Quantcast
Channel: MAMBO YA WALIMWENGU
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live

MBABA WA MIAKA 47 AFUKUA KABURI NA KUTAKA KUFANYA MAPENZI NA MAITI YA BINTI ALIYEKUWA NA MIAKA 17

$
0
0
Macabre: A Cambodian man has been arrested for trying to perform a sex act on the corpse of a 17-year-old girl after digging up her grave (not pictured) the day after her funeral
 Jamaa kutoka Cambodia amefanya kitendo cha ajabu baada ya kufukua kaburi la binti wa Miaka 17 aliyefariki na kujaribu kufanya nae mapenzi(Huu ni mfano wa kaburi lililo fukuliwa)
 Ni habari ya kusisimua ambapo jamaa alikuwa ameamua kufuakua kaburi la msichana mwenye miaka 17, kwa nia ya kufanya nae mapenzi, alishikiliwa na Polisi Baada ya kukutwa amelala juu ya Jeneza hilo huko Cambodia imethibitishwa
Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 47 aliyefahamika kwa jina la Chin Chean alikamatwa na wanakijiji baada kupatikana amefukua kabuli la binti, huku mwili huo wa marehemu ukiwa umeachwa wazi ndani ya jeneza hilo.
Chin Chien alilileleza Jeshi la Polisi kuwa alianza kuchimba kaburi hilo majira ya saa nne usiku , ikiwa ni siku moja baada ya kufanyika mazishi hayo ya binti huyo aliyekuwa na umri wa miaka 17
Jamaa huyo aliendelea kuchimba kaburi hilo hadi kufikia jeneza hilo na kufanikiwa kulifungua
Baada ya kumaliza kufukua na kufungua jeneza hilo jamaa huyo aliiambia polisi kwamba alifungua jeneza hilo na kutaka kufanya mapenzi na marehemu huyo akiwa katika Jeneza, lakini kutokana na udogo na ufinyu wa nafasi wa Jeneza hilo ilishindikana kwa yeye kufanya kitendo hicho.
Na baada ya kushindwa kufanya aliamua alale juu ya Jeneza huku likiwa wazi.
Wakizungumza wanakijiji walidai kwamba waliona Miguu ya Bwana Chean katika kaburi hilo mida ya saa kumi na mbili asubuhi na kuamua kuipa taarifa familia yake , walisema polisi
"Tunashindwa kuelewa kabisa kama huyu jamaa hapa kijijini alikuwa akimfahamu huyu Marehemu hata kabla hajafariki na kisha kuamua kufanya kitendo hiki" aliogea bwana Vutha
Lakini aliongeza kwa kusema kwamba Anamfahamu Bwana Chin Chean kuwa ni Mbwia unga na hufanya matendo ya ajabu ajabu, ambapo kuna siku alishawahi kutembea maeneo ya Pagoda akiwa mtupu bila nguo.

"kutokana na hili jambo, tutaenda kumuhoji zaidi bwana Chean katika kituo cha Polisi cha Wilaya kabla hatujampeleka Mahakamani.

MASKINI JACKIE CLIFF HALI YAKE NI MBAYA HUKO CHINA...!!SOMA ZAIDI HAPA...

$
0
0

MODO mwenye mvuto Bongo Jacqueline Patrick ‘Jack’, ambaye yuko mahabusu ya Gereza la Qincheng nchini China kwa madai ya kunaswa na madawa ya kulevya nchini humo, anazidi kuteseka, safari hii akidaiwa kukabiliwa na tatizo kubwa la kiafya. 

Jacqueline Patrick ‘Jack’.
 Kwa mujibu wa chanzo chetu, Jack anasumbuliwa na ugonjwa wa kukosa hamu ya kula, hali iliyomfanya apoteze uzito wa kilo kumi huku akikabiliwa na tatizo lingine la kupungua kwa kasi ya mapigo ya moyo. 

KAMA HALI ITAENDELEA
Chanzo kimesema kuwa endapo hali ya kuzorota kwa afya hiyo kutaendelea, Jack anaweza kujikuta katika tatizo kubwa zaidi ambalo linaweza kusumbua kwenye mwenendo mzima wa kesi yake.
 “Kusema kweli kuhusu maisha ya mahabusu si mabaya sana kwake, hateswi kwa kupigwa wala hanyimwi chakula, ila hana uhuru binafsi, ni kama amefichwa, naamini matatizo hayo ya kiafya yanatokana na uzito wa kesi yake,” kilisema chanzo hicho. 

MLOLONGO WA MAMBO
Habari zaidi zinadai kwamba kesi ya msingi ya staa huyo kudaiwa kukutwa na madawa ya kulevya itaanza kusikilizwa rasmi Septemba, mwaka huu baada ya mwanasheria wake kukamilisha taratibu zote.

“Ile kesi yake sasa ni Septemba mwaka huu. Si unajua hajawahi kupandishwa kizimbani kuulizwa kama ni kweli alikamatwa na unga au la!” kilisema chanzo hicho.
 
Jack Patrick akiwa amefunikwa uso baada ya kukutwa na pipi za heroin tumboni nchini China.
 WAKILI WAKE ANATOKA HONG KONG
Taarifa zaidi zinasema kuwa wakili wa mrembo huyo anatoka jijini Hong Kong nchini humo ambako ndiko kwenye wanasheria wazuri kwa kiwango cha kesi yake ya unga.

KUMWONA NI KWA AHADI
Ikazidi kudaiwa kwamba kuna Mtanzania mmoja tu ambaye amekuwa na fursa ya kumuona modo huyo na kabla ya kwenda lazima aombe na kupewa ‘apointimenti’ maalum.

WALIOMTUMA WAMPIGA CHENGA, WALA ‘BATA’
Tofauti na kwa Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ambaye naye aliwahi kupata msala mkubwa kama huo nchini Afrika Kusini, Julai, mwaka jana ambapo ‘mabosi’ wake walikuwa mstari wa mbele kumhangaikia, Jack anasota mwenyewe.
 Habari zinasema kuwa hakuna cheni yoyote kutoka kwa watu ambao wanatafsiriwa kuwa ni waliomtuma kwani wanaosumbuka ni watu wake wa karibu, wakiwemo ndugu zake.

Juzi, Risasi Mchanganyiko lilizungumza na mtu wa karibu sana na mtuhumiwa huyo ambapo alikiri Jack kuwa na hali ngumu katika kesi yake hiyo huku akisema kwamba watu wanaodaiwa ndiyo mabosi wake wanakula ‘bata’ tu jijini Dar es Salaam.

“Unajua tatizo la biashara ya unga ni hapo tu! Wewe unayebeba ukinaswa ni juu yako, waliokutuma wao wanachofanya ni kuthibitisha tu kuwa ni kweli umekamatwa maana wapo wanaodaiwa wamekamatwa kumbe si kweli, wanaingia mitini na mzigo,” alisema mtu huyo.  
 SABABU ZA MOYO KUSHINDWA KUSUKUMA DAMU
Juzi, gazeti hili lilimtafuta daktari mmoja wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (jina lipo) na kumuuliza tatizo la moyo kushindwa kusukuma damu ambapo alisema:

“Moyo kushindwa kusukuma damu kwa mwendo wa kawaida husababishwa na shinikizo la damu lisilodhibitiwa, mgonjwa kushindwa kudumisha udhibiti wa maji mwilini, chakula au dawa.

“Sababu nyingine ni upungufu wa damu na utoaji wa kiwango cha juu cha homoni za koromeo ambazo zinaleta maumivu ya ziada kwenye misuli ya moyo, utumiaji mwingi wa vimiminika au ulaji wa chumvi uliopitiliza na utumiaji wa dawa ambazo husababisha uwekaji wa maji mwilini kama vile Hiazolidinedione.” 

KUHUSU KUKOSA HAMU YA KULA
Kwa mujibu wa daktari huyo, tatizo hilo humkumba mtu anapokuwa katika msongo mkubwa wa mawazo kutokana na jambo zito linalomkabili, ambalo halina mlango wa kutokea.
 TUKUMBUKEMrembo huyo alikamatwa Desemba 19, mwaka jana katika Uwanja wa Ndege wa Macau, China akitokea Bangkok, Thailand akiwa na kete 57 (kilo 1.1) za heroin tumboni zikiwa na thamani ya jumla ya zaidi ya shilingi milioni 300.

Awali ilidaiwa kuwa kesi yake ingeanza kusikilizwa mwaka 2016 baada ya yeye kujifunza Kireno (lugha inayotumika Macau) kwa miaka miwili.

AIBU YA KARNE HII..PICHAZ..MKE WA MTU AFUMANIWA LIVE NA "MCHEPUKO" CHUMBANI KWA MUMEWE MCHANA KWEUPEE...!

$
0
0

HUU ni usaliti 100%! Mwanamke aliyetambulika kwa jina moja la Mwanahamisi au mama Daudi, mkazi wa Pugu-Kajiungeni, Dar, amejikuta akipata aibu ya karne baada ya kudaiwa kuingiza mwanaume mwingine chumbani kisha kufumaniwa na mumewe.

MSAMAHA: Mwanahamisi ambaye ni mke wa mtu akiomba samahani baada ya kunaswa.
 Tukio hilo la kufedhehesha lilijiri hivi karibuni, mchana kweupe nyumbani kwa wanandoa hao maeneo hayo.

 ILIKUWAJE?
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa wanandoa hao, mume wa Mwanahamisi aitwaye Mashaka au baba Daudi ana rafiki yake aliyetajwa kwa jina moja la Paulo ambaye alidai kusumbuliwa na shemeji yake (mama Daudi) kwa muda mrefu.
 Ilidaiwa kuwa mama Daudi alikuwa akimtumia Paulo ujumbe wa mapenzi kupitia simu hadi wakati mwingine kufikia hatua ya kumbana na kumkumbatia pale anapokutana naye njiani.
Ikaelezwa kwamba Paulo alimwambia baba Daudi kuwa alikuwa ameshamtumia zaidi ya SMS 240 za kimapenzi.
 Baada ya kuona kero zimezidi huku rafiki yake akimlalamikia kutomuelewa mke wake aliyezaa naye mtoto mmoja ambaye bado hata hajaacha kunyonya, Paulo aliamua kuvunja ukimya na kumuonesha ujumbe anaotumiwa na shemeji yake huyo ili wamkomeshe.
AIBU YA USALITI: Mke wa mtu pamoja na njemba aliyokuwa nayo wakiwa na aibu baada ya kunaswa live chumbani.
 Ilisemekana kwamba baada ya kufanya tathmini ya SMS hizo, baba Daudi na Paulo waliweka mtego huku wakimshirikisha mke wa Paulo ambaye aliwahi kugombana na mama Daudi kwa kitendo cha kumtambia ovyo.
 Ilielezwa kuwa baada ya mpango kukamilika huku Paulo akimwambia shemeji yake kuwa amemkubalia, mama Daudi alimuaga mumewe kuwa baba yake ni mgonjwa huko Yombo-Buza, Dar hivyo anakwenda kumuona na siku hiyo atarudi saa 12:00 jioni akijua kuwa kwa mwanya huo ataweza kwenda gesti maeneo ya Ukonga-Mombasa, Dar na Paulo kama walivyokubaliana.
 Ilisemekana kuwa baada ya Paulo kuona gesti patakuwa na shida ya kumshikisha adabu mama Daudi, alimshawishi wakutane chumbani kwa mumewe (baba Daudi) ili iwe rahisi kumfumania.
 Ilifahamika kwamba ili kusaliti chumbani kwa mumewe, alimpigia simu baba Daudi kujua alipokwenda.
Kwa kuwa baba Daudi alijua mchezo, alimwambia mkewe kuwa amekwenda kufuatilia kitambulisho cha kazi kisha atakwenda Kigogo, Dar kwenye mishemishe nyingine.
 Ilidaiwa kuwa majibu hayo yalimfurahisha mama Daudi ambaye alimwalika Paulo chumbani kwa mumewe bila kujua aliwekewa mtego.
KIPONDO: Mke wa mtu akipokea kichapo baada ya kubambwa.
 SAA 7:OO MCHANA KWEUPE
Mishale ya saa 7:00 mchana, Paulo aliondoka nyumbani kwake na kuwaacha wafumaniaji wakiwa tayari, alipofika kwa mama Daudi naye akainua simu kumpigia baba Daudi kumhakikishia Mwanahamisi kuwa mume wake harudi muda huo, akamwambia kuwa amekwenda mbali wataonana saa 12:00 jioni.
 Ilidaiwa kuwa ili wafaidi mambo vizuri, mama Daudi alimuondoa mtoto wake na mdogo wake kwa kuwapa fedha ya kwenda kulipia kuangalia ‘tiivii’ kibandani ili abanjuke na Paulo kwa raha zake.
 Nusu saa kabla ya tendo, Mwanahamisi alikuwa ameshasaula nguo zote mwilini ndipo Paulo alipomtaarifu baba Daudi kuwa mchezo tayari anaweza kufumania.
 OFM, BABA DAUDI
Baba Daudi, huku akiambatana na makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers alitimba chumbani kwake na kumbamba mkewe ‘live’ kitandani kwake, tayari kusaliti ndoa.
Huku OFM ikishuhudia, mama Daudi alishtuka na kukimbilia khanga kisha akaanza kutoa lawama kwa Paulo kwa kumtia mtegoni.
 Katika utetezi wake, mama Daudi alilia kwa uchungu na kusema kuwa ni shetani na tamaa ya fedha ndiyo iliyomponza kwani alijua angelamba mshiko kutoka kwa Paulo.
“Yaani naumia sana kwa mume wangu kunifumania tena na rafiki yake, naomba msamaha, ni shetani tu alinipitia,” alisema mama Daudi huku akimpigia magoti baba Daudi.
 Pamoja na utetezi wake, mama Daudi alikula kichapo cha nguvu kutoka kwa mke wa Paulo ambaye aliunganishwa kwenye mtego.Baada ya mtiti wa nguvu, mama wa Mwanahamisi aliitwa ambapo alipofika na kujionea aibu ya mwanaye, presha ilimpanda, akashindwa kuongea.
 Hata hivyo, fumanizi hilo liliisha baada ya mmoja wa majirani kusuluhisha ugomvi huku akiwaongoza ibada ya toba kisha akawaomba wasameheane.
Mwanahamisi akamuangukia mumewe na kumuomba msamaha, maisha yakaendelea.

WANASWA WAKINGONOKA KICHAKANI LIVE MCHANA KWEUPEE...!

MUHESHIMIWA ANASWA AKIONGOZANA NA KAHABA ALIYE PIGILIA NUSU UCHI NA YEYE AKIWA AMEPIGA SUTI..!! MMHH..!! TAZAMA TUKIO KWA PICHAZ HAPA

$
0
0
https://www.facebook.com/theclicktz


https://www.facebook.com/theclicktz

https://www.facebook.com/theclicktz
Kama kweli uko sawa na una akili timamu huwezi ongozana na mtu amevaa namna hii, kwanza ni aibu kwako kwani inaonyesha na wewe pia umekubaliana na mavazi hayo ya ajabu.

WEMA SEPETU NA FUNIKA YA MBAGALA DAR LIVE VIDEO YA KWANZA USIKU WA KIGODORO!!

DAHH...UGANDA NOMA SANA HEBU CHEKI JINSI WALIVYO MCHOMA SHOGA KWA MOTO NA KUTEKETEA KABISA

$
0
0
A homosexual man has been burned alive in Uganda, barely two days after the adoption of the Anti-Gay law. 
The new laws have drawn condemnation across the world. John Kerry, the US Secretary of State, has condemned the new anti-gay legislation in Uganda as being like the anti-Semitic laws in Nazi Germany or apartheid South Africa.  
His comments come as several Western countries announced they were withdrawing millions of pounds in aid to the east African nation, which already outlaws homosexuality .

MFAHAMU MWANAMKE MWENYE NDEVU NDEFU KULIKO WOTE NA ANATISHIWA KIFO KWA AJILI YA NDEVU ZAKE!!

$
0
0
Harnaam Kaur, mwanamke mwenye umri wa miaka 23 anayeishi katika mji wa Slough, Kusini Mashariki mwa Uingereza amepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa watu asiowafahamu kwenye mitandao kwa sababu ya ndevu zake nyingi zinazomfanya asitofautishwe kirahisi na mwanaume.
Mwanamke huyo ambaye anakabiriwa na tatizo la kuwa na vinyweleo vingi kupita kiasi, tatizo linalojulikana kitaalamu kama ‘polycystic ovary syndrome’, ameeleza kuwa alianza kupata tatizo hilo akiwa na umri wa miaka 11 na kwamba alikuwa akizinyoa mara mbili kwa wiki.
Ameeleza kuwa alipokuwa shuleni alikuwa akionewa sana kwa kuitwa majina mengi ya kejeli kama ‘jike dume’, na kwamba alikuwa anashindwa hata kuwaangalia watu usoni na alipotoka shule alijifungia ndani siku zote asionekane mara kwa mara.
Ameongeza kuwa kutokana na kuishi katika hali hiyo alifikia hatua akafikiria kujiua.
Hata hivyo, Harnaam amesema kuwa amejiunga na dini ya Sikh na kubatizwa, na kwamba imani ya dini hiyo hairuhusu watu kunyoa vinyweleo vyao kwa kuwa Mungu ndiye aliyewaumba hivyo. Kwa hiyo ameziachia nywele zake na sasa anaonekana kama mwanaume akiwa na nywele nyingi kidevuni, mikononi na kifuani.
Imani hiyo imempa ujasiri zaidi juu ya muonekano wake, na anajiona mwanamke mwenye mvuto zaidi.
“Nahisi nimekuwa mwanamke zaidi, nina mvuto zaidi na nadhani naonekana hivyo pia. Nimejifunza kupenda jinsi nilivyo na hakuna kitakachonitikisa sasa hivi.” Amesema Harnaam.

“nawezza kwenda kwenye maduka ya wanawake bila kuhisi kuwa sitakiwi kuwa kule. Navaa skirts, gauni na vidani na napenda kutengeneza kucha zangu kama msichana mwingine yeyote.

TABIA 27 ZA WANAUME/­ WAVULANA WANAOJUA KUPENDA

$
0
0

1. Hupiga simu mara kwa mara

kumuulizia mpenzi wake
anaendeleaje

2. Hujihisi vibaya pale
anaposahau siku ya kuzaliwa
(birthday) au siku mliyoanza
mahusiano (anniversary) na
huomba msamaha 


3. Hushukiza na zawadi
mbalimbali hata kama sio
muda maalumu

4. Mara kwa mara hukuambia
"NAKUPENDA">>>"I Love You"

5. Anajua kufanya mapenzi na
wewe

6. Anajua jijnsi ya kujali,
kukumbatia, kuchumu na
kutimiza mahitaji ya
kimahaba kwa mpenzi wake

7. Huhisi kuumia pale mpenzi
wake anapopitia hali ngumu

8. Hupenda kuona mpenzi
wake ana furaha na hutamani
kufurahi pamoja

9. Siku zote hutafuta muda
mzuri kutumia pamoja na
mpenzi wake

10. Kamwe hawezi kumpiga
au kumuumiza kisaikolojia
mpenzi wake

11. Huoa bila kusubiria
sanaaaa...

12. Husamehe na kusahai pale
anapoumizwa hisia zake

13. Hatotumia siri au udhaifu
wako kukufanyia mabaya

14. Hatotangaza kama mpenzi
wake ana madhaifu fulani

15. Ni mvumilivu na tayari
kufanyia usulihisho kwenye
matatizo ya uhusiano wake

16. Anajua kwamba ni
muhimu kwa mpenzi wake
kutumia muda wake akiwa na
marafiki zake, ndugu na
familia yake

17. Kamwe hawezi kutoka nje
ya uhusiano wenu ( will not
cheat on you)

18. Hawezi kuwachokoza
marafiki zako wakike mpaka
point ambayo itakuwa
inakuboa au kukupa mashaka

19. Hawezi kwenda nje ili
mfanye mpenzi wake apate
wivu

20. Humheshimu mpenzi wake
pale awapo na marafiki na
familia yake

21. Humsaidia mpenzi wake na
kazi mbali mbali( mf. za
nyubani au masomo)

22. Hufurahia kampani ya
marafiki na ndugu wa mpenzi
wake

23. Husaidia kufikia malengo
na kutimiza ndoto za mpenzi
wake

24. Kamwe hakatishi tamaa
mpenz wake pale
wanapokuwa wanaongea

25. Hujali sana kuhusu
mawazo, hisia na ushauri wa
mpenzi wake

26. Mara nyingi huwepo pale
mpenzi wake anapohitaji
msaada

27. HUJUA KWAMBA NJIA
YAKE SIO NJIA PEKEE..... 
 
Na tabasamu na fuledi

ALIYEUA BAADA YA KUMFUMANIA MKEWE AAHUKUMIWA JELA MWAKA 1,KWA KUUA BILA KUKUSUDIA HUKO TABORA

$
0
0
Kijana Sanane Machimi akiwa mahakama ya hakimu mkazi mfawidhi mkoa wa Tabora  muda mfupi baada ya kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kufuatia kosa la mauaji ya bila kukusudia.Mahakama ya hakimu  mkazi  mfawidhi mkoa wa Tabora  imemuhukumu  kutumikia kifungo cha mwaka mmoja Jela  kijana anayefahamika kwa  jina la  Sanane Machimi baada ya kupatikana  na  hatia ya kuua bila kukusudia.

Akisoma  maelezo ya kosa mbele  ya mahakama hiyo,Mwanasheria upande wa Jamhuri  Bw.Nestory  Paschal  aliieleza mahakama hiyo kuwa mshtakiwa  Sanane Machimi akiwa na umri wa miaka  17 mnamo  tarehe  7 mwezi wa 5 mwaka  2012 alimuua bila kukusudia  mtu  mmoja aliyefahamika kwa jina la Kweji  Ntuvilo kwa kumpiga kwa fimbo kichwani na ubavuni  baada ya kumfumania  anafanya  mapenzi na mkewe  eneo la  vichakani  huko wilayani  Sikonge.

MTOTO ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUCHINJWA NA BABA YAKE HUKO KAHAMA,KISA KUUGUA MUDA MREFU

$
0
0
Mtoto Said Siraji akiwa amelazwa katika Hospital ya wilaya ya Kahama
Mtukio ya kikatili yameendelea kushika kasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto aitwaye Said Siraji/Said Joshua  amelazwa katika Hospitali ya wilaya usiku wa kuamkia leo, baada ya kunusurika kifo katika jaribio la kuchinjwa na baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la Salvatory. 

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya-Kahama; Dakta Joseph Fwoma amesema Siraji amefikishwa hospitalini hapo leo alfajiri baada ya kuokotwa na wasamaria wema akiwa anakimbia huko akivuja damu shingoni. 
Dakta Fwoma amesema baada ya kufikishwa hospitalini madaktari walimfanyia upasuaji na kumshona sehemu ya koromeo aliyochinjwa na hadi alasiri hii hali yake imeendelea vizuri hasa baada ya kuongezwa damu. INAENDELEA

KAMA ULIKUWA UJUI HUYU NDIYE MWANAUME ALIYEZAA MTOTO NA SUPER STAR WASTARA KABLA HAJAKUTANA NA MAREHEMU SAJUKI ONA HAPA HABARI YAO MWAKA

RAIS MUGABE AMZAWADIA BINTI YAKE $100,000 NA NGOMBE 55 KAMA ZAWADI YA HARUSI YAKE

$
0
0
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe mnamo siku ya Jumamosi Ametoa zawadi kwenye harusi ya mtoto wake wa kike na mumewe kiasi cha $100,000 na ng'ombe 55, imeelezwa.clip_image001Binti wa Rais huyo aitwaye Bona mwenye miaka 24 na mume wake, Simbarashe Chikore, walifunga pingu za maisha mnamo siku ya Jumamosi kwenye harusi moja ya kipekee iliyofanyika kwenye makazi wanayoishi ndani ya Harare.

UKWELI KUHUSU TAARIFA YA MTOTO WA RAIS WA UGANDA KUJITANGAZA KUWA NI MSAGAJI HUU HAPA.

$
0
0

Abril Uno, ni jina lenye maana ya ’1 April’

kwa Kihispania, ambayo ni siku ya wajinga.

clip_image001Ile taarifa iliyoonekana kuchanganya watu na kutokana na kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii hapo jana ya kwamba mtoto wa kike wa Rais wa Uganda alijitangaza kuwa ni msagaji, taarifa hiyo sio ya kweli.
Imeelezwa kwamba habari hiyo ilianzia kwenye mtandao mmoja wa nchini Marekani itwao Abril Uno, ambao uliandika habari hiyo wiki iliyopita siku ya Jumatano.
Kwenye tarifa yake mtandao huo ulitania kwa kuandika kwamba Diana Kamuntu, mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, amejitangaza kuwa ni msagaji kwenye mahojiano na kituo kimoja cha redio.
Taarifa hiyo ilisema: “Mimi ni msagaji, ninafanya mapenzi ya jinsia moja. Nimelijua hilo toka nilivyokuwa msichana mdogo,” taarifa ilimnukuu Kamuntu.
Kwenye mtandao wa  Abril Uno ulimtaja muendesha kipindi wa redio hiyo James Kasirivu, kuwa ndiye aliyekuwa akifanya mahojiano hayo, na kusema kwamba “alipatwa na mshangao na mpaka aliishiwa na maneno ya kuongea toka kinywani mwake.”
Maelezo hayo yalisambaa kwenye mitandao mingi Duniani, huku wengine kuitoa na wengine kuiacha.
Watu wengi waliguswa na taarifa hiyo huku baadhi yao wakiandika kwenye kurasa zao za Twitter katika hali ya kumuunga mkono Kamuntu:
Abril Uno, ni jina lenye maana ya ’1 April’ kwa Kihispania, ambayo ni siku ya wajinga.
Hivyo akili Kichwani Mwak

BIASHARA HII HARAMU YA KUJIUZA SASA IMEOTA MIZIZI..!! ..TAZAMA HAWA WAJIANIKA KAMA MAFUNGU YA NYANYA KAZI KWAKO KUCHAGUA...JIONEE HAPA

$
0
0
http://theclicktz.com/
Labda ungependa kuiambia nini serikali kuhusu biashara hii au kama ungekuwa ni wewe ungechukua hatua gani kukomesha biashara hii haramu. Inayodhalilisha wanawake

KESI YA FAMILIA YA MISS TZ KUGOMBEA MAITI: MAMA WA MAREHEMU AIBUKA KIDEDEA

$
0
0
 
Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu akiwasili katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Temeke akiongozana na Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi Nambuo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) Dkt. Helen Kijo Bisimba akiongea jambo na Hoyce Temu.
Wanaharakati wakitoka nje ya mahakama kwa mapumziko mafupi.
Wanaharakati mbalimbali wakijadiliana jambo nje ya mahakama wakati wa mapumziko ya kusikiliza kesi hiyo.
Hoyce Temu akipongezana na Dkt. Helen Kijo Bisimba baada ya upande wao kushinda kesi.
Marehemu Emmanuel Lewi Nambuo Temu (33) enzi za uhai wake.
HUKUMU ya kesi ya familia ya Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu, kuhusu mzozo mkubwa wa wapi pa kumzikia mwanafamilia mwenzao, Emmanuel Lewi Nambuo Temu (33) aliyefariki dunia Februari 16 mwaka huu katika Hospitali ya Temeke, Dar imetolewa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke ambapo Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi ameshinda!
Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi Nambuo alikuwa anashikilia msimamo kwamba, mwanaye akazikwe kwenye makaburi waliyozikwa mababu zao yaliyopo kwenye eneo la Kitahire, Old Moshi, Kilimanjaro lakini mjomba mtu aitwaye Jacob Nambuo Temu alikuwa akipinga.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Kassim Mkwawa na mwili wa marehemu uliokuwa bado umehifadhiwa Hospitali ya Temeke utazikwa eneo la Kitahire, Old Moshi mkoani Kilimanjaro.
(PICHA / HABARI: HARUNI SANCHAWA / GPL)

BAADA YA BOOM KUKATA:: WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WANASWA WAKIJIUZA NA KUPEWA KICHAPO KIKALI.

$
0
0



WAREMBO watatu wanaodaiwa kuwa ni madenti wa chuo kikuu kimoja jijini Dar, waliojitambulisha kwa jina mojamoja, Rachel, Neema na Suzan, wamekumbana na balaa zito baada ya kupokea kibano cha kutosha...

BOFYA USOME HII: KAHABA ANASWA HUKO SINZA NA KONDOM KIBAOO, CHEKI HAPA UONE MWENYEWE UFUSKA   

Tukio hilo lilitokea maeneo ya Kijitonyama, jijini Dar, usiku wa saa 8:00, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo madenti hao walipokea kichapo  kikali  kutoka kwa Polisi Jamii.

Warembo hao walifikwa na kasheshe hilo baada ya kugeuka kero kwenye geti la kigogo mmoja  kwa kuwa walionywa mara kadhaa kuacha kupanga foleni katika eneo hilo na kujihusisha na vitendo vya ngono.


“Unajua walikuwa kero sana. Yaani asubuhi kukicha utakuta mipira ya kiume imetapakaa kila sehemu. Mbaya zaidi utakuta watoto wakicheza mchana wanaokota hiyo mipira ya kiume na kupuliza kama puto,” alisema shuhuda mmoja aliyeamshwa na makelele ya warembo hao wakati wakila kibano.

Aliendelea: “Unajua wakikaa hapa ni hatari tupu kwani wanaume wanaokuja kuwafuata wanaweza wakatudhuru kwa sababu hatuwajui.”

Katika tukio hilo, walinzi hao wakiwa kwenye doria, walipokea malalamiko kwa mara 1000, kutoka kwa kigogo huyo akiomba msaada wa kuwaondoa warembo hao getini kwake wanaodaiwa kujiuza eneo hilo.

Habari nyingine zilieleza kuwa wadada hao wamekuwa wakiweka mitego yao nje ya nyumba hiyo ikidaiwa kwamba lengo ni kumnasa kigogo huyo ili kumuuzia biashara yao kwa kuwa ni ‘mkataji’ mzuri wa mkwanja.

Mbali na hilo, pia ilidaiwa kuwa wanaume wapenda ngono rejareja na hatarishi huwafuata eneo hilo kupata huduma yao.
 BOFYA USOME HII: KAHABA ANASWA HUKO SINZA NA KONDOM KIBAOO, CHEKI HAPA UONE MWENYEWE UFUSKA 
Ilidaiwa kuwa walinzi hao walielezwa kuwa katika kukuza biashara hiyo haramu, warembo hao wamekuwa wakiwabugudhi wakazi wa eneo hilo hadi kufikia hatua ya kuwagongea madirishani na kusimamisha magari hovyo

Huku wakijua wamepata wateja, kundi la kinadada hao wakiwa na vinguo vya kimitego na wengine kujifunua na kubaki nusu utupu ili kuwaonesha wanausalama hao nyeti zao wakijua ni wateja ndipo wakakutwa na kasheshe hilo.

Wanausalama hao, bila kuchelewa waliwazingira warembo hao na kuwanasa kisha kuwapa kibano lakini katika purukushani hiyo wengine walifanikiwa kupata upenyo na kuchoropoka.

Katika kibano hicho, makelele ya warembo hao yalisababisha watu kuamka na kufunga mtaa.

Kutokana na timbwili hilo la akina dada hao kuwa zito, iliwabidi polisi hao jamii watumie nguvu ya ziada kuwatuliza kabla ya kuwapeleka mbele ya sheria.

Baada ya warembo hao kudakwa, walipakizwa kwenye Bajaj na kupelekwa kituo cha polisi ili wafikishwe mahakamani.

BAADA YA RAIS MUSEVEN KUSAINI SHERIA YA KUWABANA MASHOGA WAANZA KUMSINGIZIA MTOTOT WAKE NI MSAGAJI

$
0
0

Abril Uno, ni jina lenye maana ya ’1 April’ kwa Kihispania, ambayo ni siku ya wajinga.Ile taarifa iliyoonekana kuchanganya watu na kutokana na kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii hapo jana ya kwamba mtoto wa kike wa Rais wa Uganda alijitangaza kuwa ni msagaji, taarifa hiyo sio ya kweli.

Imeelezwa kwamba habari hiyo ilianzia kwenye mtandao mmoja wa nchini Marekani itwao Abril Uno, ambao uliandika habari hiyo wiki iliyopita siku ya Jumatano.


Kwenye tarifa yake mtandao huo ulitania kwa kuandika kwamba Diana Kamuntu, mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, amejitangaza kuwa ni msagaji kwenye mahojiano na kituo kimoja cha redio.
Taarifa hiyo ilisema: “Mimi ni msagaji, ninafanya mapenzi ya jinsia moja. Nimelijua hilo toka nilivyokuwa msichana mdogo,” taarifa ilimnukuu Kamuntu.

Kwenye mtandao wa Abril Uno ulimtaja muendesha kipindi wa redio hiyo James Kasirivu, kuwa ndiye aliyekuwa akifanya mahojiano hayo, na kusema kwamba “alipatwa na mshangao na mpaka aliishiwa na maneno ya kuongea toka kinywani mwake.”

Maelezo hayo yalisambaa kwenye mitandao mingi Duniani, huku wengine kuitoa na wengine kuiacha.

Watu wengi waliguswa na taarifa hiyo huku baadhi yao wakiandika kwenye kurasa zao za Twitter katika hali ya kumuunga mkono Kamuntu:

 
Abril Uno, ni jina lenye maana ya ’1 April’ kwa Kihispania, ambayo ni siku ya wajinga.

MBUNGEAJITOKEZA WAZI NA KUJISEMA WAZI KUWA NI SHOGA

$
0
0

Image: Arizona state Sen. Steve GallardoWin McNamee / Getty Images file
Arizona state Sen. Steve Gallardo testifies on immigration law before the Senate Judiciary Committee in Washington on April 24, 2012.

Sen. Steve Gallardo of Arizona, who openly opposed a controversial anti-gay bill passed in the Legislature, announced his homosexuality on Wednesday.
“I’m a Latino, I’m a native of Arizona, I come from a Catholic family and I’m gay, it’s OK,” Gallardo told NBC News shortly after he made the announcement at the state Capitol in Phoenix.
The senator said he felt the need to come out after Arizona’s Legislature passed a bill that would have allowed businesses to refuse service to gays based on religious beliefs. Gov. Jan Brewer vetoed the bill.
“This bill allows businesses to say to me and my friends that we can’t be served in certain restaurants,” he told NBC News. “I don’t know why the Legislature was doing this. I should come out, I should say something, I should share the personal side of my life that I don’t really share.”
Gallardo, a Democrat, served in the Arizona House 2003-2009, then moved to the Senate in 2011. He plans to run for the U.S. House seat being vacated by retiring Rep. Ed Pastor this year.
Gallardo said that he is not concerned with how the news will affect his chances of winning the seat.
"I don't care about the congressional race, I don't know if it helps me or hurts me, this is bigger than any race …," he said. "If I can make it easier for just one person, it's worth it."

WABUNGE KENYA WATAKA SHERIA KALI DHIDI YA WAPENZI WA JINSIA MOJA

$
0
0
0D98A571-4400-40D3-A062-4D096BA8DF8E_w640_r1_s_5c8a9.jpg
Mwandishi vitabu Binyavanga Wainaina aliyetangaza majuzi kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja
Mbunge Irungu Kang'ata anaongoza juhudi za kundi lililoundwa majuzi la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini Kenya. Sheria zilizopo zasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika tabia za ushoga na adhabu yake ni kifungo cha miaka 14 jela.
Kenya huenda ikawa nchi inayofuata kwenye utata unaohusiana na haki za wapenzi wa jinsia moja, huku wabunge wakipanga kuwasilisha mswada bungeni kushinikiza serikali kufanya juhudi zaidi kutekeleza sheria zilizomo za kupiga marufuku ushoga.
Nao wanaharakati wa kutetea haki za wapenzi wa jinsia moja wanasema shinikizo limeongezeka tangu nchi jirani ya Uganda kupitisha sheria dhidi ya mashoga mwezi jana.
Irungu Kang'ata, ambaye ni mbunge kwa mara ya kwanza anaongoza juhudi za kundi lililoundwa majuzi la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini Kenya. Katika kampeni wazi kabisa mbunge huyo ameomba chama tawala kuelezea serikali inachukua hatua gani kutekeleza sheria zilizopo dhidi ya mashoga.
Sheria zilizopo nchini Kenya zinasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika tabia za ushoga na adhabu yake ni kifungo cha miaka 14 jela. Hakuna aliyewahi kushtakiwa nchini humo, lakini wanaharakati wanasema kuna kesi takriban 8 mahakamani ambazo hazijaamuliwa.
Kundi hilo linalopinga wapenzi wa jinsia moja liliundwa majuzi wakati rais wa nchi jirani ya Uganda Yoweri Museveni alipotia saini sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja mwezi Februari, licha ya shinikizo kutoka kwa nchi za Magharibi asitie saini.Sasa ushoga huko Uganda ni kosa linaloweza kuadhibiwa kwa kifungo cha maisha jela.
Mbunge Kang'ata anasema anataka kuwasilisha mswada mpya utakaokuwa na adhabu kali zaidi nchini Kenya ikiwa bunge litaamua kuwa sheria zilizopo hivi sasa hazitoshi. Na anawashauri mashoga wajiepushe na matatizo haya kwa 'kufyata midomo'.
Lakini kwa mkurugenzi wa kundi la kitaifa la tume ya haki za mashoga Kenya, Eric Gitari anasema shinikizo hili dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ni njia moja ya kugubika matatizo ya kisiasa yaliyomo na ukiukwaji wa haki za kibinafsi.
Gitari ambaye ni wakili wa kutetea haki za binadamu, anapinga pendekezo kwamba wapenzi wa jinsia moja wakae kimya, akisisitiza kuwa ni wanasiasa wanaolieneza swala hili kwa umma. Kama mwanamume ambaye ni shoga anasema mara nyingi anajihisi kama raia wa daraja la pili.
Naye mwanaharakati wa kibinafsi Kenne Mwikya, anasema hisia nchini Kenya zinaweka mazingira yafaayo kwa watu kama mbunge Irungu Kang'ata kuamua kuwa wanapaswa kubuni sheria mpya dhidi ya wapenzi wa jinsia moja au kutekeleza sheria zizilizopo.
CHANZO:VOA
Viewing all 2863 articles
Browse latest View live




Latest Images