Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

HAWA NDIYO WALIO ISTAAJABISHA DUNIA KWA KUVAA NGUO ZA KUOGEA AMBAZO NI VITUKO VITUPU...YAANI WAZUNGU BHANA!!MAUMBO YAO ZEROOO...TAZAMA HAPA UVUNJIKE MBAVU..


MTOTO WA AJABU AONEKANA HUKO DAR....ANAKULA WALI SUFURIA NZIMA , MAJI NDOO MOJA NA MIKATE

$
0
0
Mkazi wa Mbezi-Kibanda,  Andrea Marcus.

Farao, Andrea Marcus (13), mkazi wa Mbezi-Kibanda cha Mkaa, Dar anadaiwa kuwa wa ajabu kutokana na vitendo vyake.Mtoto huyu amedaiwa kuwa ni wa kichawi kutokana na maajabu yafuatayo:Ana uwezo wa kula ubwabwa sufuria moja la familia, anamudu kunywa maji ndoo moja, ana uwezo wa kuingiza tumboni mikate mikubwa saba kwa mlo mmoja,  amewahi kula mchele (si ubwabwa) ndoo nzima.
Mbaya zaidi baada ya kula milo hiyo huwa haoneshi ameshiba.
Maajabu mengine ambayo yanawashangaza watu wanaoishi naye ni jinsi anavyokula chakula kwa kumwaga chini kisha kukomba mpaka udongo.
“Sina amani ya moyo, naomba Watanzania wanisaidie, mwanangu ananiuma sana, hata kujisaidia ni hapohapo, chakula anakula kupita kiasi, kama nilivyosema hashibi na bado hali kama mwanadamu wa kawaida,” alisema mama wa mtoto huyo.
Akizungumzia madai ya uchawi, mama huyo, Angelina Marcus alisema mwaka 2001 alimzaa Andrea katika mimba ya miezi nane kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar.
“Nilipofika nyumbani tu, alikuja mwanamke mmoja, akasema amekuja kunipa hongera. Wakati anaingia alianguka, kichwa ndani miguu nje, alipoamka akaaga akisema anakwenda kuniletea kisamvu.
“Mama yangu akamwambia mzazi hali kisamvu, kama anataka akanichinjie bata. Yule mwanamke aliondoka, hakurudi tena,” alisema mama Andrea.
Aliendelea kudai kuwa, baada ya wiki tatu mtoto wake alianza tabia ya kulia usiku wa manane.
“Hiyo tabia ya kulia amekuwa nayo miaka yote, tulikwenda kwa waganga lakini wapi! Tukahamia makanisani kwa wachungaji kidogo mtoto alipata nafuu mwaka jana.
“Mwezi Novemba tarehe kumi na moja, mwaka jana (2013) yule mwanamke alikuja hapa nyumbani na kuniambia kuwa, mguu ule ni wangu.
“Alikaa chini mimi nikiwa nafua, akaanza kuniambia ‘mjukuu wangu samahani, nimeona unateseka sana na mwanao, nataka nikurudishie kwani mimi uchawi sasa basi.’
“Nilishtuka, nikamuuliza bibi unasema nini? Akajibu, ‘n imekuja kukwambia huyu si mtoto ni picha tu, mtoto wako ninaye mimi nyumbani kwangu na nina watoto wengi ila wa kwako ananisumbua, bora uje umchukue kesho asubuhi,” alisema mama Andrea.
“Siku iliyofuata nilikwenda kwake, sikumwona mtoto ila cha kushangaza aliniambia kuwa yeye anajua kuroga lakini hajui kutegua, ana mganga wake yupo Songea (Ruvuma), atampigia simu aje amtegue mtoto wangu arudi katika hali ya kawaida,” aliongeza mama Andrea.
Mama huyo alisema kuwa aliporudi nyumbani, aliwaambia wazazi wake kilichotokea na maneno yote waliyoongea na mwanamke huyo.
Wazazi wa mama Andrea walimuita mwanamke huyo akiwa na mumewe na mtoto wao mmoja, wakamuuliza kuhusu madai hayo, akaomba msamaha kwa kilichotokea.
Sakata hilo likaenda Serikali ya Mtaa Misigani ambapo mwanamke huyo alikiri mara ya kwanza na kusema kuwa amempigia simu mganga wa Songea atafika wakati wowote.
“Cha kushangaza alikaa kwa nusu saa na kusema amewapigia simu ndugu zake wamesema huyo mganga amefariki dunia. Kila mtu alimuuliza amepigaje simu mbona wamekaa naye na hajatoka nje? Akanyamza,” alisema mama Andrea.
Mama Andrea alisema serikali ya mtaa waliliona sakata hilo ni kubwa na kuamuru babu wa Andrea (jina lipo) kuchukua barua kuipeleka kwenye Kata ili kesi ihamie huko.
Mama huyo alimalizia kwa kusema kuwa anashindwa cha kuamua kwani kwa maelezo ya mwanamke huyo hajui akubali mtoto Andrea si wake au la!

18+ PICHAZ..LAANA+AIBU TZ...!MREMBO AJIUZA KWA KUANIKA PICHA ZA UTUPU MTANDAONI

RAIS KIKWETE ATANGAZA JUMATATU JANUARI 13, 2014 SIKU YA MAPUMZIKO

$
0
0


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa kesho, Jumatatu, Januari 13, 2014, itakuwa ni Siku ya Mapumziko (Public Holiday) kwa Watanzania wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais Kikwete ameutangaza uamuzi huo mjini Zanzibar ambako leo ameungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964.
Mapinduzi hayo yaliyoongozwa na mwasisi wa Zanzibar na Taifa la Tanzania, Hayati Abeid Amaan Karume yalifanikiwa kuung’oa madarakani utawala dhalimu wa Sultan na kuwawezesha kwa mara ya kwanza katika historia Waafrika walio wengine kujitawala ndani ya nchi yao wenyewe.
Yalikuwa ni Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofungua njia ya kuzaliwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar – miezi mitatu baada ya Mapinduzi hayo – Aprili 26, 1964. 
Naye Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Ali Mohamed Shein ametangaza kuwa kesho itakuwa Siku ya Mapumziko Tanzania Visiwani kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais Shein alitangaza mapumziko hayo wakati alipohutubia wananchi kwenye Uwanja wa Michezo wa Amaan mjini Zanzibar katika kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa kesho, Jumatatu, Januari 13, 2014, itakuwa ni Siku ya Mapumziko (Public Holiday) kwa Watanzania wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais Kikwete ameutangaza uamuzi huo mjini Zanzibar ambako leo ameungana na Watanzania na Wazanzibari wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, mwaka 1964.
Mapinduzi hayo yaliyoongozwa na mwasisi wa Zanzibar na Taifa la Tanzania, Hayati Abeid Amaan Karume yalifanikiwa kuung’oa madarakani utawala dhalimu wa Sultan na kuwawezesha kwa mara ya kwanza katika historia Waafrika walio wengine kujitawala ndani ya nchi yao wenyewe.
Yalikuwa ni Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofungua njia ya kuzaliwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar – miezi mitatu baada ya Mapinduzi hayo – Aprili 26, 1964. 
Naye Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Ali Mohamed Shein ametangaza kuwa kesho itakuwa Siku ya Mapumziko Tanzania Visiwani kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Rais Shein alitangaza mapumziko hayo wakati alipohutubia wananchi kwenye Uwanja wa Michezo wa Amaan mjini Zanzibar katika kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi.

Imetolewa na;
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS
Ikulu,
Dar es Salaam.
Januari 12, 2014

HATA KAMA WANASEMA BATA BATANI HAWA WENZETU SIJUI KAMA SIKU YA HUKUMU KAMA WATAPONA ....NI FULL UFUSKA BASHI...TAZAMA PICHA ZAO HAPA!!

$
0
0










  HII NDO BALAA, WATOTO WANIJIACHIA KUPITILIZA DUUH

AIBU MBEYA..AFUMANIWA AKINGONOKA NA MKE WA RAFIKI YAKE KIPENZI GUEST....!JIONEE HAPA...

$
0
0
Mwaka ulianza vibaya kwa jamaa huyu aliyefumaniwa na mke warafiki yake kipenzi huko mbeya kwenye gesti fulani ambako walikaa huko siku nzima, wakipeana burudani, haikuwa mara yao ya kwanza kufanya hivyo mpaka ikaja kujulikana na kunaswa.. 

  Jamaa alipata nafasi ya kuvaa nguo ila mwanamke alikuwa bado yuko kitandani na taulo tu akiwa hajavaa nguo yoyote nyingine.

JE WAJUA KWANINI WANAUME WENGI WANAPENDA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA??? SOMA HAPA KUJUA SABABU HIZO

$
0
0


NI matumaini yangu muwazima na mlikuwa na wakati mzuri katikakumalizia weekend. Mimi niko poa kabisa tayari kuliendeleza libeneke la kupeana mambo mawili matatu kuhusiana na maisha yetu ya kimapenzi.
Mada ambayo nataka kuizungumzia leo ni juu ya sababu za baadhi ya wanaume kupenda au kudatishwa kimahaba na wanawake wenye makalio makubwa.
Katika siku za hivi karibuni, tumeshuhudia idadi kubwa ya wanawake wakitumia njia mbalimbali kuhakikisha wanakuwa na makalio makubwa. Wapo ambao wamekuwa wakitumia dawa za Kichina licha ya kuelezwa kuwa zina madhara.
Ukijaribu kuzungumza nao, wengi wanasema wanatafuta soko kwa wanaume wakware. Wanaosema hivyo ukiwafuatilia ni wale ambao wamekaa kibiashara zaidi. Yaani wapo sokoni kuwinda wanaume. 
Lakini sasa inafika wakati kila mmoja anajiuliza, ni kipi kinachowavutia wanaume wengi kwa wanawake waliofungashia ambacho hakipo kwa wanawake wembamba?
Tunataka kusema wanawake wenye ‘mizigo’ wana soko kubwa kuliko wembamba? Sitaki kwenda huko kwa leo kwa kuwa kuna makabila ambayo mwanaume mwenye kalio kubwa na mahari yake inakuwa kubwa kuliko mwenye nalo dogo.
Ninachotaka kukiweka wazi hapa ni sababu za baadhi ya wanaume kupenda kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanawake waliojazia. Hizi nimezipata baada ya kuongea na baadhi ya wanaume.  

Kusaka umaarufu/sifa Katika hili inadaiwa baadhi ya wanaume wanapokuwa na wapenzi wao waliojazia hujihisi wako juu kwa wenzao. Ndiyo maana unaweza kumsikia mwanaume akijisifia ‘niko na mzigo wangu hapa, si mmecheki kifaa’. Maneno hayo yanaashiria kuwa baadhi ya wanaume wanapokuwa na wanawake waliojazia, wanaona fahari kusifiwa na wanaume wenzao. Yaani hilo tu mioyo yao inafarijika. Kile kitendo cha kila wanakopita kuacha gumzo wengi wanakifurahia. 
Hofu ya kukimbizwa mchakamchaka 
Wanawake wenye ‘mizigo’ wanatajwa kudatisha wanaume sana kimahaba lakini baadhi yao wanadaiwa kuwa dhaifu kwenye uwanja wa kujidai. 
Iko hivi, baadhi ya wanawake wembamba wanadaiwa kujifanya ni watundu sana. Wanatumia muda mwingi kukukuruka kitandani ili waonekane wanayajua mambo.
Baadhi ya wanaume hawapendi hivyo na wanahofia kukimbizwa mchakamchaka faragha na ndiyo maana wanaona ni bora kujichukulia mizigo. Ila ni ukweli kwamba kuna mademu wengine waliojazia ambao ni noma.

Urahisi wa kupata stimu 
Wanawake wanene wana joto sana, miili yao inadaiwa kuwa kichocheo kikubwa sana cha kuamsha hisia za kimapenzi kwa mwanaume. 
Ndiyo maana wapo wanaume wengine bila hata kufanya mapenzi hujikuta wakiridhika na ile kutalii tu miili ya wapenzi wao wanene.

Ni wepesi wa kutosheka 
Inaelezwa kuwa, idadi kubwa ya wanawake wembamba mpaka kuwaridhisha inahitaji kazi ya ziada. Hii ni kwa sababu baadhi yao wana sarakasi nyingi na hawakubali kuonekana ni watupu.
Hata hivyo, baadhi ya wanawake wanene wanatajwa kuridhika haraka na siyo watu wenye makuu kwenye ulingo kiasi kwamba ni wachache sana wanaoweza kuonesha umwaba ulingoni.

VIDEO...MADAME WEMA SEPETU AKIWA KATIKA BEHIND SCENE YA UPIGAJI PICHA WA JARIDA LA VIBE....!HATARI SANA...!


USHAURI JAMANI..!!!NIKO KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI KWA MUDA WA WIKI 2 CHA AJBU MPENZI WANGU ANANIULIZA NINA MPANGO GANI WA NDOA ..PLEASE NISAIDIENI NIFANYEJE???

$
0
0

Habari ya mwaka ndugu,naam kama ilivyo ada tena kwa mara nyingi ni true story
Kuna mdada nina date naye week ya pili sasa ,tangia nimemjua kwa ukaribu its about mwezi na nusu ,jana ameanza kubadilika tofauti na alivyokua mwanzo,baada ya kumuulizia (just inquisitive) sana amekuja na swali Nina mpango gani na yeye? Kiukweli hii issue imeniacha mdomo wazi imenistua honestly two weeks?hata sijamjua kiundani,nikafanya categorisation zangu ananiuliza nina mpango naye gani?

Kwa utafiti nilioufanya haraka haraka nimeshtukia kuwa rafiki zake wengi wameolewa na mara kadhaa ndani ya mwezi mmoja na nusu niliojuana naye amewahi kuniaga anaenda send off,na wedding party kadhaa
Swali sasa kwa wanaukumbi walioa au ma single pia, hivi ndani ya week mbili tatu unaweza kuweka promise ya ku engage au oa?Au ndo dunia ya digitali
Hapa nazungumza baada ya kubanwa sana nina mpango gani niliahidi RING ENGAGEMENT ambayo tarehe wala mwezi sijaweka clear kwa sababu machale yamenicheza huyu mtu anaji pretend na anatafuta pa ku fulfill marriage ambition yake(hii ndo tafsiri yangu) so far mambo kama haya ndo yanatunga mimba na kuzaa mauti ndani ya ndoa baadae na moyo wangu hauko radhi kabisa

Naomba kuwasilisha,mnipe mawazo ,experience ,knowledges zenu nanyi wana board huenda nami pia nimekosea

AIBU KUBWA,MTAALAMU WA KUPIGA CHABO ANASWA UVUNGUNI MWA KITANDA AKIWAFAIDI MUME NA MKEWE:

$
0
0

Chande Abdallah na Denis Mtima, Mwanza
NI aibu kubwa! Mpigachabo maarufu nchini, Andrea Masangu (29) amenaswa akiwa kwenye uvungu wa kitanda akiwapiga chabo wanandoa, Ijumaa Wikienda lina mkasa wote mkononi.

Tukio hilo lilitokea Januari 10, mwaka huu, ndani ya Gesti ya Riverside, Stendi ya Nyegezi jijini hapa ambapo kijana huyo aliingia kwa kuruhusiwa na mhudumu wa gesti hiyo katika mtego makini uliotegwa na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers na mwishowe kujikuta akiumbuka.
OFM WAPOKEA MASHTAKA
Wiki moja nyuma, mtu mmoja alipiga simu kwa OFM jijini Dar akidai yeye ni msomaji wa Magazeti Pendwa ya Global. Akasema ameamua kupiga simu ili kumshtakia Andrea akidai amekuwa na tabia iliyoota sugu ya kupiga chabo wapenzi wanapokuwa gesti.
“Mimi naitwa…(akataja jina lake), napiga simu kutoka jijini Mwanza. Kuna bwana mmoja anaitwa Andrea, amekuwa na tabia ya kuwachungulia (kuwapiga chabo) wapendanao wanapokuwa gesti.
“Mbaya zaidi, huyu jamaa nasikia huu mtindo anao siku nyingi sana. Amekuwa akienda hata nje ya Mkoa wa Mwanza kwa ajili hiyo,” alisema mtoa habari huyo.
Akaongeza: “Kuna watu wanasema kuwa hata Tabora, Dodoma wanamjua kwa tabia hiyo. Hebu OFM njooni Mwanza.
Ijumaa Wikienda: Usipate tabu, hukohuko Mwanza kuna OFM wametokea hapa makao makuu. Nawapa namba yako ili mshirikiane.
Mtoa Habari: Mtakuwa mmefanya jambo la maana sana.
KAZI YAANZA
Ndani ya dakika tano tu, OFM waliopo Mwanza wakapewa namba za mnyetishaji wetu, kazi ikaanza.
OFM Mwanza, walimtafuta mtoa habari huyo na kukaa naye meza moja ambapo walipanga mipango.SOMA ZAIDI

Miongoni mwa mipango hiyo ilikuwa ni pamoja na kutoa taarifa kwenye kituo cha polisi jijini Mwanza ambapo maafande walijipanga.

KUMBE SIR ALEX FERGUSON KWA TOTOZ HAJAMBO ..HEBU MCHEKI HAPA AKIPIGA CHAPO KWA HUYU TOTOZ

VUNJA MBAVU:: BAADA YA CHHRISTIANO RONALDO KUSHINDA UCEZAJI BORA,WABONGO WATENGENEZA PICHA ZA KUM DISSI MESSI,,,,,JAMANI NI VITUKO BALAA

$
0
0

Wabongo hawana maana kabisa. Baada ya Christian Ronaldo kuondoka na tuzo ya mchezaji bora wa dunia na kumwaga mpinzani wake mkubwa Messi. wabongo wakaamua kutengeneza kituko cha Messi. Hiyo picha unayoiona hapo juu ni Orijino ya Ronaldo akiwa na mkewaka na Messi akiwa na mke wake. sasa baada ya Ronaldo kushinda wabongo waka edit hiyo picha na matkeo yake yaka kama hivi 


kwamba Messi kakosa Tuzo na Kakosa mke. DUH
                                                                               credit-swahiliTz 

MOVIE BADO LINAENDELEA NA HII NDIO STORY KAMILI KUHUSU UJAUZITO WA WEMA NA ALIYEMPA MIMBA HIYO.

$
0
0

Diamond ambaye alimtupilia mbali mpenzi wake Penny na kurudiana na Wema mapenzi yao hayakufichika kwani wakiwa China walipiga picha za mahaba na kuziweka kwenye mitandao ya kijamii na kuzua hisia tofauti. 

Hivi karibuni wamekuwa karibu sana kimapenzi na kuamua kuonesha siri zao za ndani bila kuficha, “mwenye macho haambiwi ona… juzi tu wameweka video zao wakiwa kitandani kila mtu ameziona, lakni pia Diamond kumnunulia nyumba baada ya kusikia mkataba wake umeisha na kwamba hautoongezwa, na mambo mengine kibao” kiliongeza chanzo hicho 

“lakini tusubiri miezi tisa tu sio mingi na mimba huwahaifichiki bana tutaona.
MSANII maarufu wa Bongo Movie, mrembo na mwenye pesa pengine kuwazidi wengi na ambaye hivi karibuni amezua mijadala mikubwa baada ya kurudiana na mpenzi wake wa zamani Diamond, ambaye pia ni maarufu katika muziki wa kizazi kipya nchini na mwenye kuongoza kwa mapato nchini, imegundulika kuwa ana ujauzito wa miezi kadhaa.

Wema ambaye alishindwa kuficha hisia zake na hatimae kuweka kuandika kwenye mtandao wa kijamii wa instagram,” …mmmmmh jamani hichi kitumbo… hakifichiki now…” kuashiria kuwa mabadiliko ya mwili yameshaanza kuonekana (Picha chini inaonesha ujumbe huo kamili). 
 
Mtandao wa huu ulianza kuhisi taarifa hizo na kuamua kuzifuatilia kwa karibu ili kujua nini haswa kinaendelea au ni hisia tu. Ndipo mwandishi alipochukua jukumu la kumtafuta mlimbwende huyo Wema Sepetu na kugonga mwamba.

Hata hivyo jitihada hizo hazikuishia hapo ndipo kilipopatikana chanzo cha karibu na Wema na kudai kuwa “ amekuwa akilalamika mabadiliko hayo na hata kusikika akisema anaihisi ameconsive…” kilisema chanzo hicho bila kutaka kutambulika hadharani. 
“Ni kweli itakuwa hivyo na ndio maana Diamond aliamua kumtangaza rasmi siku hile ya chrismas” aliongeza. 

LAANA+AIBUU TANZANIA...VIDEO..!NJEMBA YAFANYA MAPENZI NA MAMA' AKE MZAZI....!TAZAMA HAPA UPATE KUJUA JINSI ILIVYOKUWA....!

$
0
0


Yaani dunia hii inavituko sana jamani na pia ina mambo yanasikitisha sana sasa huyu bibi hana hata aibu jamani uwiiii eti wamependane na mwanae ndo wakaamua kuoana.....
CHEKI VIDEO HAPA CHINI...
Kweli ukisataajabu ya Musa utayaona ya Firahuni...

HII NDIO TANZANIA...MUHUDUMU WA MUCHUARI AMPIGA MKWARA MZITO WAZIRI ..SOMA ZAIDI HAPA...

$
0
0
Mfanyakazi wa Kitengo cha Kuhifadhi Maiti cha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Eugene Vurugu amemtisha Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuwa ikitokea amefariki dunia akiwa mkoani Mbeya, basi maiti yake italazwa kwenye sakafu hospitalini hapo.

Akizungumza kwenye mkutano wa wafanyakazi na naibu waziri huyo mwishoni mwa wiki iliyopita, Vurugu alisema kitengo hicho kimezidiwa na wingi wa maiti zinazopelekwa hospitalini hapo.
Alisema kitengo hicho cha kina majokofu sita tu na hulazimika kuhifadhi miili kwa zamu ili angalau maiti zisiharibike.
“Hata wewe Waziri ukifa leo, hakuna pa kukuweka.
Utawekwa sakafuni kusubiri maiti nyingine zipoe halafu utaingizwa ndani kwa kuingizwa maiti mbili kwenye eneo la mtu mmoja,’’ alisema Vurugu.
Aliiomba Serikali ifanye haraka kuboresha kitengo hicho ili kuepusha tatizo la kuoza kwa miili ya marehemu.
Kumekuwa na malalamiko kuhusu uchache wa majokofu ya kuhifadhia maiti katika hospitali hiyo na baadhi ya watumishi walisema hali kuwa mbaya zaidi inapotokea ajali ambayo inasababisha vifo vya watu wengi kwa wakati mmoja.
Vurugu alidokeza pia kuwapo kwa tatizo katika Idara ya Mifupa ya hospitali hiyo, akisema wakazi wengi wanaofika hapo kwa matatizo hayo anawaona wakiondoka kwenda Hospitali za Peramiho ya Ruvuma na Ikonda ya Makete huku wengine wakienda kwa waganga wa jadi kuunga mifupa yao.

Vurugu alizungumza baada ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa hospitali hiyo, Dk Humphrey Kiwelu kusoma taarifa ya utendaji mbele ya Naibu Waziri iliyoonyesha hali iko shwari baada ya kudai kuwa hospitali hiyo imepiga hatua kubwa kiutendaji na katika utoaji huduma kwa wagonjwa.

Dk Kiwelu alisema hospitali yake ina mafanikio makubwa yakiwamo ya kuwa na maabara ambayo imekubalika katika kiwango cha kimataifa na kwamba majibu yanayotoka kwenye maabara hiyo kwa sasa yanakubalika hata Uingereza na Marekani.

Hata hivyo, alisema hospitali hiyo haina mashine ya CT Scan licha ya kuiomba kutoka serikalini tangu 2003.
Akijibu hoja mbalimbali za wafanyakazi, Dk Rashid aliwataka viongozi kujipanga na kuchangua vipaumbele kutokana na mafanikio mazuri yanayoonekana hospitalini hapo.Alisema kwa kuwa hospitali hiyo imeongeza mapato ya ndani kutoka Sh60 milioni hadi Sh300 milioni kwa mwezi, ipo haja ya kutumia fedha hizo kuiboresha kwa kuangalia vitendea kazi zaidi na masilahi ya watumishi wote. 

BAADA YA KUKAA KIMYA KIDOGO, RIHANNA KAMA KAWAIDA APIGA PICHA ZA NUSU UCHI...SAFARI HII NI BALAA TUPU...BREASTS OUT (MATITI) BILA UOGA.

$
0
0
Rihanna showed off her banging body as she posed topless, but for the paper covering her nipples, in a beach photo shoot for Vogue Brazil, which was shot last week on the Brazilian Island of Angra dos Reis.See more pics after the cut... 

DODOMA YATIKISIKA JAMANI, MTOTO WA BABA ASKOFU APIGA PICHA ZA UTUPU NA KUZICHUCHIKA MTANDAONI, ASINGIZIA NI MWANAFUNZI CHUO KUMBE SIO, BABAAKE AZIMIA BAADA YA KUONA PICHA HIZO

$
0
0
 Mtoto wa Askofu maarufu Mkoani Dodoma apiga picha za utupu na kuzisambaza makusudi ili kutafuta mapedeshee wa kumnanihiii..



Hapa akiwana grace ya pombe kali


Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua mtoto wa Baba Askofu mmoja wa Kanisa" Jina linahidhawa" kupiga picha chafu na kuzirusha kwenye mtandai kwa lengo la kutafuta wanaume wenye pesa.
Habari za uhakika toka makao makuu yaa nchi yetu yani Dodoma "Agwe za uswelo" zilisema kuwa msichana huyo ambae amekuwa akitumia majina mengi ili kuwapoteza watu ili wasimjue kuwa yeye ni mtoto wa kiongozi huyo wa roho anaeheshimika sana mkoani humo na nchi nzima kwa ujumla.
Hata hivyo chanzo chetu kilisema kuwa jina lake halisi ni Ruthu lakini amekuwa na majina zaidi ya matano mara hujiita, Zaituni, au Jasmiin, Happynes, Yusra na Jackline yote hayo ni njia ya kuwapoteza maboya watu wanaomfahamu vyema.
Mtoto huyo amekuwa kamaha aliyekubuhu vibaya mno na na sababu kubwa inadaiwa kuwa ni kulelewa kimaadili na kubanwa sana lakini mara baada ya kupata upenyo na kuonja raha za dunia hali imekuwa mbaya unaambiwa amefungulia koki mwanaume yeyote yeye twende na mbaya zaidi nakunya kileo hivyo pombe ikimpanda kidogo tu hulazimisha wanaume mwenyewe wakamshughurikia.
Hata hivyo habari zaidi zilisema kuwa janja kubwa anayotumia msichna huyo ni pamoja na kujifanya mwanafuzni wa chuo cha St John Dodoma hali huku akimwaga ngeri kama hana akili nzuri halio inayompa heshima kuwa msomi kisha wanaume wenye madini ya kutosha hujiingiza mkenge. 

ANGALIA PICHA ZA WAKE ZA WATU, MAKAHABA WANGONOKA NA MADEREVA KWENYE MALORI....HALI INATISHA SANA....!

$
0
0
KILE kikosi maarufu kilichojizolea sifa kwa utenda kazi wake cha Operesheni Fichua Maovu (OFM) kilicho ndani ya jumba la Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers jijini Dar kinazidi kufichua uovu, twende pamoja ili kujua.Mwishoni  mwa wiki iliyopita, OFM ilitua ‘Mji Kasoro Bahari’ (Morogoro) ambapo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Morogoro, kazi kubwa ilifanyika.

KAZI YENYEWE



Kazi ilikuwa kuyafumua madanguro na maeneo ya kujiuzia makahaba ambapo kwa mujibu wa watoa habari, baadhi ya maeneo mjini humo (hatuyataji kwa sasa) yamekubuhu kwa biashara ya wanawake kuuza miili yao.SOMA ZAIDI

POMBE ZA BURE ZAMUUMBUA,AJINYEA HAPO HAPO BAADA YA KUMALIZA MIZINGA MIWILI YA KONYAGI, ALITAMBA ANAWEZA KUMALIZA MITANO THUBUTU KILICHOMKUTA ANAJUA AIBU..

$
0
0



 Mshare wa njano unaonesha mavi aliyokunya mlevi huyo baada ya kunywa mizinga milwili tu ya konyaji bada ya kupiga mkwara kuwa anaweza kumaliza mizinga mitano.


UKISIKIA watu wanasema pombe si chai, ujue hawatanii. Mzee mmoja aliyefahamika kwa jina la Uledi, mkazi wa Mbagala Machinjioni, eneo lililo jirani na Kambi ya Jeshi, hivi karibuni aliumbuka vibaya, baada ya kufakamia vinywaji vya ofa kwa pupa na kujikuta akijisaidia haja kubwa hadharani.
Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Uledi, ambaye ni baba mwenye nyumba maeneo hayo

KIAMA HIKI....HII NI LAANA AU FASHION....!DADA ZETU JIANGALIENI JAMANI,KIU HAIIGWI...!

$
0
0
CHEKI PICHA HIYO HAPA CHINI... 

 
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live