ANGALIA PICHA ZA MAUAJI YA KUTISHA YAZIDI KUITIKISA KAHAMA.KIKONGWE MWINGINE...
Mauaji ya kutisha yamezidi kuitikisa kahama baada ya Bi Tabu Mtema, miaka 33 mkazi wakijiji cha BUSULWANGILI (W) Kahama (M) Shinyanga kuuawa kwa kukatwakatwa mapanga na watu wasiojulikana baada ya watu...
View ArticlePICHA ZAIDI VURUGU BUNGENI LEO NA TAARIFA KAMILI KUHUSU MZOZO ULIOTOKEA
Sehemu ya Wajumbe wa Bunge maalum la Katiba wakitawanyika mara baada ya mwenyekiti kuahirisha kikao kutokana na baadhi ya wajumbe kutoelewana katika hoja. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Ole...
View ArticleANGALIA PICHA ZA AJALI BASI LA AM COACH LAGONGANA NA LORI HUKO TABORA,
Ajali mbaya ya basi la kampuni ya AM Coach lenya namba T 763 AYN imetokea leo asubuhi mkoani Tabora baada ya basi hilo kugongana na lori mali ya kampuni ya soda ya Coca Cola lenye namba za usajili T...
View ArticleKauli ya M/kiti kutokana na bunge kuahirishwa baada ya malumbano ya Ole...
Kwenye bunge maalum la katiba Alhamisi ya March 6 2014 Dodoma, mwenyekiti wa Muda wa Bunge Pandu Ameir Kificho alilazimika kuahirisha semina ya bunge maalum kutokana na kutokea vurugu zilizosababishwa...
View ArticleSio Tanzania tu hata Kenya wanafungia video, hii nayo iko kwenye list. 18+
Siku zinahesabika toka Wasanii watatu wa bongofleva ambao ni Snura, Jux na Dully Sykes kutangaza kwamba video zao za ‘nimevurugwa, uzuri wako na kabinti special’ zimepigwa stop kuonyeshwa kwenye TV za...
View ArticleDUNIA INA MAMBO HII...MWANAMKE AJIFUNGUA CHOONI...HAKUJIGUNDUA KUWA ANA MIMBA...
Gaynor Rzepka, 25, gave birth to baby Olly-James in her parents’ bathroomGaynor Rzepka had no idea she was pregnant – until she gave birth on the loo. The 25-year-old was at her parents’ house in...
View ArticleMAJANGAA...MAIMARTHA ATUPWA NYUMA YA NONDO...KISA?!!SOMA ZAIDI HAPA...
Mtangazaji maarufu wa Runinga Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiwekwa nyuma ya nondo kwa madai ya kumtapeli dada mmoja aliyetambulika kwa jina la Zai, mkazi wa Zanzibar. Chanzo makini kimepenyeza...
View ArticleMCHUNGAJI WA KANISA KUBWA ADAIWA KUMTOROSHA MKE WA MUUMINI WAKE HUKO TABATA...
Ndugu wa Martha wakiingia kanisani.MAKUBWA! Mchungaji wa Kanisa la Life in Christ Church Ministry maarufu kwa jina la Kwajoe lililopo Tabata-Segerea, Dar, Prophet Joseph au Nabii Joseph ameitwa...
View ArticleMALI ZA KANUMBA ZAZIDI KUIGOMBANISHA FAMILIA YAKE, BABA KANUMBA KUMPELEKA...
BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba anaonekana kuendelea kuwewesekea mali za mwanaye baada ya kuibuka na kudai kuwa, atampeleka Segerea (jela) mzazi mwenzake, Flora Mtegoa kwa madai kuwa...
View ArticleNGONO NJENJE KWENYE VIGODORO VYA USWAZI.. CHEKI PICHA HAPA
Jiji la dar es salaam huwa ni tamu lakini lina kero zake na uenda kero ni nyingi kuliko raha zilizopo… moja wapo ya kero kubwa zaidi ni hili ambalo bila shaka kila mmoja wetu anayeishi uswahilini...
View ArticleMAINDA AKUMBUKA PETE ALIYOVISHWA NA MAX
Ruth Suka ‘Mainda’.STAA wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amejikuta akikumbuka pete aliyovishwa na aliyekuwa mchumba wake, marehemu Saidi Banda ‘Max’ na kusema ataendelea kumuombea kwani...
View ArticleMSANII BONGO MUVI APIGA PICHA ZA UTUPU NA KUZIRUSHA MTANDAON
MSANII wa filamu za kibongo, Rachel Haule ‘Recho’ hivikaribuni aligeuka kituko baada ya kutupia picha ya nusuutupu katika mtandao wa kijamii.Picha hiyo ambayo Recho amevaa shati tupu (inayooneshandani)...
View ArticleANGALIA PICHA ZA MWANADAMU AMBAYE NUSU NI MWANADAMU NUSU ILIYOBAKI NI MTI
32 year old Dede Kosawa, also known as ‘Tree Man’, is one of the world’s most extraordinary people. He lives in a remote village in Indonesia with his two children, trying to care for them. Dede, a...
View ArticleTAHADHARI:MATAPELI WA KWENYE MTANDAO WAAMUA KUTUMIA KISWAHILI KUTAPELI...
Hii message hapo chini ni mtu amenitumia Facebook anajiita Sandra na picha yake ni hiyo hapo juu , hii ndio ile staili ya kutepeliwa online wanayotumia watu wa West africa..hapo ametumia kiswahili...
View ArticleANGALIA PICHA ZA MAMBA ALIVYO ZUA BALAA BAADA YA KUINGIA CHINI YA KITANDA...
Katika hali isiyo ya kawaida mamba mkubwa mwenye futi 8 amezua tafrani baada ya kuingia chini ya kitanda cha Mkurugenzi wa hoteli moja ya kitalii iitwayo Humani iliyopo pembezoni mwa mto Turgwe huko...
View ArticleSOMA HABARI INAYOMUHUSU MSANII PNC
Siku ya jana wakati PNC Shino alikuwa akijaribu kusaini kwenye account yake ya facebook, alijikuta anashindwa kufanya hivyo, na watu siku nyingi wameshaiiba na kuanza kupost vitu vyao, kuna status...
View ArticleHATARI SANA HII...AIBUU..MAMA AJIFANYA NESI, AAJIRIWA HOSPITALINI KWA MUDA...
Hatari sana! Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Joyce Jonas, mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 45 na 50, mkazi wa Tabata, Dar, ametiwa mbaroni kwa madai ya kughushi vyeti vya unesi kisha...
View ArticleDAVINA AMPA SOMO WASTARA...KISA?!SOMA ZAIDI HAPA....
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii mwenzake, Halima...
View Article