Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

KIMENUKA WALE WAPENDA MACHANGUDOA MTAKIONA CHA MTEMA KUNI SOMA MWENYEWE UJUE YALIYOWAKUTA WENGINE..!

$
0
0

Mnamo siku ya Jumatano watunga sheria nchini Ufaransa walipitisha muswada ambao utawafanya wateja wa makahaba kutozwa faini kuanzia kiasi cha €1 500.

Sheria ya kupinga ukahaba ilipitishwa na mkutano mkuu ambapo Manaibu 268 wakipiga kura ya kukubali, 138 walipinga na 79 hawakupiga.

Sheria hiyo ambayo kwa sasa inahitaji kukubaliwa na Bunge la nchi hiyo, imekuja mara baada ya kupitishwa nchini Sweden ambapo kwa sasa inatumika ambapo wateja wa makahaba hutozwa faini kwenye nchi hiyo katika kile kinachoonekana kutaka kuitokomeza taaluma hiyo kongwe.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles