Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

HUYU NDIYE MWANAMKE ALIYEVALISWA PETE YA UCHUMBA NA BALOTELL....NI MZURI UTADHANI KAZALIWA J PILI

$
0
0

MSHAMBULIAJI wa Italia na AC Milan, Mario Balotelli ametangaza kumchumbia mpenzi wake, Fanny Neguesha kuelekea mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Dunia dhidi ya England mjini Manaus.

 
Mchezaji huyo mtata wa AC Milan amethibitisha hilo katika ukurasa wake wa Instagram kwa kuposti picha ya mkono wa mpenzi wake huyo ikiwa na pete ya uchumba jana jioni.

Balotelli ameambatanisha picha na ujumbe usemao: “Amesema ndiyo.. Ndiyo muhimu zaidi katika maisha yangu. Hilo ndilo lilikuwa swali langu! Nakupenda, na furahia siku ya kuzaliwa kwao pia! Je t’aime my WIFE’.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles