Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

DEREVA WA LORI LA MAFUTA ATEKETEA KWA MOTO KATIKA AJALI MIKESE, MOROGORO

$
0
0
Baadhi ya watu waliokwama kijiji cha Fulwe kata ya Mikese mkoani Morogoro wakiangalia mwili wa dereva wa lori lililobeba shehena ya mafuta lililokuwa likitoka Dar kueleka upande wa Morogoro, ukiwa umeteketea vibaya kwa moto baada ya ajali.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles