PICHA ZA NYUMA YA CAMERA ZA MSANII AUNTY EZEKIEL AKIWAKATIKA UTENGENEZAJI WA...
"Angels Pads Zikiwa katika Ubora wa hali ya juu'in mchina is voice �� Hawa nw days wote wanajua kiswahili aisee �� ANGELS PADS COMING SOON" By Aunt Ezekiel
View Articlesababu ya MTV Base kumshoot Diamond Kila aendako South Afrika
MTV Base jana ilikuwa inazunguka na Diamond Platnumz kwenye mitaa mbalimbali jijini Johannesburg, Afrika Kusini kushoot kipindi chao kipya kitakachoanza kuonekana kwenye kituo hicho mwezi October mwaka...
View ArticleMAPOLISI WA KIKE WAZURI KULIKO WOTE KUTOKA KENYA ZIKO HAPA.
Kutoka kenya story zinazomiliki vichwa vingi vya habari kwenye blogs na hata mitandao ya kujamii na hata website mbalimbali kubwa kutoka kenya ni juu ya wale askari wa kike ambao ni wazuri kuliko wote...
View ArticleNANI MKALI KATI YA KIM KARDASHIAN NA BONGO MOVIE SHAMSA FORD WOTE WAKIWA NA...
KIM KARDASHIAN VS SHAMSA FORD KIM KARDASHIAN NA MWANAE SHAMSA FORD NA MWANAEWalah katoto ka Shamsa utafikiri kaje kumuoa motto wa Kim maana wamependezaje pamba zao, anyway mi nimependa sana...
View ArticleWEMA SEPETU AMPA MAKAVU KAJALA,SOMA HAPA
Sexy lady wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’NGOMA NZITO! KAULI YA SEXY LADY WA SINEMA ZA KIBONGO, WEMA ISAAC SEPETU ‘BEAUTIFUL ONYINYE’ KUWA YUPO TAYARI KUMTUMIKIA MSANII...
View ArticleRAY C ALA TENDA NONO
Mungu mkubwa! Baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutumia madawa ya kulevya ‘unga’ kisha kunusuriwa, super lady kwenye Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, hatimaye mambo yameanza kumnyookea baada ya...
View ArticleMSANII MWINGINE WA BONGO AFARIKI DUNIA GHAFLA!
Msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ enzi za uhai wake. Msiba! Bado bundi wa vifo anaendelea kung’ang’ania tasnia ya sinema za Kibongo kufuatia kifo cha ghafla cha msanii wa Bongo Muvi,...
View ArticleANTI LULU: NATARAJIA KUZAA MTOTO NA DIAMOND PLATNUMZ
Msichana wa mjini asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ akipozi.MOYO unahifadhi mengi! Msichana wa mjini asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ amefunguka...
View ArticleJIMAMA LAVUA NGUA MCHANA KWEUPE KISA NGOMA YA KIGODORO
Pichani juu na chini mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul akijiachia na kumwaga radhi bila uoga.Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri juzikati, majira ya mchana kwenye...
View ArticleNAY WA MITEGO AMWANIKA MTOTO WAKE ALIYEZAA NA MSANII WA BONGO MOVIE "SKYNER...
Mambo hadharani! Baada ya kimya kirefu, staa wa Hip hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa mara ya kwanza amemwanika mtoto aliyezaa na msanii wa sinema za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ na...
View ArticleNAY WA MITEGO AKIRI KUJIHUSISHA NA UFREEMASON ASEMA ANACHOANGALIA NI MKWANJA TU.
Rapper Nay wa Mitego ambaye hivi karibuni alizusha maneno mengi kutokana na video ya wimbo wake yenye mambo ya kutisha, amewajibu mashabiki wake kwamba hajali kuhusishwa na ufreemason ilimradi...
View ArticleWATANZANIA 7 WAUWAWA KIKATILI ZAMBIA
A combined team of the Zambia and Tanzanian police officers picking dead bodies of 7 men suspected to be Tanzanians found dumped in a bush in Yolo Village, 500 metres from the Tanzanian / Zambia border...
View ArticlePICHA ZA BASI LA AIR BUS KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA TABORA LIMEPATA AJALI...
Shughuli za uokozi zikiendelea muda mfupi uliopitaBasi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea Tabora limepinduka katika maeneo ya maeneo ya Kiegeya Gairo. Haijulikani...
View ArticleAIBU:MSANII WA BONGO MOVIE AUMBUKA BAADA YA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUVUJA...
Msanii wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ aliyewahi kuripotiwa kujiachia kimahaba na mwanamuziki Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ ametia aibu kubwa baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni....
View Article.AUNT EZEKIEL AMKINGIA KIFUA WEMA SEPETU!
FAGIO! Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amemmwagia sifa shosti yake Wema Sepetu na kudai anafaa kuwa mke kama alivyo yeye.Akimmwagia sifa mbele ya kinasa sauti chetu, Aunt alisema Wema anajua...
View ArticleMAUAJI YA KUTISHA:AMUUA MKEWE KWA SULULU, AJINYONGA
INAWEZA KUWA DAWA?! MWANAUME ALIYEJULIKANA KWA JINA LA ISAYA M. HANGAYA (30), MKAZI WA GOBA JIJINI DAR AMEMUUA MKEWE, MERY CHARLES LUGUSHA (26) KISHA NAYE KUJINYONGA KISA KIKISEMEKANA NI MCHEPUKO WA...
View ArticleMTOTO ATEKWA, ABAKWA, ATOBOLEWA MACHO
Mtoto Happiness Kashinje (9) pichani kulia enzi za uhai wake. MTOTO Happiness Kashinje (9) (pichani)aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Negezi mjini Shinyanga, ameokotwa akiwa...
View Article