIBU (18+)!!! POMBE YAMFANYA MDADA KUVUA NGUO HADHARANI KWEUPEE HUKO KAHAMA

$
0
0

MWANAMKE huyu mkaazi wa kahama wiki iliyopita alitoa kali ya mwaka alipofakamia pombe kali almaarufu kwa jina la kiroba,
Chanzo cha habari kiliieleza kwamba dada huyu alifakamia Viroba vya kutosha hatimaye kujikuta akisasambua nguo moja baada ya nyengine kitendo ambacho kilimfanya awe kivutio kikubwa kwa watu waliokwepo katika eneo la tukio muda ule mchana kweupeeee,


Yani wakaazi wa kahama mjini walifurika katika eneo la tukio mkabala na geti la soko la ndizi mjini humo.

ONYO..! UNYWAJI WA POMBE KUPITA KIASI NI HATARI KWA AFYA YAKO,
PICHA HIZI HAPA CHINI TUMEZIFICHA KUTOKANA NA MAADILI YA KIAFRIKA.(+18)






TAZAMA (PLAY) VIDEO HAPO...LAANA TUPU

LAANA KUBWA HII....CHEKI PICHA MDADA HUYO AMBAYE HAKUVAA "PICHU" ANAVYOJIDHALILISHA NIGHT CLUB....!

$
0
0
HII NI KWA WALE MABINTI  WOTE WANAOPENDA KWENDA SEHEMU ZA STAREHE BILA KUVAA NGUO ZA NDANI. TABIA HII SIO NZURI ACHENI MAANA MTAAMBULIA AIBU KAMA HUYO HAPO JUU.

MKE WA MTU SUMU, MME WA MTU JE????MWANAFUNZI AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO BAADA YA KUFUMANIWA NA BOYFRIEND WA RAFIKI AKE.

$
0
0
http://www.theclicktz.com/

Mwanafunzi wa chuo kimoja alimwagiwa mafuta ya moto na rafiki yake kipenzi baada ya kumkuta na boyfriend wake wakifanya mapenzi.
Ilikuwa ni siku ya ijumaa Nasra alipokuwa akitoka darasani na kurejea hostel alipokea sms ikisema "Nenda kwa Rafiki yako kipenzi Naima kuna Bonge la Surprize, tafadhali usikose nenda sasa hivi" Nasra aliamua kuchukua pikipiki hadi kwa rafiki yake alipofika tu alikuta viatu vya boyfriend yake nje, akashtuka kwanza kwani sio kawaida ya jamaa huyo kwenda kwa Naima bila ya kuwa na Nasra, Nasra alijaribu sana kugonga lakini hakufunguliwa, na baadae aliamua kupiga simu zote mbili ya rafiki yake na ya boyfriend wake pia zote zikaita tu bila kupokelewa, Alikaa pale nje hadi majira ya saa sita usiku, ambapo alishajua kunakitu kinaendelea. Muda ulivyozidi kwenda  Nasra alitoka na kwenda kuchukua marafiki zake wengine wawili, aliporudi alikuta bado hawajatoka ndani.


Mpaka majira ya saa saba hivi usiku, Nasra akiwa amebeba mafuta ya moto kwenye chupa ya chai yeye na marafiki zake walivunja mlango na kuwakuta wawili hao ndani wakiwa katika hali ya uoga jamaa alifanikiwa kukimbia na kumuacha Naima chumbani ambapo Nasra alifungua chupa ya chai na kumwagia mafuta hayo ya moto rafiki yake huyo msaliti.



Nasra alikamatwa baadae na kufikishwa kituo cha polisi ambayo alihojiwa na kusema kwamba, alikuwa akipata tetesi na uvumi kwamba mchumba ake anatembea na rafiki yake kwa siku nyingi hivyo alikuwa anatafuta tu uthibitisho, na ameupata baada ya kuatilia kwa muda mrefu

BIASHARA YA NGONO MASTAA WA KIKE BONGO...BABY MADAHA ANASWA LIVE BILA CHENGA KWA DAU LA MI...SOMA ZAIDI HAPA....!

$
0
0
AMA kweli maovu yanazidi kuongezeka, shetani naye mbioni siku zote kunasa waliyo wake, kauli hizo zote ziko sambamba na staa wa sinema za Kibongo na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Baby Joseph Madaha amenaswa baada kuingia mkenge mtego wa kujiuza, Ijumaa limesheheni.
 
 Kumekuwa na skendo kuwa baadhi ya mastaa wa kike Bongo hujihusisha na biashara ya kujiuza ili kujipatia kipato na kufanya sanaa kuwa kama chambo cha kunasa wanaume.

 OFM MZIGONI
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, mwaka jana ilinasa mastaa wawili kwenye mtego wake, mke wa mtu, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ na Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’.
Mwaka huu, OFM imeanza kazi zake ambapo kwa kuanzia iliamua kumtega Baby Madaha aliyejaa kwenye kumi na nane zake.
 Mmoja wa wadau wa OFM alijifanya mfanyabiashara kutoka Mwanza ambaye ni mgeni wa jiji a.k.a Ngosha akijipachika jina la Frank ambapo baadaye katika mazungumzo, Baby Madaha alimbana na kutaka ampatie majina matatu ndipo mwana-OFM Frank (feki) akajipatia jina Frank Michael Lugwisha.
 
ILIKUWAJE?
Mchezo mzima ulianza Januari 13, mwaka majira ya saa 11:52 jioni kwa kuchati kwenye simu ya kiganjani ambapo Baby Madaha aliingia kichwakichwa bila kujua anachati na ‘sumu’ wa OFM kama ifuatavyo;
Frank/OFM: Mambo vipi Baby Madaha? Nilikuwa naomba tuonane.
Baby Madaha: Kuhusu nini?
 Frank/OFM: Niwe mkweli, Madaha nimekupenda, nilipofika hapa Dar ndo nikaona nikutafute.
Baby Madaha: Unampendaje mtu usiyemjua?
Frank/OFM: Jamani nakuonaga magazetini na video zako.
Baby Madaha: Safi, so unataka kuniambia nini ambacho sijakisikia?
 Frank/OFM:  Nataka tu-meet (kukutana) Madaha nimetokea kukupenda sana lakini Alhamisi (jana) narudi mkoani Mwanza.
 Baby Madaha: Huwezi ku-manage kuwa na mimi, baki kuwa shabiki wangu tu.
Frank/OFM: N’take radhi Madaha, kwa nini nisiweze, kikubwa kipi?
Baby Madaha: Huh! Tuma vocha tuone how worth are you? (Tuma vocha tuone utajiri wako)
Frank/OFM: Acha utani bwana, vocha kitu gani, ongea mambo makubwa Madaha
Baby Madaha: Hahaha…yote ninayo-except vocha tajiri.
 Frank/OFM: Acha bwana. Vocha ndo kikwazo kwako?
Baby Madaha: Yap! Kama hutaki acha au unadhani natumia wireless kuchati na wewe?
Frank/OFM: Madaha wewe ni mkatili kiasi hicho?
 MAMBO YASIMAMA KWA MUDA
Masuala ya kuchati yalisimama kwa muda lakini ilipofika saa 2:22 usiku, mazungumzo yaliendelea ambapo siku iliyofuata Frank wa OFM aliamua kuendelea kumtengenezea mtego ili kujiridhisha kama ni kweli baadhi ya mastaa wa Bongo wanafanya biashara hiyo haramu.
Januari 14, mwaka huu, majira ya saa 5:00 asubuhi, Frank wa OFM alianza tena kuchati na Baby Madaha kama ifuatavyo;
 
 Frank/OFM: Mambo Madaha? Mi Frank
(akaamua kumpigia simu Frank wa OFM, ilikuwa mshtuko kwa Frank kwa sababu hakujipanga kuongea naye kwa hiyo hakupokea simu ya Baby Madaha ambayo ilipigwa saa 6: 30 mchana.
Dakika moja baadaye, Baby Madaha alituma meseji ya kumtoa hofu Frank wa OFM;
Baby Madaha: Frank ‘am calling you in vain uh afraiding of me (Frank nakupigia kwa nia njema unaniogopa?)
 Frank/OFM: Sorry nilikuwa tight, naweza kupiga?
Baby Madaha: Yap!
Frank/OFM: Frank wa OFM aliongea na Baby Madaha na kuanza kumchomekea ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha na kuonesha nia ya kujenga uhusiano huku akimtaka staa huyo kuwa ‘siriaz’ akimuahidi kuwa atakuwa naye na kuwa ajenti wake wa muvi jijini Mwanza.
Baada ya maongezi ya kutongozana kwenye simu, Frank wa OFM alimtumia tena meseji Baby Madaha kama ifuatavyo;
 
 Frank/OFM: Nimefurahi sana kuongea nawe, sijui itakuwaje tukionana?
Baby Madaha: Wait, you I’ll see.
Frank/OFM: Eti ee, nimetokea kukupenda sana.
Baby Madaha: Thanks.
 Baada ya hapo Frank wa OFM alimaliza kumtumia ‘sms’ siku hiyo, ilikuwa saa 9:12 alasiri.
Hata hivyo, Frank wa OFM aliamua kumhoji zaidi kupitia sms akitaka kujua hasa akiwa naye hata kwa saa tatu atataka shilingi ngapi?
Frank/OFM: Sasa hivi nataka kutoka niende ATM kuchukua pesa, sasa hebu kuwa muwazi tu wangu, kuwa na wewe kwa kama saa tatu utakuwa poa nikupe Sh. ngapi? Mtu mzima nisije nikaumbuka si unajua tena kwa staa kama wewe?
 Baby Madaha: Milioni 10!
Frank/OFM: Baby usinikomoe, mimi na wewe tuna safari ndefu, kila nikija Dar tutakuwa pamoja.
Baby Madaha: (...anapiga simu lakini Frank wa OFM hapokei).
Baada ya kuona hivyo, Baby Madaha alituma sms hii “Call” (piga).
 
 MAONGEZI YA SIMU
Frank/OFM: Mambo vipi Baby, habari za muda tena?
Baby Madaha: Salama tu, kwani wewe ulikuwa unataka kutoa sh. ngapi ATM?
Frank/OFM: Mimi ndiyo nilikuwa njiani naelekea ATM natoka hapa hotelini nilipofikia nina Shilingi Mil.4 kwa usiku mmoja, hapo vipi?
Baby Madaha: Katoe 5 fresh, sasa benki gani utaenda kutoa wakati benki zote zimeshafungwa na ATM mwisho kutoa ni Mil.1, sasa hapo itakuwaje?
 Frank/OFM: Nitatoa kwa ATM, hata hivyo, nina master-card, naweza kutoa Mil.1 hadi mara 5, usijali kwani pesa kitu gani, cha msingi mimi ni kuwa na wewe!
Baby Madaha: Okay, fine unaweza kuja Kijitonyama (Dar) hapa kwenye hoteli ya (anaitaja jina)?
Frank/OFM: Nimefikia hapa hotelini (jina kapuni), sasa kutoka ni vigumu.
Baby Madaha: Okay, poa nitakuja hapo hotelini saa 1:00 usiku.
 Frank/OFM: Usijali karibu sana, nakupenda sana Baby Madaha yaani niko tayari kwa lolote, sema unataka nikupe nini?
Baby Madaha: Hahaha....(anachekaaa) nikija nitakwambia vyote ninavyotaka kwani unafanya biashara gani?
 Frank/OFM: Nauza nguo, mara nyingi nafuata Jakarta, Indonesia mara kwa mara lakini natumia muda mwingi kufanya kazi zangu Mwanza.
 Baby Madaha: Wee Msukuma eti? Mimi mwenyewe Msukuma kwani unadhani jina Madaha ni la nini hilo, mimi mwenyewe Msukuma.
Frank/OFM: Nimefurahi sana kusikia hivyo, unaweza kuongea Kisukuma?
Baby Madaha: Naweza, wewe nisemeshe tu!
Frank/OFM: Nakutogilwe gete Madaha (Frank anaongea Kisukuma kwamba anampenda sana Madaha)
Baby Madaha: Tukuhoya ntondo nduhu tabu (anajibu kwa Kisukuma kuwa hakuna tatizo tutaongea kesho).
 Ulipofika muda waliokubaliana na Frank wa OFM, Madaha alisema kuna foleni kubwa hivyo kuna sababu ya kubadilisha hoteli hiyo iliyoko maeneo ya Ubungo alipopanga Frank wa OFM waonane, Baby Madaha akataka wakutane nyingine iliyoko Kijitonyama.
“Siwezi kuja huko, kwanza kuna mifoleni isitoshe ni vizuri ukafika mwenyewe maeneo haya ya hoteli ya… (anataja), ni sehemu nzuri kwangu hivyo kama huna nia mbaya na mimi ni vizuri ukaja maana kesho nasafiri kwenda Kenya kwenye shughuli zangu za muvi, kwa hiyo unaweza kuja wewe tu maeneo haya,” alisema Madaha.
 Frank aliendelea kumbana kwamba tayari alikuwa ameshaandaa pesa shilingi Mil.5, kama walivyokubaliana lakini asingeweza kubeba mfuko wa fedha wote huo isitoshe ni hoteli ambayo ameizoea kwa muda mrefu.
“Ujue Dar mimi siyo mzoefu, achilia mbali kuogopa kutapeliwa hivyo nakuomba uje kwenye hii hoteli nitafurahi sana dear, nakuomba unielewe ujue nakupenda sana mpenzi wangu Baby Madaha, tulia tuyajenge maisha,” alisema Frank wa OFM.
 Msanii huyo alimkomalia Frank wa OFM wakutane siku ya Jumanne usiku ambapo alimwambia pia kuwa amepata dharura anakwenda kumuona mfanyabiashara mwenzake kwenye hoteli moja iliyopo Masaki (jina tunalo) ambapo Baby Madaha alitaka waonane na Frank wa OFM kwenye hoteli hiyohiyo.
“Nimepata dharura sitaweza kuonana na wewe, naenda kumuona mfanyabiashara mwenzangu maeneo ya hoteli…(jina tunalo), tuonane kesho muda wa asubuhi,” alisema Frank.
 Baadaye Frank alimjulisha mteja wake kuwa yuko njiani anafuata mzigo bandarini akitoka wataonana na Baby Madaha kesho yake asubuhi ya Jumatano iliyopita, alituma sms hii;
Baby Madaha: Kuna stage tano in anything, nakupa tatu, coz uko siku ya tatu, denying, bargaining, accepting..... tomorrow if you be still on game, i give you the remained good day, enjoy Mr Frank, ukitoka cargo call me, we meet!
Frank/OFM: Okay, siku njema nitakutafuta.
 Baby Madaha: Matajiri wengine hawana maneno kama wewe kwa mfano…(anataja jina la pedeshee mmoja maarufu Dar). Wanatuma pesa na siyo maneno, wee tuma hela (-)-pesa ipo kila sehemu we tuma ndo nitaweza kujiongeza kama nakuja au laa.
Frank/OFM: Nakutumia muda siyo mrefu, usijali.
 IJUMAA LAMBANA BABY MADAHA
Hata hivyo, Baby Madaha hakutumiwa pesa alizotaka ili kukamilisha zoezi badala yake, OFM walitua mzigo wa ushahidi kwenye dawati la Ijumaa ambalo lilikuwa na jukumu la kutafuta mzani wa ishu hiyo.
Ijumaa lilipomtafuta Baby Madaha alikiri kuwa kwenye mawasiliano na mwanaume aliyemtaja kwa jina la Frank Michael Lugisha ambaye alisema alikuwa akifanya naye makubaliano ya kusambaza filamu yake ya The Gal Bladder. Alipobanwa juu ya makubaliano ya kujiuza kwa mwanaume huyo kwa Sh. milioni 5 alikataa pamoja na kwamba alielezwa kuwa kuna ushahidi wa meseji na sauti.
Alipotakiwa kufika kwenye ofisi za gazeti hili ili kusikilizishwa sauti na kuoneshwa meseji zake, Baby Madaha alisema hawezi kwa kuwa alikuwa na safari ya kwenda nchini Kenya muda mfupi baadaye. 

AIBU NYINGINE MORO....PICHAZ..BIASHARA YA NGONO MPAKA KWA WAJAWAZITO.

$
0
0
OPARESHENI ya Polisi wa Mkoa wa Morogoro na kikosi maalum cha kufichua Maovu cha Magazeti ya Global Publishers (OFM), imemnasa mwanamke mjamzito katika kamatakamata ya machangudoa.
 Katika oparesheni hiyo ya aina yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la Msamvu (Kambi ya Itigi), wanawake 30 waliodaiwa kujihusisha na biashara hiyo walikamatwa.
 Waandishi wetu wakiwa na askari wa mkoa huo walimnasa mjamzito huyo anayedaiwa kuwa na mimba ya miezi sita akiwa mawindoni eneo hilo.

 
Changudoa huyo mwenye mimba akiwa chini ya ulinzi.
 Mara baada ya mjazito huyo kukamatwa alitoa yake ya moyoni kwa kusema kwamba anafanya biashara hiyo ili kupata fedha za kujikimu na ujauzito wake haumpi shida yoyote.
 “Jamani natafuta pesa za kujikimu na maisha hapa mjini sasa mnatukamata tukale wapi? Hii mimba ni yangu na ninayefanya ukahaba ni mimi niacheni,” alisema mdada huyo. 

PATA TASWIRA 14 ZA ULALAJI WA WATOTO NA UNAWEZA KUJIFUNZA KITU KUPITIA PICHA HIZI ZA WATOTO

$
0
0
Mapacha wakikuwa watakuwa mamodel ukipitia picha unaweza kujifunza kitu
Huyu  akikuwa ni mcheza Rugby
Huyu nae akikuwa atakuwa comedian 
Hapa wa nyuma akikua atakuwa Dr na wa mbele atakuwa Prof.
Hapa hata wewe unajua akikuwa atakuwa nani
Huyu nae habari ndiyo hii live bila chenga unaweza kujua tu.
Huyu akikua atakuwa reporter 
Na huyu akikua atakuwa padri
Akikua atakuwa Actress 
Engineer wa kesho huyo 
Huyu akikua hata kuwa bartender 
Akikua atakuwa judge 
Akikua atakuwa Nurse 
Hapa ndiyo Sociology wetu 

Makamo wa Pili Balozi Seif Ali Iddi, Amtembelea Waziri Haroun.Hospitalini Dar.

$
0
0

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkagua na kumpa pole Waziri wa Kazi na Utumishi wa Umma Zanzibar Mh. Haoun Ali Suleiman aliye;lazwa katika Hospitali ya Rufaa kitengo ya MOI Muhimbili Jijini Dar es salaam.Waziri Haroun amelazwa Hospitalini hapo karibu wiki moja sasa akikabiliwa na tatizo la ugonjwa wa Moyo { Blood Pressure }.

Picha na Hassan Issa wa – OMPR. 


Na Othman Ame OMPR

wa Kazi na Utumishi wa Umma wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mh. Haroun Ali Suleiman aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili Kitengo cha mifupa { MOI } Mjini Dar es salaam kutokana na matatizo ya ugonjwa wa Moyo{Blood Pressure}Kesho Jumamosi Tarehe18 Januari 2014  anasafirishwa kupelekwa Nchini Afrika ya Kusini kwa uchunguzi na Matibabu zaidi ya afya yake.

Hatua za mwisho za safari yake inayogharamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimekamilika baada ya kurejea kwa unafuu wa  afya yake iliyokuwa imetengemaa kwa takriban wiki moja sasa.


Waziri Haroun alipata matatizo ya maradhi ya moyo Ijumaa iliyopita na kupatiwa huduma za afya Zanzibar na kutokana na hali yake kutokuwa ya kuridhisha ikilazimika kusafirishwa kwa matibabu zaidi katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili Mjini Dr es salaam.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi pamoja na wasaidizi wake alipata wasaa wa kufika Muhimbili  kufutilia maendeleo ya afya ya Mtendaji wake  Waziri Haroun.




Akimfariji Waziri huyo wa Kazi na Utumishi wa Umma Zanzibar Balozi Seif alimtakia afya njema na kupona haraka ili arejee nyumbani kuendelea kutekeleza majukumu aliyokabidhiwa na Taifa.



Balozi Seif alisema ukimya wa Waziri Haroun uliokuwepo katika kipindi hichi kifupi katika matukio mbali mbali ikiwemo Vikao vya Baraza la Mapinduzi umepunguza mchango wake uliozoeleka ambao hupenda kuutoa mara kwa mara.



Naya kwa upande wake Waziri wa Kazi na Utumishi wa Umma Zanzibar Mh. Haroun Ali Suleiman ameishukuru Serikali ya kwa mchango mkubwa iliyoutoa katika kushughulikia afya yake wakati wote alipokuwa Hospitalini hapo.



Waziri Haroun alielezea faraja yake kutokana na moyo ulioonyeshwa na Viongozi mbali mbali wa Kiserikali, Kisiasa wakiongozwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuamua kumtembelea kujua maendeleo ya afya yake.



Aliendelea kumuomba mwenyezi Muungu azidi kuwapa moyo wa huruma na upendo viongozi hao kuzidi kuwa karibu na  wananchi wanaowaongoza katika sehemu mbali mbali nchini.

HATIMAYE MBONGO ALIYEKAMATWA MAREKANI KWA KOSA LA KUBAKA BIBI WA MIAKA 62 AACHIWA HURU..SOMA ZAIDI HAPA...

$
0
0
Steve Konyagi
Mwaka 2010 kwenye mwezi wa 11 Steve Konyagi Mtanzania anayeishi mji wa Lynn Massachesetts nchini Marekani alishitakiwa na Mtanzania mwenzake (jina kapuni) kwamba amembaka demu wake Mmarekani wakati hua alikua na miaka 62 na kufikishwa mahakami na kuwa nje kwa dhamana.
Steve Konyagi alikuja Marekani mwezi wa 8 mwaka huo 2010 kabla hata hajakaa sawa akakutana na balaa hilo la kubaka ambalo kama utapatikana na kosa kifungo chake ni miaka 20 mpaka 40. Steve Konyagi Tanzania anatokea maeneo ya Sinza.
Wakati Steve Konyagi alipokua akiendelea na kesi yake ya kubaka bibi Mmarekani wa miaka 62 aliibuka dada mwingine Mtanzania (jina kapuni) aliyewahiishi DMV miaka ya nyuma na kudai nae kabakwa na Steve Konyagi hiyo ilikuwa mwaka 2011. Mahakama iliamua kuondoa dhamana kwa Steve Konyagi na kuMsweka ndani kuanzia wakati huo huku ikiendelea kusikiliza kesi hiyo iliyochukua takriban miaka mitatu.
 

Vijimambo baada ya kupata tetesi za Steve Konyagi kuwa huru ilinyanyua simu na kumtwangia na yeye bila ajizi alinyanyua na kuanza kuelezea kisa kizima. Vijimambo ilitakakufahamu kulikoni na Steve Konyagi akaanza kwa kusema mwaka 2010 kwenye mwezi 8 aliwasili Marekani baada ya kushinda Creen Card na alifikia kwa dada mmoja anayeitwa Adela ambaye yupo Massachusetts miaka mingi.

Jumamosi moja ya mwezi wa 11, 2010 huyo Mtanzania aliyemshitaki walifika nyumbani kwao akiambatana na demu wake huyo Bibi Mmarekani wa miaka 62 wakati huo sasa hivi huyo bibi atakua na miaka 65. Mara baada ya kufika nyumbani kwao kama ilivyoada ya Steve Konyagi ni mtu wa mchupa sana na baada ya kutembelewa na wageni walianza siku yao kwa kupiga mitungi mpaka usiku mnene na demu wa mshikaji akawa amepagawa na Steve Konyagi mdada akimtia majaribuni mshikaji wake. Baada ya mitungi kukolea Demu wa mshikaji alishindwa kuvumilia alimtonya Steve kwamba kwake yeye hajiwezi na Steve tangia aje Marekani alikua hajaona ndani alikua na kinenge kikali pamoja na hivyo bado alishindwa kula uroda kwa demu wa mshikaji lakini kilichotokea demu kulazimisha sana alichoambulia ni kula pipi kijiti.

Wakati huo mshikaji alikua amezidiwa kwa mchupa alipozinduka alihisi swaiba wake amemtenda kitu mbaya na alipoanza kudodosa demu alijitetea kwa kumsinginzia Steve kwamba amembaka ndipo mshikaji pamoja na kwamba yule demu alikuwa mkubwa kiumri jamaa hakukubali alionelea yaishie mahakamani.

Wakati kesi ikiendelea mahakani huku ikipigwa kalenda Steve Konyagi akakutana na kisanga kingine cha kubaka mwaka uliofuata. Steve Konyagi aliendelea kwa kusema Jumamosi moja ya mwaka 2011 wakati huo nishahama kwa Adela nakaa na mshikaji wangu Mtanzania (jina kapuni) alikuja Demu aliyewahi kuwa girl friend wa mshikaji wangu wakati huu akiwa na jamaa mwingi. Huyu demu ni Mtanzania aliyewahiishi DMV miaka ya nyuma na alizaa na watoto wawili na wanaume wawili tofauti. Kama uanvyojua tulianza kupiga mitungi kama kawaida yangu ilipofika usiku mnene jamaa yangu na huyo bibie waliamua kukumbushiwa penzi lao na mara wakaniacha sebuleni na kuingia chumbani baada ya saa kadhaa yule demu alirudi sebuleni na kunikuta mimi nikiendelea na mitungi na wakati huo alirudi akiwa amejifunga taulo tu akiwa amesalua mpaka kineng'esti chake. Demu alijiunga na club yangu ya mitungi na baada ya muda mchache wote tulijikuta tumesinzia kwenye kochi baada ya kuzidiwa na ulabu.

Baada ya saa kazaa nilizinduka na kujikuta nipo na yule demu wakati huo akiwa bado kalala na huku taulo alilojifunga likiwa limeanguka chini na yeye akiwa kama alivyazaliwa. Baada ya kumuaona na hali ile nilijaribu kumuamsha alipoamka na kujikuta na hali ilie alipiga kelele na kudai nimembaka nilijaribu kujitetea lakini ilishindikana na wakaamua kuita polisi na tangia siku hiyo dhamana yangu ikafutwa na mimi nikaswekwa ndani huku kesi zote mbili kuchanganywa pamoja.

Hatima yangu niliiachia mahakama na wakili wangu kwa hiyo nilikaa ndani mpaka January 13, 2014 nilipoachiwa huru na mahakama kwa kupatikana sina hatia na kilichoniokoa ni DNA walipochukua vipimo vya DNA kwa yule demu wa Kimarakani bibi wa miaka 65 hawakukuta chochote changu kuotoka kwake na walipopima DNA kutoka kwa dada Mtanzania pia waliambulia patupu lakini DNA ilimechi na yule mshikaji wangu aliyewahi kuwa Bwana wake siku za nyuma ambayo siku hiyo ya tukio walivunja amri ya sita.

HIVI NDIVYO HATA DADA YAKO ANAPOKWENDA KWENYE KUMBI ZA STAREHE HUVIFANYA, ANGALIA HIZI PICHA ZA KIMAFIA

KWA STAILI HII USAGAJI UTAENDELEA KUWEPO..!! NA UDUMU ZAIDI, ANGALIA HIZI PICHA HAPA...!!

$
0
0

Mazingia ya kucheza kwa kushikana shikana au kuwa na ukaribu wa namna hii kwa watoto wa kike huamsha hisia mbaya za kutamaniana miongoni mwao, angalia picha zaidi hapa chini.

Yani ni katika Bonge la patiiiiiiiii...

You

NDIYO NI RIHANNA ANASWA AKIOGELEA MTONI HUKO BRAZIL AKIWA MTUPU, PICHA ZOTE HIZI HAPA..!!

KUTANA NA DOGO JANJA ANAEWACHUNGULIA DADA ZAKE WANAPOVAA NGUO FUPI.!!!! TAZAMA PICHA HAPA..!!!!

$
0
0

KWA familia zetu za sasahivi swala hili limekuwa la kawaida kwa dogo kama huyu kufanya vitendo vya aina hii. 
Hebu turudi enzi za mababu zetu nadhani heshima ilifuata mkondo wake. Sasa hapa dogo ana
 taka kuona nini?Na ili iweje

HATIMAYE MASOGANGE AMTAJA ALIYE MTUMA MZIGO WA DAWA ZA KULEVYA

$
0
0
HATIMAYE yule Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ aliyepatikana na hatia ya kuingiza nchini Afrika Kusini malighafi haramu aina ya ephedrine, amemtaja mtu aliyemtuma mzigo huo kuwa ni Mkongomani, Risasi Jumamosi limedondokewa na ‘kismati’.
Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’.
Katika mahojiano ‘spesho’ na gazeti hili yaliyofanyika kwenye ofisi za Global Publishers, Bamaga, Mwenge, Dar es Salaam, juzi, Masogange aliamua kumwanika kigogo huyo huku akimtaja jina bila kuuma maneno.
Melisa Edward.
TWENDE PAMOJA
Risasi: Masogange tumekuita leo hapa kwa ajili ya mahojiano maalum. Tangu umerudi Bongo toka Afrika Kusini ulikokutwa na ule msala wako, naamini hujawahi kuzungumza na chombo chochote cha habari. Uongo, kweli?
Masogange: Kweli kabisa.
Risasi: Risasi linakukaribisha tuzungumze mambo muhimu, lakini kubwa kuliko yote, hebu mtaje mtu aliyekutuma kubeba ule unga ambao ulikamatwa nao Afrika Kusini.
Masogange: (akionesha sura ya umakini) kusema ule ukweli, ni…(anamtaja jina). Huyu bwana ndiye aliyeniponza kwa yote yale.
Risasi: (bila mshtuko baada ya kutajwa kwa jina hilo). Huyo mtu ni Mtanzania kweli?
Masogange: Hapana, ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ila anaishi Tanzania miaka nenda, miaka rudi.
Risasi: Sasa Masogange, huyu mtu ilikuwajekuwaje hadi akakutuma kupeleka mzigo ule Afrika Kusini, hapo pana utata kidogo.
Masogange: Wengi hawajui. Iko hivi, siku ile (Julai 5, 2013) mimi nilikuwa nasafiri kwenda Sauz kwa mambo yangu tu. Nilipofika pale Uwanja wa Ndege (Julius Nyerere International Airpot) nilimkuta huyo mtu.
Risasi: Naye akiwa anasafiri kwenda huko?
Masogange: Hapana. Yeye tunafahamiana kwa muda mrefu, aliponiona aliniuliza kama nakwenda Sauz, nikamwambia ndiyo. Akasema anaomba nimbebee mizigo yake ya sukari.
Nilimkatalia, lakini akasema kuna mtu atanipokea Uwanja wa Ndege (wa Kimataifa wa Oliver Tambo) uliopo (Kempton Park) Johannesburg.
Basi nilimkubalia, lakini…
Risasi: Subiri kwanza Masogange.  Hapo una maana wewe kazi yako ilikuwa kubeba tu, baada ya kutua kule ungekutana na mwenye mzigo, Je, uliuangalia mzigo wenyewe kama kweli ni sukari?
Masogange: Ndiyo. Nilimwambia anifungulie nione kama kweli ni sukari, akafungua begi moja, nikachungulia na kuona kweli ni sukari nyeupe!
Nilimwambia kama anataka nimsaidie kuufikisha Afrika Kusini, apeleke mpaka kwenye ndege ili kunipunguzia kazi ya kubebabeba. Nikifika Sauz nitamtolea huyo mtu sukari yake.
Basi, akapeleka mpaka kwenye ndege, mimi nikapanda na safari ikaanza.
Risasi: Subiri kidogo Masogange. Wewe ulikamatwa na mtu anayedaiwa ni ndugu yako, Melisa Edward. Mbona humtaji?
Masogange: Oke, yule tulikuwa safari moja tu. Lakini yule Mkongomani anajuana na mimi.
Risasi: Oke, endelea.
Masogange: Tulifika uwanja wa ndege salama. Nikashuka na yale mabegi nayo, lakini cha ajabu wakatokea askari na kutukamata.
Waliniuliza nimebeba nini? Nikawaambia sukari, wakasema siyo sukari, wakanitaka nilambe. Kulamba hivi, ndiyo nikajua kweli siyo sukari, tukawekwa chini ya ulinzi na kupelekwa kwenye vyombo vyao vya sheria kwa hatua zaidi.
Risasi: Pole sana. Kwa hiyo yule mtu ambaye angepokea mzigo kule Sauz ulimwona ulipotua uwanjwa wa ndege?
Masogange: Sikuwa namjua kwa sura, nilipewa mawasiliano yake tu. Kuna uwezekano alituona wakati tumekamatwa na polisi maana tulizungukwa na watu wengi.
Risasi: Unakumbuka yalikuwa mabegi mangapi ya hiyo ‘sukari’?
Masogange: Hata sikumbuki vizuri mimi, nilishachanganyikiwaga jamani, yalipita yale.
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison George Mwakyembe akiongea na waandishi wa habari kwa kuwaonyesha picha ya Agnes Gerald ‘Masogange’ katika simu ya samsung Tab.
ANAYEMJUA MWAKYEMBE
Siku chache baada ya mlimbwende huyo kunaswa Sauz, Bongo, Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison George Mwakyembe alimtaja kijana ajulikanaye kwa jina moja la Mangunga kwamba ndiye aliyedaiwa kuwa na video queen huyo ndani ya ndege kwenda Afrika Kusini.
Kamanda Nzoa aliwataja wanawake hao baada ya kukamatwa kuwa ni Agnes Jerald ambaye alisema hajapiga hesabu ya umri wao, ila alizaliwa mwaka 1988 na Melisa Edward ambaye alisema amezaliwa mwaka 1989.
Mwakyembe aliamuru kijana huyo asakwe na kukamatwa ili kujibu mashitaka ya kusafirisha madawa ya kulevya aina ya Methamphetamine kwa Tanzania huku Sauz ikisema ‘unga’ huo ni ephedrine ambao si wa kulevywa bali ni malighafi haramu.
Nassoro.
Masogange na mwezake, Melisa walikamatwa Julai 5, mwaka jana kwenye uwanja huo wa ndege nchini humo wakiwa na madawa hayo yaliyokadiriwa kuwa na  thamani ya shilingi bilioni 6.8.
Kesi yake iliendeshwa na Mahakama Kuu ya Gauteng iliyopo Kempton Park nchini humo na alikutwa na hatia ambapo alihukumiwa kwenda jela miezi 32 au kulipa faini ya randi 30,000 (shilingi milioni 4.8). Masogange alilipa faini huku mwenzake, Melisa akiachiwa huru kukutwa hana hatia.

WADADA WACHEZA UCHI UFUKWENI MBELE ZA WATU....!JIONEE PICHA..AIBUUU NIAJE...!

$
0
0
Katika hali isiyo ya kawaida wananchi wakijionyesha wakicheza bila nguo yani uchi katika sehemu za ufukwe huku wakiwa wamezungukwa na kadamnasi ya watu, wenyewe wanaita picnic. hatari sana...CHEKI PICHA HAPO CHINI...

UTAFITI USIO RASMI:SIKU HIZI WANAWAKE WANAONGOZA KWA VITAMBI NA MATUMBO MAKUBWA

$
0
0

Miaka ya 90 kurudi nyuma ilikuwa nadra sana kukuta mwanamke ana kitambi. Ukimkuta mwanamke anatumbo kubwa wakati huo, lazima atakuwa ana mimba. Hali sasa inatisha. Wanawake wengi wana vitambi kiasi kwamba ni vigumu kutofautisha wenye mimba na wasio kuwa na mimba. Wengi ninao kutana nao barabarani, sehemu za umma, ninaokutana nao maofisini na sehemu mbali mbali nimegundua kuwa kati ya wanawake 10, 7 hadi 8 wana vitambi au matumbo makubwa. Wengine vitambi vyao ni vikubwa na vingine vinakuwa vimevimbiana pembeni yaani upande wa kushoto na kulia ubavuni hivyo kuwa na umbo kama la matumbo ya vyura. La ajabu ni kuwa wanaume wengi sasa hivi hawana vitambi isipokuwa walafi wachache. Kwakuwa zamani tulizoea kuwa vitambi ni kwa wanaume sasa hali imebadilika imekuwa ni wanawake. Nini kimewakuta? Maana wengine ni wasichana wadogo wa shule tayari wanavitambi wakati mwingine utakuta mama ameongozana na binti yake wote wanavitambi. Je kuna namana yoyote ya kuwaokoa? Tuwasaidie maana nadhani hali hiyo itakuwa na athari kiafya kwao mbali ya kuharibu maumbile yao(kupoteza shepu)
Siku utasikia Kila Mwanamke hapa mjini anataka kwenda Gim...
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live