FLORA MBASHA, ROSE MUHANDO,SHUSHO NDANI YA KANISA LA GWAJIMA
Christina Shusho na Flora Mbasha wakiimba sambamba na waumini wengine waliohudhuria misa hiyo.Flora Mbasha akiimba katika kanisa la Gwajima.Halima Mdee akisisitiza jambo alipokuwa akiwahutubia waumini...
View ArticleLAANA+AIBU KWA TAIFA: MASHOGA, WASAGAJI WAFANYA MKUTANO DAR..
Mashoga wakiandamana kudai haki zao.Tumekwisha! Taarifa ikufikie kwamba wanaume tata ambao si riziki (mashoga) na wanawake wanaojishughulisha na mapenzi ya jinsi moja (wasagaji) kutoka nchi mbalimbali...
View ArticleWAPIGANA MAPANGA DAR
Kijana aliyekatwa na sime kichwani. Timbwili lenye ujazo mkubwa limeibuka baa ambapo jamaa mmoja muokota chupa za maji ambaye jina lake halikupatikana, anadaiwa kukatwa sime kichwani na mwenye gari...
View ArticleDIDA WA TIMES FM AONESHA JEURI NYINGINE YA PESA
Hadija Shaibu ‘Dida’ akiikagua gari yake.Zimemtembelea! Prizenta wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa na Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ ameonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya...
View ArticleANGALIA PICHA WATU WALIVYOJIACHIA KWENYE INSTAGRAM PARTY
Warembo alikuwa wamependeza kila idara mambo yalikuwa safi na ukodak kuchukua nafasi yakeWarembo walivyo kuwa wamejiachia kiroho safi usiku huo.Mambo yalikuwa full kujiachia kwa style mbalimbali.Hiyo...
View ArticleDIAMOND PLATNUMZ & BABU TALE WAKIPATA MISHIKAKI USWAZI
Wengine wameichukulia poa wengine siyo poa. But mimi kama mimi naona ni poa maana at some point Diamond alikuwa akiishi maisha haya kuwa celebrity kusimfanye mtu kusahahu alipo toka.
View ArticlePEDESHEE AVUJISHA PICHA ZA UTUPU ZA DENTI WA CHUO, AKIMLA TIGO
Wapenzi hawa ambao majina yao ilikua ngumu kidogo kupatikana mara moja picha zao zinadhurura mtandaoni bila wao kujua, lakini inavyoonekana walipiga kwa ridhaa yao kwani wanaonekana kuchekelea kamera,...
View ArticleTAJIRI WA SAUDI ATIKISA LONDON NA RANGE ROVER YA DHAHABU YENYE PLATE NUMBER...
666’ inatambulika kwenye biblia kama namba ya shetani aka ‘The Number of the Beast’ au kwa Kigiriki ‘Arithmos tou Thēriou’ lakini kwa tajiri mmoja wa Saudi Arabia, herufi hizo zinazosomeka kama plate...
View ArticleVIDEO: MWANAMKE ATOA NGUO NA KUBAKI UCHI MBELE YA SANAMU YA HAYATI NELSON...
Kisa cha mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini aliyevua nguo zote na kubaki na suti yake ya kuzaliwa na kusimama mbele ya sanamu kubwa ya hayati Nelson Mandela, kimewaacha wapita njia na majirani...
View ArticleKIKONGWE AJICHONGEA JENEZA
Mkazi Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma,Bibi Scholastica Mhagama amesema miaka mingi ameishi maisha dhiki na kunyanyaswa bila msaada kutoka kwa jamii anayoishi hali...
View ArticlePICHA RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA
Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la...
View ArticleMAAJABU: MUME WANGU AMEMPA MIMBA MBWA!
Bw. Hamis Juma akijitetea kuhusiana na shutuma za mkewe. “Na tangu mume wangu aanze mchezo huo huyo mbwa mmoja mweusi (pichani) amenawiri kupita kiasi, naamini amempa mimba.Kweli dunia sasa ni...
View ArticleKIKONGWE WA MIAKA 80 AISHI KWA KULA UDONGO
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha sana, kikongwe mmoja aitwaye Athuman Ngusa Kulaba (80) amekuwa akiishi kwa kula udongo wa nyumba anayoishi kwa sababu ya kukosa chakula cha kibinadamu.Kikongwe...
View ArticlePENZI LA SHILOLE NA NUHU LAVUNJIKA RASMI, KISA SHILOLE ANAMCHEPUKO , NUHU...
hatimaye lile penzi la msanii shilole na nuhu mziwanda ambalo limemake headline kwa mda mfupi uliopita limevunjika rasmi hapo jana , chanzo chetu cha habari ambaye ni rafiki wa karibu na nuhu mziwanda...
View ArticleDIAMOND AFUNGUKA ZAIDI BIFU LAKE NA ALI KIBA
05Aug2014Diamond Vs Ali Kiba ni ushindani usio rasmi unaochochewa zaidi na mashabiki wa muziki Tanzania kwa kuwa wawili hao licha ya kuwa wote ni wasanii wenye uwezo mkubwa sana kwenye uimbaji...
View ArticleMACHANGUDOA ZAIDI YA 20 WAKAMATWA WAKIWA WANAJIUZA
BAADHI ya akinadada wanaofanya biashara haramu ya kujiuza katika maeneo ya Jiji la Dar, wameeleza kuwa licha ya kupewa kashikashi na jeshi la polisi na wakati mwingine kukamatwa na kupelekwa...
View ArticleMCH. GWAJIMA WA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA ANUNUA HELCOPTER
Habari ambazo zimethibitishwa na facebook page ya kanisa la Ufufuo na Uzima zinasema kuwa Helcopta hiyo imewasili nchini tayari na sasa inafanyiwa assembling kwaajili ya kuanza kuruka jumatatu hii....
View ArticleMSICHANA ALIYEPIGWA NA MTOTO WA RAIS OBAMA ATOA KAULI YA KUSHANGAZA
Mtoto wa kike wa rais wa Marekani, Maria Obama mwenye umri wa miaka 16 alimpiga/alimgonga kwa bahati mbaya msichana aliyefahamika kwa jina la Bridget Truskey walipokuwa katika tamasha kubwa la muziki...
View ArticleNUH MZIWANDA AACHANA NA SHILOLE; SOMA MKASA MZIMA
Nuh Mziwanda kujichora tatoo yenye jina la Shilole ilisambaa sana na wengi walikua wakijiuliza siku ikitokea wameachana itakuaje hasa upande wa Nuh ambaye ndiye aliyejichora tatoo hiyo.SOMA ZAIDI>>
View ArticleBRIAN LARA NA DWIGHT YORKE WAJIACHIA HUKO BARBADOS
Brian Lara (katikati) akijiachia na mrembo wakati wa tamasha la kumaliza mavuno huko Visiwani Barbados.Straika wa zamani wa klabu za Manchester United na Aston Villa, Dwight Yorke naye akiburuduka...
View Article