United Power Point Ltd ni kampuniya ujenzi iliyopo Mkoani arusha waliobobea katika uuzaji wa Matofali ambayo inamilikiwa na mtanzania mwenzetu.![]()
Moja ya magari ya kampuni hiyo
Watanzania Tujenge uchumi wetu kwa Kupenda kutumia vitu vyetu wenyewe.Hizi ni baadhi ya picha za
Hii ni mashine ya kufyatua tofali ambapo kwa siku inauwezo wa kufyatua tofali 280000
Magari yanayomilikiwa na kampuni hiyo kwajili ya usambazaji wa zege kwenye miradi mbalimbali mkoani hapa.