KALA JEREMIAH ATOBOA SIRI NZITO KUHUSU MAISHA YAKE...!! SOMA HAPA ALICHOKISEMA
Msanii bora wa Hip Hop kwa mwaka 2013, Kala Jeremiah ameweka hadharani kisa cha kusikitisha sana kuhusiana na maisha ya utoto wake na kusema kuwa, wakati alipokuwa mtoto mchanga kabisa, aliibiwa na...
View ArticleMKE NUSURA ATOLEWE ROHO KISA KUNYIMWA UNYUMBA!
Sada Majaliwa mkazi wa Temeke Mikoroshini jijini Dar.MWANAMKE mmoja Sada Majaliwa mkazi wa Temeke Mikoroshini jijini Dar, amedai kunusurika kutolewa roho na mumewe Mohamed Rashid hivi karibuni kwa kosa...
View ArticleKUTANA NA HUYU MWANAMKE HUYU TAJIRI KULIKO WOTE AFRICA.
Folorunsho Alakija wa huko Nigeria ni mwanamke mwenye utajiri mkubwa wa kiasi cha dola Billioni 3.3. kama ulizani Oprah ndie mwanamke mweusi tajiri pekeyake utakuwa umekosea dada huyu ni mmiliki na...
View ArticleKAMA UCHAGUZI WA TANZANIA UNGEFANYIKA LEO!!! UNGETOA KURA YAKO KWA NANI KATI...
The next Tanzania's General Elections are almost two years away. To be exact, Tanzanians [registered voters of course] will be on hopeful long ques in October 2015 to elect the next President of The...
View ArticleKOPE BANDIA ZAMPOFUA MA CHO MREMBO
Khadija Omar, mkazi wa Kigogo amepata pigo kufuatia kupofuka macho.AMA kweli hujafa hujaumbika, mrembo Khadija Omar, mkazi wa Kigogo, Dar amepata pigo kufuatia kupofuka macho alipokuwa akiwekwa nyusi...
View ArticleIZZO BIZNESS AIBIWA MALI ZAKE USIKU WA KUAMKIA LEO
Rapper Izzo Bizness asubuhi ya leo ametoa taarifa kuwa internet cafe yake iliyopo Mbeya eneo la chuo cha TEKU imevunjwa na wezi na computer sita zimeibiwa. Ameomba raia wa Mbeya kutoa taarifa...
View ArticleTUKIO LA MAUAJI ILALA JIJINI DAR CHRISTINA NEWA AFUNGUKA
Christina Newa akisimulia mkasa mzima wa tukio la mauaji hayo yalitokea Novemba 19 Ilala Bungoni jijini Dar es Salaam baada ya mpenzi wake Gabriel Munisi kuwashambulia kwa risasi ndugu wa familia moja...
View ArticleMWANADADA CHRISTINA MILIAN AUMBULIWA NA POMBE...!!! BAADA YA GLASS KADHAA...
''Christina Milian''MREMBO huyu hapa ndipo alipoanza kuvurugikiwa.Glass za kilaji zilivyozidi kupanda kichwani mambo yalianza kuwa hivi...!!!TAFADHALI PICHA HIZI HAPA CHINI NI KWA WENYE UMRI WA MIAKA...
View ArticleANGALIA PICHA YA DIRECTOR ALIEFUKUZWA KAZI NA WEMA SEPETU BAADA YA KUGEUZA...
jamaa ni huyu hapa aliye na wema katika hiyo pichaTaarifa za sababu kubwa zilizopelekea Wema Sepetu kumtimua aliyekuwa director wake maarufu kwa jina la Chid ni ufuska uliokubuhu wa director huyo...
View ArticleWITO WATOLEWA KWA WANAUME WANAONYANYASWA NA WAKE ZAO KUJITOKEZA ILI WAWEZE...
Ni siku nyingine shughuli zinaendelea, kila mmoja anahangaika kutafuta riziki hata hivyo mamia ya wanaume kati ya wale wanaoonekana wakitembea barabarani na kuendelea na shughuli zao kama kawaida wana...
View ArticleAIBUU!!! MZINGA WA KONYAGI WAMUUMBUA MKE WA MTU KINONDONI
>>>>>>>BOFYA HAPA KUTAZAMA PICHA>>>>>>>>>MAMA CHAKU AKIWA ANAVAA CHUPI BAADA TU YA KUZINDUKA ASHAFANYIZIWA KILA MAHALA...NI AIBUUUMAMA CHAKU ANAMALIZIA...
View ArticleANGALIA PICHA YA MSANII KUTOKA KENYA ALIYE KUBALI KUWA YEYE NI FREEMASON
We are back again at this. With so many conspiracy theories flying around about some of the renowned celebs in the world being in freemason, rumours on this subject are plentiful on the Internet,...
View ArticleSIRI YAVUJA KWANINI MBOWE ANAMSULUBU ZITTO NA KITILA?
"Kuondolewa kwa zitto kwenye nyadhifa zake Mbili ni swala la kimkakati, nani swala nililopangwa maana zitto amekuwa Mwiba Mchungu kwao. Na ili kunusuru masilai yao nikumuzimisha zitto ili ajenda zake...
View ArticleWATATU WAJERUHIWA KATIKA AJALI ILIYOHUSISHA BASI NA LORI
Gari lenye namba za usajili T606 BJB lilolokuwa linaelekea Ifunda kutoka Stand kuu ya Iringa limepata ajali eneo la Kitwiru baada ya kugongana na Lori lenye namba T 234 CLU ambalo ni Mali ya T.H...
View ArticleAjali zazidi kutikisa mkoani mbeya
Hili ni gari lenye namba ya IT lililokuwa likitokea bandari jijini Dar kwenda nchi za kusini mwa Tanzania ambalo lilihama njia na kuligonga daladala li.lolokuwa likitoka mjini Mbeya Kwenda Uyole hata...
View ArticleNILIKUWA NAOMBA MUNGU KILA SIKU ILI AFUKUZWE CHADEMA’ - MAMA ZITTO
Siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumvua uongozi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Taifa wa chama hicho, Zitto Kabwe, mama yake mzazi, Shida Salum ametoa ya moyoni akieleza kuwa kilichomkuta mwanaye...
View ArticleKAMPUNI YA USAMBAZAJI WA FILAMU YA DJ MARKETING AND PROMOSHEN YATOA MSAADA
Msemaji wa Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya DJ Marketing and Promoshen, Seraphine Baraka kulia akigawa sabuni za Twiga Soup ambayo nayo inasambazwa na kampuni hiyo kwa watoto wanaoishi katika...
View ArticleBINTI ANAYEDAI KUBAKWA NA PROF KAPUYA AFUNGUA JALADA POLISI 11:13 AM No comments
HATIMAYE binti anayedaiwa kubakwa na Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), amefungua jalada Polisi dhidi ya mbunge huyo. Habari za kipolisi ambazo Tanzania Dama limezipata, zinasema...
View Article