Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Browsing all 2863 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDOA YA JIDE KUVUNJIKA GARDNER AFUNGUKA.

 Staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ akiwa na  mumewe Gardner G. Habash wakati wa harusi yao.HABARI kubwa ya mjini hivi sasa, hasa kwenye mitandao ya kijamii ni juu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALBINO UMEKUTWA UMETUPWA MAENEO YA SEGEREA KINYEREZI HUKU UKIWA UMETOLEWA...

Inasadikiwa mtu huyu amekuja kutupwa eneo hili kutoka eneo jingine ambalo halijajulikana bado.Mwili huu umekutwa eneo hili  la segerea kinyelezi jiji Dar es salaam na watoto ambao walikuwa wakikata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 50 NA MBUNGE MMOJA KUFA KWA EBOLA NCHINI

Nabii wa Kanisa la Ufunuo kwa Watu Wote lililopo eneo la Yombo Buza-Kipera jijini Dar, Yaspi Paul Bendera ametoa utabiri kuhusu Ugonjwa wa Homa ya Ebola hapa nchini akizungumza na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AWAJIBU WALIOSEMA ANAMUHARIBU WEMA SEPETU

Baada ya mashabiki wa mwanadada Wema "kumjia juu mwanamuziki Diamond Platnumz" kuhusu tuhuma za yeye kumtumia mwanadada huyu kimwili zaidi bila kumuendeleza, hatimaye raisi huyu wa kundi la WCB ameamua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND ASHINDA TUZO BURUNDI

CV ya Diamond katika muziki inazidi kupanda na mwaka huu unaweza kutajwa kuwa mwaka wa tuzo kwa mwimbaji huyo ambaye amevuka mipaka na kuzinyakua au hata kutajwa tu kuziwania. Wimbo wa My Number One wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABU TALE AZUNGUMZIA BEEF YA DIAMOND NA ALIKIBA

Meneja wa Diamond, Babu Tale amezungumzia kile kile kinachoelezwa kuwa ni beef kali ama ushindani mkubwa kati ya Diamond na Ali Kiba, moja kati ya mada ambazo zinatengeneza mijadal mingi sana kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASANJA AELEZA MAONO YAKE JUU YA UCHUMBA WA DIAMOND NA WEMA

Kupitia kurasa yake ya mtandao wa Instagram Mchekeshaji Maarufu Afrika Mashariki pia ni Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ama waweza muita "Street Pastor" ameandika: Street...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMAA ATEMBEZWA UCHI MTAANI BAADA YA KUMTAKA MWANAUME MWENZIE AMLAWITI

Na Saimeni Mgalula,MbeyaMatukio ya kulawitiana yameendelea kuchukua sura mpya baada ya mkazi mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa wa mtaa wa Maporomoko uliopo katika mji mdogo wa Tunduma uliopo Wilaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRAFIKI WAMFUNGIA KAZI DEREVA JEURI DAR!

  Askari wa usalama barabarani ‘trafiki’ wakimdhibiti dereva wa basi la Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA) aliyevunja sheria ya usalama barabarani. DEREVA wa Basi la Kampuni ya Usafiri Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUSEMWA MENGI KUHUSU NDOA YA JAYDEE NA GADNER ….JAYDEE AWAKATA...

Kama mnavyojua kwasiku mbili tatu hizi kumekuwa na taarifa mbalimbali kupitia blogu hizi za udau na hata SOSHO MEDIA kupitia AKAUNTI za wadaku…kuwa Komando Lady Jaydee ametengana na mumewe Gadner G...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POMBE ZA BURE MBAYA : BINTI AVULIWA NGUO ZOTE CLUB KISA OFA (PHOTOS)

Unaambiwa hakuna cha bure katika dunia hii...Kwa wale wadada wapenda offer hii iawahusu sana. Dada huyu alikutwa na maswahibu haya mara tu baada ya kunywa pombe za njemba waliyekutana naye club kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHILOLE AFUNGUKA SABABU ZA KURUDIANA NA MZIWANDA

Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema sababu kubwa ya yeye kurudiana na mpenzi wake waliyegombana, Nuhu Mziwanda ni kuombwa msamaha.Staa wa wimbo wa Nakomaa na Jiji, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na mpenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA BUKOBA NI BALAAA,,SAIDA J USIPIME ONA HAPA

 Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Bukoba. MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUBWA HAYA : WASTARA AOLEWA NA MWANAUME ASIYEMJUA

 HiSTORIA KWA UFUPIWastara alizaliwa mwaka 1983 katika Hospitali ya Turiani iliyopo wilayani Mvomero mkoani Morogoro akiwa ni mtoto wa tano kati ya saba waliozaliwa katika familia yao.Staa katika...

View Article

KAKAKUONA AONEKANA DAR

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERENGETI FIESTA BUKOBA ILIKUWA MOTO WA KUOTEA MBALI!

Msanii wa kundi kijulikanacho kama International, Moses Nyama akiwaongoza wenzake wakati wa onyesho la Serengeti fiesta 2014, lililofanyika jana jioni Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba. Tamasha hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAURI WA BURE KWA WEMA SEPETU NA DIAMOND TOKA KWA H.BABA!

Msanii wa muziki na filamu H.Baba ambaye yupo ndani ya ndoa na msanii mwenzake Flora Mvungi ametoa maoni yake kwa kile kinachooendelea kati ya pande mbili za kishabiki za Diamond na mpenzi wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANADADA WANAOKIMBIZA NDANI YA BONGO MOVIE KWA SASA

                            Salma Jabu(nisha)                           Jennifer Kyaka(Odama)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAVU LIVE: MASHABIKI WA DIAMOND WAJA JUU, WAMSHUKIA AUNT KUMUHARIBU...

 Baada ya mashabiki wa Wema kuamua kuanzisha kampeni maalum dhidi ya Diamond wakimtaka amrudishe wema wao kwenye game walilomzoea #BringBackOurWema, mashabiki wa Diamond nao wameibuka na yao.Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRENE UWOYA: HAKUNA VAZI NISILOPENDA KULIVAA KAMA CHUPI

 Mrembo na staa wa filamu nchini Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli. Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na magazine maarufu ya burudani ya VIBE....

View Article
Browsing all 2863 articles
Browse latest View live