MAJONZI TELE DODOMA: MISIBA YA VIJANA MATEI NA OGUNDA YATIKISA MJI!
Majeneza yenye miili ya marehemu Joshua na Matei wakati wa ibada Uwanja wa Nyerere Dodoma jana. PICHA ZAIDI>>>>
View ArticleMSUSI WA HK SALOON AFIA GUEST HOUSE,KIFO CHAKE CHAGUBIKWA NA UTATA
Askari polisi pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya mtaa kata ya Gongoni manispaa ya Tabora akiangalia mwili wa mwanaume mmoja ambaye ni Msusi katika moja ya Saloon za wanawake hapa manispa ya...
View ArticleDADA 'AKE DIAMOND, QUEEN DARLEEN AKOSWAKOSWA NA AJALI!
Msanii wa muziki ambaye ni dada wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Mwajuma Abdul ’Queen Darleen’.Msanii wa muziki ambaye ni dada wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Mwajuma Abdul ’Queen Darleen’ juzi alikoswakoswa na...
View ArticleMAMA WA KAMBO ALIEMUUA MTOTO WAKE WA KUMCHINJA KWA PANGA NAE AUWAWA KIKATILI...
Tukio lilitokea hivi karibuni mkoani Mara la mama wa kambo kumchinja mtoto wake kwa kutumia panga hadi kufariki, limechukua sura mpya baada ya mama huyo nae kushambuliwa na wananchi wenye hasira kali...
View ArticleTEAM WEMA WAMPIGA DEBE BOSS WAO KWA EX WA ZARI
Hii ni zaidi ya mwaga mboga nimwage ugali....Team Wema imeamua sio tu kumwaga ugali ila kutoboa sufuria na kuzima mato ili pasipikwe kabisa, Mashabiki wa Wema Sepetu wameamua kuvaa miwani za mbao na...
View ArticleMADAI MAZITO: AUNT EZEKIEL ANASA MIMBA NJE YA NDOA
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel akiwa viwanja na shosti yake, Wema Sepetu.Madai mazito! Pamoja na kutumia nguvu kubwa kukanusha kwa miezi kadhaa, bado staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel...
View ArticleMKANDA WA NGONO WA ZARI THE BOSSLADY WAVUJA!
Mkanda wa ngono unamuonesha mfanyabiashara wa Uganda, Zarinah Tlale maarufu kama Zari the Bosslady akifanya mapenzi na mwanaume asiyejulikana umesambaa.Picha za Zari akivunja amri ya sita kutoka kwenye...
View ArticleZARI AFUNGUKA KUHUSU TUHUMA YA ACT VIDEO YAKE CHAFU
#Repost @zarithebosslady Zari>Hii kuhusu Picha Za Mkanda Wa Ngono Kusambazwa. Dearest friends, my fans all over the world, relatives and well wishers, as you may be or may not be aware, the print...
View ArticleBAADA YA KUAMBIWA ANAUJAUZITO, HII NDIYO PICHA ALIYO POST AUNT EZEKIEL NA...
Baada ya wengi kuongea na baadhi ya vyombo vya habari zikiwemo na blogs kuandika kuwa Aunt Ezekiel anaujauzito na hadi kufikia kudhaniwa ni nje ya ndoa pamoja na mmoja wa wanenguaji wa msanii Diamond...
View ArticleZARI WA DIAMOND KWISHA! BAADA YA SKENDO YA KUREKODI VIDEO YA NGONO!
BUUUU! Hizo ndizo kauli zilizozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii mara baada ya habari ya kurekodiwa video ya utupu ya mwanadada anayedaiwa kuwa mwandani mpya wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul...
View ArticleKAKA ASIMAMIA FUMANIZI LA DADA'KE!
Aibu ya kufunga mwaka! Kaka mtu aliyejitambulisha kwa jina moja la Nicholaus kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, amesimamia fumanizi la dada’ke ambaye ni denti wa...
View ArticleHATARI: HAUSIGELI NUSURA AUAWE
Rehema Ally akiwa na majeraha mwilini mwake baada ya kujeruhiwa.Makongoro Oging’ na Shani Ramadhan Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini...
View ArticleMUNGU MKUBWA! ALIYEZAMISHWA SULULU KICHWANI APONA, AFUNGUKA MAZITO!
HAKUNA neno jingine la kutumia zaidi ya kusema; KWELI MUNGU MKUBWA! Ni miezi mitano sasa imekatika tangu kusambaa kwa picha mitandaoni zilizomwonesha mwanaume mmoja akiwa ameshindiliwa sululu kichwani...
View ArticleA-Z KUHUSU MTOTO ALIYENYONGWA NA BABA WA KAMBO MKOANI MOROGORO!
Abdulrahman Hamis Clemensi enzi za uhai wake.JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Zamili Shabani kwa madai ya kumnyonga hadi kumuua mtoto wake wa kambo, (mwaka mmoja na nusu) huku mauaji hayo...
View ArticleBREAKING NEWS: WAJERUHIWA KATIKA VURUGU DUMILA
WATU kadhaa wamejeruhiwa katika vurugu zilizotokea jioni hii huko Dumila mkoani Morogoro kati ya wakulima na wafugaji ambapo polisi wameingilia kati na kutumia mabaomu ya machozi kutuliza ghasia hizo....
View ArticleBINTI AKUTWA AKIFANYA JARIBIO LA KUMLA MTOTO WAKE BAADA YA KUJIFUNGUA!
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Li Zhenghua 24, amekutwa akifanya jaribio la kumla Mtoto wake aliyejifungua siku chache zilizopita, baada ya kumkuta taya yake...
View ArticleHUYU NDIYE KIJANA ALIYEZAA NA MAMA YAKE MARA MBILI
Kijana mmoja nchini zimbabwe katika kijiji cha pote amekimbia kijiji hicho baada ya kujikuta katika matatizo makubwa kufuatia kumtia mimba mama yake mzazi kwa mara ya pili.Ikumbukwe hapo nyuma kijana...
View ArticleWASULUBIWA NYUMBANI KWA WEMA, PICHA ZIKO HAPA
Msanii wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu.JAMAA wawili, mmoja fundi umeme, Rashid Balazi na Juma Bushiri wanadaiwa kunusurika kifo baada ya kutekwa na kusulubiwa nyumbani kwa msanii wa sinema za...
View ArticleWEMA SEPETU NA MSANII HUYU MKUBWA WAFANYA BALAAA…CHEKI HIZI PICHA TU ZA...
Wema Sepetu amesafiri hadi jijini Accra, Ghana kwenda kushoot filamu mpya na msanii mashuhuri nchini humo, Van Vicker.Filamu hiyo inaitwa ‘Day After Death’, na inaongozwa na Vicker mwenyewe. Pia mtoto...
View ArticleMIMBA NJE YA NDOA, AUNT EZEKIEL AITWA BAKWATA
MADAI! Huku zikiwa zimepita siku chache tangu igundulike kwamba muigizaji, Aunt Ezekiel kuwa na mimba ambayo inasadikiwa kuwa si ya mume wake (Sunday Demonte), ndugu wa mume huyo wameibuka na kutaka...
View Article