Hii picha ni ya May, 2011 kipindi ambacho Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe alienda kutembelea kaburi la rafiki yake kipenzi Marehemu Amina Chifupa aliyekuwa Mbung wa CCM Kupitia Vijana Alipotembelea Kijiji Cha Lupembe, Mkoani Njombe. Mbunge huyo anaendela kumkumbuka Amina kila siku kwa ujasiri wake na matendo yake yakutaka mabadiliko nchini. Na hivi leo kupitia ukurasa wake wa facebook ameandika maneno haya:
