Angalia Picha za majengo yaliyoporomoka New York muda mfupi uliopita.
Majengo mawili yameporomoka New York Marekani ambapo mpaka sasa imetoka ripoti ya watu wawili kufariki na wengine kutoonekana huku 18 wakijeruhiwa na wanne wakikimbizwa hospitali.Chanzo cha majengo...
View ArticleKWA MWENDO HUU MBONA WANAUME WENGI WANGEJIUNGA NA JESHI LA POLISI....!!!...
Kijana wa kizazi hiki cha digitali asingeweza kuvumilia hali hiyo ya kumshika shika mwanadada kwa kiasi hicho bila maungo yake kusisimka..!!!!!!Inahitaji moyo kufanya kazi kama hizo alafu mwanadada...
View ArticleMADAME WEMA SEPETU NA UJUMBE MUHIMU MAHUSUSSI KWA WANAUME WENYE...
Kupitia Account yake ya Instagram msanii maarufu Diva Wema Sepetu,ame-post ujumbe ambao uliandikwa na msanii wa filamu za hollywood za marekani ajulikanaye kama Brad Pitt,alipokuwa anaelezea hisia zake...
View ArticleKAFARA KUBWA KUFANYWA NA FREEMASONS BAADA YA KIFO CHA GADDAFI,WAFAHAMU...
VIONGOZI wakuu wa Dini ya Shetani, Freemasons, walifanya kafara nzito kuadhimisha kukamatwa, kuteswa kisha kuuawa kwa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi.Vyanzo vilisema kuwa ni kawaida kwa...
View ArticleANGALIA PICHA YA SALOON ILIYOKO SINZA..INAYOFANYA MASAJI HUKU IKIJIHUSISHA NA...
AMA kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze yapo yaliyotokea na kusisimua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la...
View ArticleWAZIRI KIVULI WA MAMBO YA NDANI, VICENT NYERERE AOMBA MASOGANGE AKAMATWE MARA...
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere.WAZIRI Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere ameibuka na kutoa kauli ya kutaka Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’ akamatwe na kuswekwa ndani...
View ArticleWAKUTWA WATUPU KWENYE GARI MARA BAADA YA KUVUNJA AMRI YA SITA KUPITILIZA
Mwanaume Mmoja na Dada Mmoja walikutwa Ndani ya Gari wakiwa wamenzia fofo huku wakiwa uchi ndani ya Gari ikimaanisha walikuwa wanafanya yao walipomaliza wakasinzia hivyo hivyo ...Inaelekea Walikuwa...
View ArticleKIJANA JOACHM KAPINGA ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU,
Kijana Joachm Kapinga,(23) mkazi wa Mbinga Vijijini, amevujika miguu yake yote, alikuwa na wiki mbili Rukwa kusaka maisha kwa kwa kuwa mchuuzi wa samaki, yupo safarini kupelekwa Peramio na...
View ArticleArticle 1
MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO..Mzazi ukiridhika na mienendo ya mwanao mbele ya macho ya watu, basi ujue ndivyo upendavyo na ni staili ya maisha uliyomchagulia mwanao kuishi leo na kesho. Mtoto huyu...
View ArticleANGALIA PICHA UKATILI DHIDI YA WATOTO BADO NI TISHIO MBEYA
Mtoto Anjela Rashid[4]amechomwa moto mikono yote miwili na baba yake mzazi baada ya kula finyango mbili za nyama zilizopikwa na Baba yake huyoJohn Msumba[3]ambaye amekuwa akipigwa mara kwa mara na...
View ArticleMjamzito Ajifungua Akiwa Ndani ya Choo cha Gesti Huko Songea
MKAZI wa kitongoji cha Sogea katika Mji mdogo wa Tunduma wilayani Momba, Pendo Lyala (18) amejifungua mtoto katika choo cha nyumba ya kulala wageni. Pendo alijifungua Machi 10 mwaka huu saa 4:00 katika...
View ArticleTAHADHARI PICHA SI NZURI: TAZAMA PICHA ZA KIJANA ALIECHARANGWA MAPANGA KWA...
Tukio la kusikitisha na la kinyama limetokea huko mjini Floplandia baada ya mahakama kumwachia huru mtuhumiwa wa ubakakaji kutoka gerezani akiwa na hatia dhidi ya kesi hiyo iliyokuwa...
View ArticleMZUNGU AFUMANIWA NA "DENTI" SAA 7 USIKU....SOMA KWA HABARI ZAIDI!!!
Na Waandishi WetuNI kweli duniani kuna mambo na mambo yenyewe hufanywa na binadamu! Mzungu mmoja ambaye jina lake halikupatikana, amejikuta mikononi mwa polisi kufuatia kunaswa gesti akiwa na denti,...
View ArticleBREAKING NEWS:.IMAMU ANUSURIKA KIFO KWA WIZI WA ‘KITIMOTO’
IMAMU mmoja ambaye hakufahamika jina lake wa msikiti wa Kisesa Jijini Mwanza, amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na Waislam wenzake akiwa kituo cha polisi Kisesa anaposhikiliwa kwa wizi wa nguruwe...
View ArticleBABU ADAIWA KUMBAKA MJUKUU WAKE
BABU mwenye umri wa miaka (80), Benedict mkazi wa Tandika Kilimahewa, jijini Dar ametiwa mbaroni kwa madai ya kumbaka mjukuu wake wa kike (jina linahifadhiwa) mwenye umri wa miaka (6). Tukio hilo la...
View ArticleHATA KAMA NI MZIKI NA MIZUKA YA POMBE HII IMEZIDI SASA..!! CHECK UCHAFU WANAO...
Hizi ni zile party za kualika washikaji home nakusabisha vinywaji na muziki kidogo. Sasa balaa linaanza watuwakishaanza kuwaka, haya ndio matokeo yake na si unajua tena ukishaalika washikaji lazima uwa...
View Article