
MTV Base jana ilikuwa inazunguka na Diamond Platnumz kwenye mitaa mbalimbali jijini Johannesburg, Afrika Kusini kushoot kipindi chao kipya kitakachoanza kuonekana kwenye kituo hicho mwezi October mwaka huu.
Tumewasiliana na uongozi wa kituo hicho nchini Afrika Kusini na hivi ndivyo ulivyotujibu: