Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

ANGALIA PICHA ZA MAADHIMISHO YA SIKU 16 YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

$
0
0
Mgeni rasmi Katika Maadhimisho Hayo Mkuu wa Wilaya Morogoro Mh Said Amanzi katikati akiwa na kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Faustini Shilogile Kulia, Pamoja na Msaidizi wa kamanda wa polisi Mkoa wa Morogoro ACP Laswai waliopokea maandamo yaliofanywa na jeshi la Polisi yanayohusu maadhimisho ya siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia yaliofanyika Mkoani Morogoro 
 Bango lililobeba kauli mbiu ya ya jeshi la polisi katika  maadhimisho ya siku 16  ya kupinga ukatili wa Kijinsia yaliofanyika Mkoani Morogoro yakioandaliwa na jeshi la polisi kwa kushirikiana na Mashirika na asasi za  kiraia.
 Bango lililobeba ujumbe kuhusu ukatili wa Kijinsia 
 Umoja wa madereva wa bodaboda Mkoa wa morogoro waliongoza maandamano ya kupinga Ukatili wa Kijinsia
 Askari wa Jeshi la Polisi wakiwa katika maandamano ya siku 16 ya kupinga Ukatili wa kijinsiaYaliofanyika Mkoani Morogoro.










 Mshrehezaji kutoka Jeshi la polisi akitambulisha watu mbalimbali waliofika katika maadhimisho hayo





Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles