Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

JACK PATRICK ALIYEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA MAPYA YAIBUKA

$
0
0

Jacqueline Patrick ‘Jack’.

Mrembo huyo alikamatwa Desemba 19, mwaka jana katika Uwanja wa Ndege wa Macau akitokea Bangkok, Thailand akiwa na kete 57 (kilo 1.1) za unga aina ya heroin tumboni zikiwa na thamani ya shilingi milioni 300. 
TAARIFA MBICHI
Taarifa mbichi kabisa zinadai kwamba, Jack amepewa mwaka mmoja na nusu (siku 447) ajifunze lugha inayozungumzwa na watu wa Macau (Kireno) ambayo ndiyo itakayotumika mahakamani wakati kesi yake itakapoanza kuunguruma.


 
Dawa za kulevya alizokutwa nazo Jack Patrick.

Sheria ya kisiwa hicho inasema kuwa mshitakiwa yeyote atakayefikishwa kortini, kesi yake haitasikilizwa mpaka majaji wakubali kwamba anajua lugha hiyo na si kinyume na hapo.
Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, mwalimu maalum anayejua Lugha za Kiingereza na Kireno ndiye atakayemfundisha Jack mpaka atakapojua.
AKIJUA MAPEMA ITAMSAIDIA
Habari za ndani kutoka vyanzo vya uhakika nchini humo zinasema kwamba, kama Jack angekuwa anakijua Kireno angepandishwa kizimbani mara baada ya upelelezi kukamilika, Machi mwaka huu.
KIFUNGO CHA CHINI MIAKA 16
Habari nyingine mpya kutoka Macau zinasema kuwa, sheria za eneo hilo kuhusu makosa ya kukutwa na madawa ya kulevya, mtuhumiwa akitiwa hatiani kifungo cha chini ni miaka 16 kulingana na mwenendo wa kesi.
SERIKALI YA TANZANIA YASUBIRI ORODHA…
Juzi, Uwazi liliwasiliana kwa simu ya mkononi na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, Godfrey Nzowa na kumuuliza kuhusu nini kinaendelea kati ya serikali na utawala wa Macau kufuatia Mtanzania, Jack Patrick kunaswa na unga nchini humo.
Nzowa: “Aaah! Sisi tumetuma maswali yetu kule (Macau) kupitia Polisi wa Kimataifa (Interpol), tumetaka kujua kama huyo binti (Jack) amewataja vigogo waliomtuma ni majina gani wanayo.
“Ndiyo tunasubiri majibu yao ili tujue nini kinaendelea kule. Kama aliwataja watu tutaanza kuwafuatilia mara moja maana lazima kuna vigogo nyuma yake.”
KWA NINI MABOSI WA KUBEBA UNGA HUWA HAWATAJWI?
Kinachomshangaza Kamanda Nzowa ni usiri wa watu wanaodaiwa kukamatwa na unga kufunga vinywa vyao kuwataja vigogo waliowatuma.
Inadaiwa moja ya kiapo kikubwa kabla mtu hajaanza kuwa ‘punda’ (kubebeshwa madawa ya kulevya) ni kusema ‘piga, ua, galagaza’ katu hawezi kutaja wahusika wenye mzigo.
“Unajua kwa sababu gani? Wale wanaobeba wanaambiwa mkikamatwa msitutaje hata iweje ili tufanye mipango ya kuwatoa. Sasa mtu anaona nikitaja sintatoka, ndiyo anaamua kuendelea kuishi na siri yake halafu na wao wakubwa wao wanakuwa hawana habari nao,” alisema Nzowa.

KUMBE JACK ALIPEWA MAJI YA MOTO
Habari zaidi zinasema kuwa, siku ya tukio la kukamatwa, Jack alikataa kwamba hajabeba kete za unga tumboni, askari wa uwanjani wakampa maji ya moto ili anywe.
“Kwa mtu aliye na kete tumboni, hawezi kukubali kunywa maji ya moto kwani huyeyusha kete zilizomo ndani na kuweza kusababisha kifo chake.
“Jack alikataa kunywa maji ya moto, hilo likachangia askari kuamini ana kete tumboni, ndiyo maana walimpeleka chooni kuzitoa kitaalam,” kilisema chanzo.
RAY C AWASHANGAZA WENGI
Kufuatia sakata la Jack, hivi karibuni, staa wa muziki wa kizazi kipya Tanzania, Rehema Chalamila ‘Ray C’ aliingiza kwenye mtandao wake wa kijamii akitoa maoni kwamba Jack apewe adhabu kali zaidi ya kifungo (pengine kunyongwa) hali iliyowashangaza wengi waliotembelea mtandao huo.
Baadhi ya watu waliozungumza na Uwazi baada ya staa huyo kuingiza mawazo yake walimshutumu wakisema alitakiwa kutafakari upya.
“Yule dada (Ray C) hakutakiwa kumtakia mwenzake mabaya zaidi, kama yeye aliathirika na madawa na amepona anatakiwa kuwa balozi kwa wengine na si kuwahukumu wenzake,” alisema Joan Mushi, mkazi wa Sinza ‘E’ jijini Dar.
WAZIRI MEMBE VIPI?
Juzi, Uwazi lilimtafuta Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Kamillius Membe ili azungumze lolote kuhusu sakata la Jack Patrick lakini hakupatikana badala  yake naibu wake, Mahadhi Maalim alisema taarifa za Jack kukamatwa amezisikia  kupitia vyombo vya habari na hana habari kiundani ila bosi wake anaweza kuwa na maelezo zaidi.
WOLPER, AUNT EZEKIEL, WEMA, WANAWINDWA KUWA ‘MAPUNDA’
Wakati Jack akiwa katika mazito hayo, habari ambazo zilifika kwenye dawati la Uwazi dakika za mwisho zinasema mastaa wa filamu za Bongo, Jacqueline Massawe Wolper, Aunt Ezekiel Grayson na Wema Isaac Sepetu wamekuwa wakitolewa udenda na vigogo wa unga. 
Vigogo hao wamekuwa wakihaha kutafuta namna ya kuwaingiza mastaa hao kwenye ‘chaneli’ yao ili wawe mapunda wa kubeba kete za unga kupeleka ughaibuni wakiamini kuwa, mastaa hawakamatwi hovyo uwanja wa ndege, hususan wa Dar es Salaam.
-GPL

DADA AVUA NGUO NA KUTEMBEA KAMA MISS ILI AWATOROKE POLISI

$
0
0
HUYU dada sijui maskini sijui alifanya kosa gani?Ila namuaminia paparazi wangu ataleta jibu tu..!!!

PICHA: MTU ALIYEKUWA MNENE NA MWENYE UZITO MKUBWA DUNIANI.......ni mnene sio mchezo!!hatari nyama kuanguka..

$
0
0
Paul-Mason mwenye miaka53, kabla ya kupunguzwa unene kwa upasuaji maalum Hapo Juu...

Paul-Mason, baada ya kufanyiwa upasuaji

Baada ya kufanyiwa upasuaji huo alitakiwa kufanyiwa upasuaji wa kupunguza manyama yaliyozidi.

Paul Mason anamchumba wake wa Kimarekani Rebecca Fountain tangu karibia miaka ya 1980                                                                       credit=Tznews

MH. John MNYIKA AANIKA ..KAULI KUHUSU UONGO WA WAZIRI PROFESA MUHONGO

$
0
0
mnyika

KAULI KUHUSU UONGO WA WAZIRI PROFESA MUHONGO 

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa kauli za uongo kwa nyakati mbalimbali mwaka 2012 na 2013 ndani na nje ya Bunge kuhusu utafiti na uendelezaji wa gesi asilia. 
Waziri Muhongo alijibu uongo kwamba hafanyi kazi kwa vyombo vya habari nilipohoji kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge ya kuanzia Novemba 2011 ya kushughulikia ufisadi uliothibitika katika mapato ya mauzo ya gesi na udhaifu mwingine uliobanishwa
Aidha, Waziri Muhongo aliahidi uongo alipounda alipounda kamati ya Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) na kuahidi kwamba kamati hiyo itafanya mapitio ya mikataba na kuandaa ripoti itakayowezesha mikataba mibovu ya utafiti wa mafuta na gesi asili kufanyiwa marekebisho. Hata hivyo, Wizara ya Nishati na Madini baadaye iliyoa taarifa kwamba matokeo ya ripoti hiyo hayatatumika kwa ajili ya mikataba iliyopita bali mikataba ijayo. 

Pia, Waziri Muhongo aliahidi kwamba kungekuwa na uwazi kuhusu ripoti hiyo; hata hivyo mara baada ya kamati kumkabidhi ripoti ameamua kuifanya kuwa siri hata baada ya kuomba kupewa nakala ya ripoti hiyo kwa mujibu wa masharti ya sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge.

Mwaka huu wa 2014 nitatoa kwa umma maelezo ya uongo wa Waziri Muhongo mfululizo kuanzia sasa mpaka atakapoomba radhi kwa umma na kuchukua hatua zinazostahili kuhakikisha maslahi ya nchi na matakwa ya wananchi yanazingatiwa kuhusu utafiti na uendelezaji wa gesi asilia.

Katika kauli itayofuata nitaeleza uongo wa Waziri Muhongo kuhusu zabuni ya nne ya kunadi vitalu vya utafiti wa gesi asilia ambao ameueleza kwa nyakati mbalimbali bungeni, katika Kongamano juu ya Rasilimali lililoandaliwa na UDASA katika Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na kupitia taarifa kwa umma ilivyotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 30 Disemba 2014.

Imetolewa na:
John Mnyika (Mb)
6/1/2014
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini

SIRI NZITO YAFICHUKA CHADEMA...!NI MPANGO KABAMBE WA NZITO KUMBOMOA MBOWE...!SOMA ZAIDI HAPA...!

$
0
0

TABIA ya Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu, kumrushia madongo Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya chama hicho, Zitto Kabwe, imesababisha hasira kwa mlengwa na sasa ameamua kuchukua uamuzi mkali zaidi. 

Zitto Kabwe pamoja na Mwanasheria wake,Albert Msando (kulia) wakiwasili katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam jana wakiongozana na wafuasi wanaopinga kuvuliwa uongozi wake, tayari kwa kwenda kusikiliza hukumu ya kesi yake.

 Zitto, ameamua kumrudi Lissu kwa staili nyingine kwa kwenda moja kwa moja na kummaliza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwa sababu anayo makombora mengi makali ambayo hapo kabla aliyaficha ili kunusuru chama.
 Chanzo chetu kimesema, Zitto amekasirishwa na mashambulizi kutoka kwa Lissu na kwamba baada ya kukaa kimya muda mrefu, sasa uzalendo umemshinda, kwa hiyo kinachofuata ni mashambulizi mwanzo mwisho dhidi ya Mbowe.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
 “Huu ni mpango endelevu, Zitto anajua kwamba maneno ya Lissu ni ya kulishwa, mhusika ni Mbowe, ndiyo maana amesema hataki majibishano na kifaranga, anamtaka mama wa kifaranga ajitokeze,” alisema rafiki wa Zitto kwa sharti la kutotajwa jina na kuongeza:
 “Mpango uliopo ni kukabiliana na mama wa vifaranga, yapo mabomu mengi ya maana ambayo Zitto anayo dhidi ya Mbowe, anachosubiri ni hukumu ya pingamizi lake mahakamani kuhusu Kamati Kuu ya Chadema kujadili uanachama mpaka itakampo fursa ya kukata rufaa Baraza Kuu.”
Hukumu hiyo, ilitarajiwa kusomwa jana Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji John Utamwa.
Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chadema, Tundu Lissu.
 Jumapili iliyopita, Zitto alisema kuwa maneno yanayozungumzwa na viongozi wa Chadema, mengi yakipitia kwenye kinywa cha Lissu ni sawa na mipasho kwa sababu hayamo kwenye tuhuma 11 ambazo walimwandikia azijibu kwa maandishi.  Kwa upande wa Mbowe, alinukuliwa akisema kuwa Zitto hapaswi kuibua tuhuma mpya dhidi yake, isipokuwa anachopaswa kufanya ni kujibu yale ambayo anatuhumiwa, huku akiyaita maneno ya mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini ni ya kitoto.

Angalia Video Diamond Feat Davido - Number One Remix (Official Video)

TAZAMA VIDEO NA PICHA ZA U*HI JINSI UKEREWE, MWANZA WALIVYOKUWA WANAKARIBISHA NDOA ZA JINSIA MOJA...!

$
0
0

CHEKI VIDEO HAPA CHINI
 

CHEKI VIDEO HAPO JUU

HUYU NDIYE NABII ANAYEJIITA YESU KRISTO KUTOKA BRAZILI... YANAANZA KUTIMIA ALIYO TABIRI YESU.....MTAZAME HAPA...eee mungu turehemu!!

$
0
0
I am Jesus: Inri Cristo speaks to his disciples from one of his mobile pulpits at his church compound outside the capital of Brasilia


Inri Cristo, 66,  akiongea na wanafunzi (wafuasi) wake nje ya kanisa lake liliopo Brasilia nchini Brazil.


They see me rollin', they hatin': When not giving sermons and tending to his flock at his Soust church, Inri Cristo likes to get around the grounds of his compound aboard his motor scooter
 Inri Cristo akiwa katika baiskeli yake nje ya eneo lake la kanisa






Son of god: Inri - which is a Latin acronym  that in English means 'Jesus of Nazareth, King of the Jews', believes that the location of his 'church' is the 'New Jerusalem'


Mwana wa mungu Inri - neno la kilatino ambalo maana yake ni 'Yesu wa Nazareti', 'Mfalme wa wayahudi' ana amini kwamba mahali kanisa lake lilipo ndo Yerusalemi Mpya'.


Faithful followers: A group of Inri Cristo's devoted disciples who live at the Soust compound gather to greet 'Jesus' in Brasilia, Brazil. Most of the disciples who live there have known Inri for over 20 years; the oldest now 86, and the youngest 24


 Hawa ni baadhi ya wanafuzi wa Inri Cristo ambao huishi hapo hapo kwenye eneo la kanisa. Wengi wa wawashiriki hao wamekuwa wakijulikana na Inri kwa zaidi ya miaka 20. 


Leader's greetings: Despite being the home of Jesus, and home of a religious organisation, Inri Christo still has a kennel of dogs to protect them
Pamoja na kwamba ni nyumba ya Yesu na makao makuu ya dehebu la Inri lakini bado hutumia mbwa kwa aajili ya kumlinda.
Uniform uniform: Inri Christo's female disciples wear simple blue gowns with the compound's logo on, tied with a rope, and knitted hats
Wafuasi wa Inri Christo ambao ni wanawake huvaa nguo za blue ambazo zina logo ya kanisa hilo, zenye kamba kiunoni na kofia za kufumwa.




His holy word: Cristo speaks to his followers every Saturday morning from his pulpit at the 'New Jerusalem' compound


 Inri Cristo huwahubiria waumini wake kila Jumamosi asubuhi kutoka mimbara yake kwenye mji wake 'Mpya wa Yerusalem'




Long career: Inri Cristo, who has been preaching as 'Jesus' since 1979, surrounded by followers circa 1982 at Belem cathedral in Lisbon, Portugal

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Article 5

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI

ANGALIA PICHA YA NDOA YA KARNE BONGO HAIJAWAHI TOKEA.

$
0
0
Mzee Nkwabi Ngobola Kapimbi (91) baada ya kufunga pingu za maisha na mkewe Maria Mkiwa (78).
Mwaka mpya mambo mapya.
Katika tukio linaloweza kuitwa kama ndoa ya karne, mzee mmoja mwenye umri wa miaka 91, Nkwabi Ngobola Kapimbi, wiki iliyopita alifunga pingu za maisha na mkewe Maria Mkiwa (78) mbele ya mchungaji Thobias Shilole wa Kanisa la Maombezi huko Kibaha mkoani Pwani.SOMA ZAIDI

Nipe Ngono nikupe Samaki!

$
0
0
Wanawake wanaouza Samaki katika eneo la Ziwa Victoria hulazimika kujihusisha na wavuvi kingono ili wapewe Samaki
Wanawake wa Kenya wanaofanya biashara ya kuuza Samaki katika ufuo wa ziwa Victoria mjini Kisumu Magharibi mwa nchi, wanajaribu kukomesha tabia ya kujihusisha na wavuvi kingono ili wapewe Samaki bila malipo.
Tabia hii imelaumiwa pakubwa kwa kuchochea ongzeko la maambukizi ya HIV.

Wakati wanawake hao wanapokubali kuwa na uhusiano wa kingono na wavuvi wanaume, basi hilo huwa kama hakikisho la kupata Samaki wa kuuza kwa kipindi kirefu.
Biashara hii inayojulikana na wenyeji kama Jaboya, ambapo mwanamke anafanya Ngono na wavuvi ili apate Samaki wa kuuza, imelaumiwa pakubwa kwa kueneza maradhi ya Ukimwi miongoni mwa watu wanaoishi katika maeneo ya Ziwa Victoria.
Sasa wanawake katika eneo hilo wamezindua kampeni inayolenga kukomesha biashara hiyo.
Mradi uliozinduliwa na taasisi ya utafiti wa mazingira ya Victoria, imeanza kuwapa wanawake hao maboti yao ili waweze kufanya uvuvi wenyewe.
Dan Abuto, afisaa mmoja wa shirika hilo, anasema kuwa pesa watakazolipa wanawake hao kutokana na biashara zao za Samakai, zitawaruhusu kutengeza boti zao wenyewe.
"mradi huu unalenga kushughulikia 'Jaboya' kama swala la afya ya umma , kupunguza viwango vya umasikini na kuleta usawa wa kijinsia,'' alisema afisaa huyo.
Wajane pia wanasemekana kuwa katika hatari kubwa zaidi kutokana na biashara hiyo hasa ikiwa ni jukumu lao kulisha familia zao.
Makundi ya wanawake yanasema kuwa boti hizo za thamani ya dola 920, hazitamaliza tu biashara hiyo bali pia itapunguza kuenea kwa maradhi ya Ukimwi. Ikiwa mradi huu utafanikiwa basi maambikizi nayo yatapungua pakubwa.CHANZO BBC SWAHILI

GOOGLE WAONYESHA JINSI WEMA NA DIAMOND WANAVYO ONGOZA KUTAFUTWA KATIKA GOOGLE KWA TANZANIA

$
0
0








 trends

Google trends imetoa list ya majina/maneno ambayo yametafutwa sana kwenye mtandao wa google search kwa mwaka 2013.

Dunia nzima ime-search sana jina la Nelson Mandela likifuatiwa na Paul Walker.
Upande wa Tanzania majina ya watu maarufu yaliyotafutwa sana kwa upande wa picha(image search) ni Wema,Diamond na Wema Sepetu.
Kwa ujumla unaweza kusema jina lililotafutwa sana kwa upande wa image search kwenye google kwa mwaka 2013 ni Wema Sepetu.
google
Upande wa Youtube search jina la mtu maarufu lililotokea ni la Diamond Platinumz.
Ukikumbuka kwa makini kitu kilichomfanya atafutwe sana kwenye mtandao wa Youtube itakuwa ni video ya My Number 1.
youtube



Watu waliotafutwa sana duniani kwenye Google kwa mwaka 2013
1
Matukio yaliyotafutwa sana kwa mwaka 2013 dunia nzima

2



Electronic device zilizotafutwa sana kwenye google kwa mwaka 2013
3
Wanamichezo waliotafutwa sana kwa mwaka 2013
4 5
Movie zilizotafutwa sana kwa mwaka 2013
6

MASKINI MWANADADA HUYU...!!!! ADONDOKA GHAFLA MTAANI,,WAHUNI WAMVAMIA NA KUMPORA KILA KITU..

$
0
0
MWANZA 
Ama kweli dunia haina huruma! Dada Happy amejikuta akiishiwa nguvu na kuanguka mbele ya kadamnasi na kuzimia pasipo msaada wowote ambapo badala yake watu waliodaiwa kuwa ni vibaka walimuibia vitu vyake vyote.Kwa mujibu wa mashuhuda, mrembo huyo ambaye alikuwa katika mishemishe za kawaida alidondoka ghafla akiwa Mitaa ya Nyakato jijini hapa mbele ya kituo cha polisi, Januari 4, mwaka huu. Ilidaiwa  kuwa baada ya kupoteza fahamu, wahuni walimliza simu pamoja na fedha zote kisha kumwacha akiwa hana msaada wowote.

 Hata hivyo, dada huyo alisaidiwa na wasamaria wema ambao walimpeleka Hospitali ya Buzuruga ambapo alipatiwa matibabu na baadaye ndugu zake walipata taarifa kutoka kwa mashuhuda wanaomjua Happy kisha wakaenda kumchukua. 

Gazeti hili lilitaka kujua kilichompata mrembo huyo lakini madaktari hospitalini hapo walidai hawawezi kutoa siri ya mgonjwa huku ndugu nao wakiweka ngumu kusema kilichosababisha Happy kudondoka ghafla na kupoteza fahamu.
 “Mimi sijui kilichompata lakini sasa hivi hali ni mbaya. Unaweza ukashangaa mtu kasimama halafu akadondoka ghafla na kupoteza maisha. Cha msingi tucheki afya zetu mara kwa mara,” alisema mmoja wa ndugu hao ambay

MSANII WA KENYA ""AVRIL"" ANASWA LIVE AKISAGANA..JIONEE MWENYEWE MAPICHA HAPA.

$
0
0
Kenyan musician Avril Nyambura lesbian sex photos leak (18+) 
The 'Kitu Kimoja' hit singer Avril 
Nyambura made news after her unclad pictures circulated on the internet. The artist was not as popular as she is now.
Many believe that she leaked them in a bid to create publicity. Avril claimed that the images were photoshopped by a malicious individual.At the time, the musician was involved in a fling with Dj Crème de la crème who was engaged to his beautiful fiancée. 
If you didn't get a chance to see the famous  pictures before, here they are:

VIDEO...WAKUBWA TUU..!!! WANAFUNZI WACHEZA UCHI HADHARANI...JIONEE MWENYEWE HAPA

Wema apost Video ya Diamond akiwa kitandani kifua wazi. Hatari sana

$
0
0
Leo mwanadada wema sepetu amezidi kuudhihirishia ulimwengu wa fans wake kuwa kijana raisi wa wasafi aka Diamond Platnumz ndio mahabuba wake baada ya kupost video ya mwanamuziki huyo akiwa kitandani kifua wazi kabisaaa huku akiandika “In da middle of his writing session…jus had to distrub him a little”. Mmmh hatari sana!   BONYEZA HAPA KUITAZAMA

ANGALIA PICHA YA SALOON ILIYOKO SINZA..INAYOFANYA MASAJI HUKU IKIJIHUSISHA NA UTOAJI WA HUDUMA YA NGONO

$
0
0
AMA kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze yapo yaliyotokea na kusisimua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la warembo kufumwa wakitoa dozi ya ngono linaweka historia nyingine,
Warembo wanaotoa huduma wakiwa wameficha sura zao baada ya kunaswa na OFM.
Hebu sikia, saluni inayojihusisha na vitendo vya ’masaji’ lakini kumbe ngono imo ndani yake imenaswa na kufumuliwa baada ya kukutwa uchafu wa aina yake nyuma ya pazia.SOMA ZAIDI
Saluni hiyo maarufu kuliko Miji ya Sodoma na Gomora, ipo maeneo ya Sinza ambapo kwa muda mrefu sasa imekuwa ikijihusisha na uchafu huo na kusababisha kero kwa wananchi wenye maadili yaliyotukuka.TAARIFA MEZANI
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, ikiwa imetulia ndani ya mjengo wa makao yake makuu, Bamaga-Mwenge jijini Dar, Mkuu wa kikosi maalumu cha Mtambo wa Kurekebisha Tabia (MKT) ambacho ni kitengo ndani ya OFM, alipokea simu kutoka kwa msamaria mwema akitoa ‘tipu’ juu ya ishu hiyo.
Mhudumu baada ya kumpatia dozi mteja.
Mtoa taarifa huyo alieleza malalamiko yake juu ya kero wanayoipata raia waishio jirani na saluni hiyo kufuatia huduma chafu za kuchukiza ambazo hufurahiwa na shetani na malaika wake tu.
Msamaria Mwema: Halooo.... halooo... jamani halooooo, hapo ni Makao Makuu ya OFM? 
OFM: Ndiyo mama, tukusaidie nini?
Msamaria Mwema: Mna habari jamani?
OFM: Zimejaa tele, ila hata ya kwako inaweza kuwa bora kuliko tulizonazo.
Msamaria Mwema: Hapa Sinza Kwaremi (Dar) kuna saluni moja inaendesha vitendo vichafu vya ngono na hakuna sheria yoyote inayochukuliwa dhidi ya wahusika.
...Huyu alinaswa akikimbia baada ya OFM kutia maguu eneo la tukio.
OFM: Saluni ya ngono? Kivipi mama? Hebu fafanua tafadhali!
Msamaria Mwema: (kwa sauti ya juu mno) ninyi njooni mtajua kila kitu hukuhuku lakini inaendesha mambo ya ajabu (simu ikakatika).
OFM MZIGONI
Bila kupoteza sekunde, mkuu huyo wa MKT, aliwapanga ‘makamanda’ maalumu na kuwapa maelekezo muhimu ya jinsi ya kujua ukweli juu ya uovu uliodaiwa kutendwa kwenye saluni hiyo.
UCHUNGUZI
OFM iliwatuma vijana wake ‘watanashati’ hadi eneo lililotajwa ili wachunguze kama kweli kuna saluni yenye jina lililotajwa na mtoa habari wetu. 
Baada ya maelekezo hayo, vijana hao wakiongozwa na roho safi ya kunyoosha maadili katika jamii, walifika hadi Sinza na kukuta saluni yenye jina hilo ambapo walianza kufanya upelelezi wa hali ya juu mno huku wakiwa makini kuliko hata neno lenyewe.
UTHIBITISHO
Baada ya kutinga eneo hilo, OFM iliendesha upelelezi maalumu kwa kuwauliza baadhi ya wakazi na watu wanaofanyia shughuli zao za kujiingizia riziki na kupata ukweli halisi juu ya ufuska ufanywao ndani ya saluni hiyo.
Katika uchunguzi huo, OFM ilipata uthibitisho kuwa kweli ibilisi yuko katika hesabu zake za mwaka kwa kufanya uchafu wa kufuru.
Ilielezwa kwamba, watumishi wa saluni hiyo ambao ni warembo, hujifanya wanatoa huduma ya kuchua mwili (body massage) kwa Sh. 25,000/= kwa vyumba na huduma za kawaida, lakini kwa vyumba vyenye choo na bafu kwa ndani (self contained) ni Sh. 35,000/=.
HUDUMA
Katika upelelezi huo, ilibainika kuwa mteja akilipia gharama ya vyumba vya self contained, ana uhuru wa kuchagua kama atapenda kufanyiwa huduma ya uchuaji kwa mikono tu au kwa matiti na wakati mwingine mwili mzima huku mtoa huduma hiyo akiwa amevua nguo zote!
Ikazidi kuelezwa kuwa, endapo mhudumiwaji atataka huduma hiyo ya mchuaji kuvua nguo zote, atafanyiwa hivyo lakini kama atazidiwa na kuhitaji huduma ya ngono, atatakiwa kuongeza Sh. 50,000/= kwa msichana huyo wa huduma na kufanya gharama kuwa zaidi ya Sh. 80,000/=.
“Wamekuwa wakifanya vitendo viovu sana, yaani ngono njenje, jamani hii siyo saluni, bali ni danguro la ngono fuatilieni mtangundua juu ya ukweli huu,” alisema mmoja wa raia katika upelelezi wa OFM.
OFM NDANI YA NYUMBA
Ili kujiridhisha na maelezo hayo, timu ya OFM ilituma vijana wake tofauti kwa muda wa siku tatu mfululizo na kubaini kuwa yote yaliyosemwa na kutajwa kwa kirefu yanatendeka ndani ya saluni hiyo!
‘Askari’ wa kwanza wa OFM aliingia ndani ya saluni hiyo (jina linavunda kwenye droo za meza yetu) na kuwakuta wahudumu wamejaa tele na alipowauliza juu ya huduma ya masaji na ngono, walijibu kwa sauti ya furaha na bashasha kubwa bila kujua kuwa kijana wetu alikuwa na vifaa maalumu vya kunasia sauti.
“Ni wewe tu jamani, kwani wewe ni mgeni maeneo haya? Mbona utaratibu unaeleweka, lakini maelezo ni hayo kwa hiyo karibu sana,” alisema mmoja wa warembo hao huku akilegeza macho mithili ya mgonjwa wa degedege.
Siku mbili zilizofuata, askari wa OFM waliendelea kupata stori na maelezo ya aina hiyohiyo.
MTEGO!
Siku ya tukio, (mwanzoni mwa wiki hii) OFM iliweka mtego kwa kumpeleka kijana wake ili ajifanye anahitaji huduma hiyo ya kufanyiwa masaji mwili mzima na baadaye ajifanye amezidiwa na kuhitaji huduma ya ngono.
Katika mtego huo, OFM ilitoa taarifa polisi ambapo ‘vijana wa IGP Ernest Mangu’ hawakulaza damu, wakatoa ushirikino wa kutosha kwa OFM.
MTEGO WAFYATUKA
Kama kawaida, OFM huwa haishindwi linapokuja suala la oparesheni maalumu kama hiyo, fuatilia sana. Mtego wake ulifyatuka ambapo mmoja wa vijana wake alijifanya kuhudumiwa (angalia picha ukurasa wa mbele).
Baada ya kuweka mazingira sawa, OFM na polisi wa kike na kiume walivamia na kufanikiwa kufuma laivu matukio mengi ya ufuska mkubwa (ukitaka kuona zaidi, unakaribishwa Bamaga ofisini kwetu).
WAUME ZA WATU!
Baada ya zoezi hilo kukamilika, baadhi ya mashuhuda (hasa akina mama) walisikika wakishukuru kufumuliwa kwa saluni hiyo kwa kuwa ndoa zao zilikuwa zimeanza kuota magugu kwani wateja wengi wa saluni hiyo ni waume za watu na vigogo serikalini!
“Jamani tunashukuru sana, waume zetu walikuwa wanakimbilia hapo, ugomvi kidogo tu, mwanaume anakwenda hapo na akirudi nyumbani hana habari kabisa na mkewe, safi sana OFM na polisi kwa jumla,” alisikika mama Joyce akishangilia kufumuliwa kwa saluni hiyo.
SOO POLISI
Baada ya ‘sheshe’ hilo, warembo sita walikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi kwa upelelezi maalumu.
MMILIKI
Katika upelezi wa awali, watumishi hao walimtaja mmiliki wa saluni hiyo kwa jina moja la Chifu huku wakishindwa kuweka wazi na kufafanua kwa undani zaidi.

KAMANDA WAMBURA UPO?
Gazeti hili lilifanya jitihada za hali ya juu kumpata Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Camilius Wambura ili azungumzie juu ya sakata hilo, lakini hadi gazeti hili linakwenda mitamboni, simu yake ya kiganjani ilikuwa ikiita bila kupokelewa

(18+)HEBU TUJADILIANE.. DADA HUYU PICHA HIZI ZA AIBU ALIZOPIGA NA KUTUPIA KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK, JE? KWA MTAZAMO WAKO MSOMAJI YEYE ALIZITUPIA KWA KUSHAURIWA AU MAAMUZI YAKE? MAANA DU! AIBU

Viewing all 2863 articles
Browse latest View live