Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

ANGALIA PICHA UKATILI DHIDI YA WATOTO BADO NI TISHIO MBEYA

$
0
0

 Mtoto Anjela Rashid[4]amechomwa moto mikono yote miwili  na baba yake mzazi baada ya kula finyango mbili za nyama zilizopikwa na Baba yake huyo
John Msumba[3]ambaye amekuwa akipigwa mara kwa mara na wakati wote kufungiwa ndani kwa kufuli pia kunyimwa chakula na shangazi yake 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles