Tamasha la Nyama Choma linalohusisha ulaji wa nyama zilizochomwa na wachomaji wa aina mbalimbali kutoka Afrika Mashariki limefanyika jana katika viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wa rika zote.![Kajala akiwa na mwanae]()

Kajala akiwa na mwanae
Tamasha hilo ambalo limedhaminiwa na Heineken ,Henessy pamoja na JackDaniels lilipambwa na muziki kutoka kwa Mashujaa Band pamoja na michezo ya watoto na wakubwa.
![Wadau wakipata moja moto, moja baridi]()
Wadau wakipata moja moto, moja baridi
![IMG_1260]()
Wadau wa Nyama Choma
![Band ya Mapacha watatu ikiongozwa na Jose Mara]()
Band ya Mapacha watatu ikiongozwa na Jose Mara
![Masai akichoma Nyama]()
Masai akichoma Nyama
![Master Jay akiwa na Cpwaa]()
Master Jay akiwa na Cpwaa
Mtoto akionyesha uwezo wake wa kucheza muziki
![Wadau wakipata burudani]()
Wadau wakipata burudani
![Wadau wakisakata rumba]()
Wadau wakisakata rhumba
![]()
![IMG_1201]()
![]()
![IMG_1206]()
![]()
Tamasha hilo ambalo limedhaminiwa na Heineken ,Henessy pamoja na JackDaniels lilipambwa na muziki kutoka kwa Mashujaa Band pamoja na michezo ya watoto na wakubwa.

Wadau wakipata moja moto, moja baridi

Wadau wa Nyama Choma

Band ya Mapacha watatu ikiongozwa na Jose Mara

Masai akichoma Nyama

Master Jay akiwa na Cpwaa
Mtoto akionyesha uwezo wake wa kucheza muziki

Wadau wakipata burudani

Wadau wakisakata rhumba




