Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

AGONGWA NA KIBERENGE, AVUNJIKA MGUU

$
0
0
Mabaki ya damu yakiwa yametapakaa kwenye Kiberenge.
Pikipiki ambayo imegongwa na Kiberenge.

Kiberenge kikiwa kimeacha njia baada ya ajali.
Askari polisi akichukua maelezo kwa baadhi ya watu walioshuhudia ajali hiyo.
Wananchi wakiishangaa pikipiki katika eneo la tukio.
Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulikana mara moja akiwa kwenye pikipiki yake leo mchana maeneo ya Banda la Ngozi, Ilala jijini Dar es Salaam amegongwa na Kiberenge na kuvunjika mguu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles