Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

MEYA WA ILALA AWAAHIDI WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NEEMA

$
0
0

Meya wa Ilala Jerry Silaa akiongea na Wafanyabiashara wa Soko la wazi lilipo katikati ya Soko Kubwa la Kariakoo na Soko dogo, ni zaidi ya miezi 3 wafanyabiasahara wa soko hilo wamepigwa marufuku kufanya biashara katika eneo hilo.
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ametembelea kwenye soko la Kariakoo kuongea na wafanyabiashara mbalimbali, kufuatia malalamiko ya kuhamishwa katika soko la wazi na kusababisha wafanyabiashara hao kutangatanga.

Akizungumza na wafanyabiashara hao Meya Silaa alisema kuwa amesikia tatizo la wafanyabiashara hao na anakwenda kuongea na viongozi wa Manispaa hiyo ili kuweza kuandaa utaratibu wa kuwarudisha katika eneo hilo au kuwapeleka sehemu nyingine.
Wafanyabiashara wakimsikiliza Meya Silaa.
Wafanyabiashara wakimsikiliza Meya Silaa.
Mmoja wa Wafanyabiashara wa Soko hilo dogo la Kariakoo akiokolewa na Mgambo wa Jiji baada ya kutaka kupigwa na wafanyabiashara wa soko la wazi kwa kuwa yeye amekuwa akishangilia kuondolewa kwa wafanyabiashara hao.
Mmoja wa Wafanyabiashara wa Soko hilo dogo la Kariakoo akiokolewa na Mgambo wa Jiji baada ya kutaka kupigwa na wafanyabiashara wa soko la wazi kwa kuwa yeye amekuwa akishangilia kuondolewa kwa wafanyabiashara hao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2863

Trending Articles