![]() |
Haikuwa bahati mbaya, alikuwa anafanya makusudi, sasa sijui tuseme ndiyo biashara matangazo, au kunogewa na sebene la Malaika |
![]() |
Ni huyu kulia mwenye gauni jeusi, tena mdada mzuri tu, lakini heshima... |
|
![]() |
Toto Ze Bingwa akipagawisha |
![]() |
Cristian Bella akimshangaa yule dada |
![]() |
Mashabiki wengine walicheza kistaarabu pia |
![]() |
Wadada wa Kigamboni hao...chezea! |